Haya WATZ kumekucha sasa.
Tulianzia loliondo kusikia, kuona, kuamini na hatimaye kunywa kikombe kinachotibu magonjwa sugu. leo hii tunaanza kusikia huku wakituambia tuamini na kufika kunywa dawa...
nianze kwa kuweka wazi kuwa sina hakika na imani ya huyu ndugu yetu Mohamedi Shossi, sijui kama ni mwislamu, mkristo ama muumini wa dini nyinginezo.
aliweka wazi kuwa babu si size ya Yesu na...
Udaku mtupu, Umbea Orijino, Yaani bora usisome.
Niliwahi kusikia siku moja mh makufuli amejiuzulu.
Pale magogoni kabla hujakamata wizara kuna mfumo ulioanzishwa na mchonga meno ambapo unasaini...
Howard had felt guilty all day long. No
matter how much he tried to forget
about it, he couldn't. The guilt and sense
of shame was overwhelming. But every
once in a while he'd hear that...
Kwa kifupi kuna agizo kutoka chama cha CCM kwa jeshi la polisi ili kuwakomoa wanaharakati wa Chadema wanaomiliki mabasi ya Usafirishaji katika jiji la Dar es salaam
na mpango huo umeanza toka jana...
Nov 1884 - Feb 1885 ulifanyika mkutano jijini Berlin ukiongozwa na Otto Von Bismark akipendekeza kuligawa bara la Africa. Kuligawa bara la Africa hayakuwa matakwa ya Africa hata kidogo. Takribani...
Utofauti wake wa mwendo ulimfanya baba ake amuulize...
baba: Mbona unatembea ivo kama unayumbayumba
baharia: Unajua baba, nimefanya kazi muda mrefu ktk meli na kule kuna mawimbi, kwaiyo kule...
Fikiria CCM wana-organize maandamano na kufanya mkutano kulaani maandamano na mikutano ya Chadema Dar au Mwanza au Mbeya au Arusha halafu viongozi Wasira, Yusuf Makamba, Tambwe Hiza na Sofia Simba...
Wajukuuuuuuu zangu hamjambo? nisaidie babu yenu sina nguvu za kutoka kitandani,uzee umeninyemelea na sina mtoto wa kumtuma kwa Samir pale interneti,ni kwamba watoto wangu wote wanaishi libya na...
Does skin colour really matter?
To these two kids – obviously not…
When I am born, I am black
When I am grow up, I am black
When I am go in Sun, I am black
When I am scared, I...
Kwa kuwa hatua ya awali ya kuoteshwa juu ya dawa ya kutibu magonjwa sugu imefanikiwa...
Sasa kinachofuata ni hatua ya pili.... hii itausisha na ndoto ya babu ya rais ajeye, ambaye atatokea...
Salam sana wana jf.
Mm nimefka kwa babu tangu jmosi nasijapata huduma kutokana na foleni kua kubwa.ila nliojionea! wenyenye vfafa,wanapata glasi ndani ya dk2 waepona.hakunapovu wala maulimi...
Mwalimu mmoja wa tuition alipewa jukumu la kumfundisha hesabu mtoto aliyeshindikana kwa usahaulifu.Mwalimu kaanza somo kama ifuatavyo;4+5=9,sawa mikogo?Mikogo kajibu sawa mwalimu,mwalimu akarudia...
Hongera rais kikwete kwa ukimya wako pamoja na maneno kibao ya matusi na uzushi unayotupiwa na wanasiasa uchwara na mashabiki zao!!AMA KWELI WEWE UMEKOMAA KISIASA NA UNATAMBUA VYEMA UKIBISHANA NA...
Kikwete ashitukia maandamano, migomo
Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 5th February 2011 @ 23:50
RAIS Jakaya Kikwete amesema amegundua kuwapo njama za makusudi za kudhoofisha Serikali yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.