Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Introduction Haya matokeo ya Mpira yameniuma balaa. Liverpool kapigwa. Yanga holaaaaa. Tuachane na hilo, turudi kwenye mada. Scenario Ngoja niongee kwa mifano halisi ili uweze kunielewa. Mimi kwa...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Sarafu ya Tanzania yaani Shilingi ni Kato ya Sarafu Dhaifu zaidi hapa Afrika ikishika namba Saba. Licha ya Tanzania kuwa miongoni Nchi Zenye uchumi imara na mkubwa hapa Afrika ila haijasaidia...
0 Reactions
9 Replies
710 Views
Waheshimiwa Kuna jambo moja ambalo watu wengi wamekua wanalikosea bila kujua. Kwa maoni yangu ni muhimu kuelewa tofauti kati ya business na investments. Ni muhimu kuzingatia suala la return on...
116 Reactions
569 Replies
81K Views
Habarini wakuu Mimi ni kijana wa miaka 23 lengo la Uzi huu ni kuomba msaada jinsi ya kuanzisha biashara ya playstation. Nina plani za kuanzisha biashara hii baada ya kumaliza masomo yangu ya...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
https://youtu.be/0EnGV2UKZZc?si=IK11VUZ7vcpS0QBT
1 Reactions
1 Replies
345 Views
WADAU WA UONGEZAJI THAMANI MADINI WAITIKIA WITO WA SERIKALI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA UCHENJUAJI MADINI NCHINI -Waziri Mavunde akutana na Kampuni ya MAST na AKMENITE -_Viwanda vya Uchenjuaji...
0 Reactions
0 Replies
311 Views
Habari wana JF, Natafuta duka la dawa linalo uzwa Ambalo lina kila kitu. Location iwe center kidogo ambapo kuna mzunguko wa biashara. Mkoa ni Mbeya pamoja na Songwe. Mawasiliano;0757915171
2 Reactions
11 Replies
463 Views
Salaam wakuu! Sisi sote ni watanganyika na wazanzibari tunaoishi kwa kupendana kwa kudumisha udugu wetu. Naomba mwenye sample ya andiko la mrad wowote anisaidie. Kama mtanganyika nahitaji...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Habarii Nauza pumba laini nina mzigo wa kutosha kwa takae hitaji anichek no 0757795588
0 Reactions
3 Replies
480 Views
Habari za hapa waungwana naombeni niongezeeni maarifa ya uendeshaji mzuri wa kibiashara case study ni hizi biashara zangu. Nina jamaangu muaminifu sana kwenye maisha na ni mzawa wa hapa nilipo...
0 Reactions
2 Replies
481 Views
Wakuu ni matumaini yangu kuwa hamjambo, nimeamua kuingia kwenye jukwaa hili nikiamini ya kwamba nitasaidia kimawazo. Katika harakati za kutafuta maisha nilifanikiwa kusajili na kufungua kampuni...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za humu ndugu zangu, mm ni yule yule ndugu yenu wa kuishia LA7, Leo nimekuja na plani ya kuisaka milioni zaidi ya 2 ndani ya miezi 18 Ukweli mimi toka nizaliwe pesa yangu cash...
21 Reactions
43 Replies
3K Views
Habari maswahiba, sio jambo baya tukipeana mawili matatu kwenye fursa na ujuzi wa biashara ili endapo mmmoja wetu atahitaji kufanya biashara hiyo awe na mwanga kidogo. twende moja kwa moja kwenye...
20 Reactions
90 Replies
15K Views
Ukiwa unalipwa 400k na huna familia, yan home alone Mchanganuo pendekezi huu hapa Utanishukuru baadae 100,000 Akiba (weka utt) 40,000 Sadaka 80,000 Kodi ya nyumba 80,000 chakula 50,000 usafiri...
24 Reactions
162 Replies
7K Views
Kuna fulsa nimeiona Oman, ya Chakula, Mbogamboga na Matunda, nafikilia kuanza kupeleka bidhaa tajwa hapo juu kila week, kwa kuanzia ntakua nasafirisha Tani 1 kila week. Kama unafanya kazi kwenye...
0 Reactions
65 Replies
20K Views
Habari wajumbe. Naomba Connections za Maduka au Viwanda tunapoweza kupata Dawa za binadamu wa bei nafuu zaidi.
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Hello wanabodi. Elimu yangu ni diploma (Mass cim&IT) Mkazi wa Dar es salaam Natafuta kazi ya marketing au sales au kuwa wakala wa bidhaa au huduma. Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 12 kwenye mambo...
2 Reactions
5 Replies
558 Views
Mimi kijana wa miaka 35. Natafuta kazi, short term au long term. Nina elimu ya chuo kikuu na experience kwenye sales, marketing na project management. Kwa Sasa Sina kazi lakini niko tayari kufanya...
2 Reactions
4 Replies
528 Views
Umenunua kiwanja ukaanza kujenga nyumba from scraatch kwa milioni 100 unakuja kukodisha kwa laki 2 na nusu, hicho kiasi ni ngumu kukupigisha hatua, ni pesa itayokuwa inaishia kwenye bills za...
7 Reactions
41 Replies
3K Views
Hello, habari wana jamvi. Nina ndoto ya kufanya biashara ya kuagiza ama kwenda kununua mzigo China hususan simu na vifaa vya simu. Naomba kujua na kupata ushauri wenu, nahitaji; 1. Mtaji kiasi...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom