Nilikuwa napendekeza kama kuna MAKAMPUNI yanatoa UFADHILI wa watu kusoma yaweke wazi APPLICATION FORM zao kwenye social network kama FACEBOOK, JAMII FORUM kama hayo makampu yakotayari, ili...
Habairi zenu ndugu wapendwa wa jf,
Nipo mzumbe university mwaka wa kwanza,chuo tumefungua rasmi tarehe 17th oct,na wanafunzi wengi wamefika tarehe hyo na kuanza mara moja kusajiliwa lakini cha...
Call for scholarship applications for the Drama for Life enhances scholarship programme at University of the Witwatersrand, Johannesburg.
Study Subject(s): Performing and Visual Arts
Course...
Course Level: Postdoctoral
Scholarship Provider: ACLS, Carnegie Corporation of New York
Scholarship can be taken at: USA
Eligibility:
Dissertation applicants must be doctoral candidates in...
Study Subject(s):Subject taught in university
Course Level:PhD
Scholarship Provider: Danida and is co-funded by the participating universities
Scholarship can be taken at: Ghana, Tanzania and...
Bachelors or Masters Scholarship for students at Lund University, Sweden 2012
Course Level: Bachelors or Masters
Scholarship Provider: Lund University
Scholarship can be taken at: Sweden...
Ndugu zangu kwakweli inashangaza na kusikitisha, na patwa na kigugumizi kikubwa sana pale ambapo (continues stedents) wanapoambiwa kuwa wanahitajika kusaini ili wawekewe pesa zao. Swala la utata...
naomba kujuzwa haka ka elf tano ambacho kila mwaka UDOM wanakachukua kwa ajiri ya Usaili,ili hali Watu wana reg.No na ID ZAO.zikionyesha mpaka mwaka wa kumaliza Chuo.
Napenda kujua kama ni...
Wangewafadhili wanafunzi wote wanaodahiliwa vyuon kwa 100% kwenye tution fees,accomodation na stationary thn kula ndio mtu ajigharamikie mwenyewe,nina uhakika hamna mzazi ambae angekubali mwanae...
Naomba niseme mapema kuwa matokeo mabaya ya kidato cha nne ya mwaka 2010 yatajirudia tena mwaka huu wa 2011. Nasema haya kwa kuwa hakuna juhudi zozote zile toka Serikali kuu wala Serikali za Mitaa...
Wadau,leo nimeenda kumtembelea mdogo wangu wa 1st year pale hall 7{wa udsm mtakua mnapafahamu}sasa ktk kupga story,dogo akanionyesha marafiki zake kama wa tatu hvi ambao walikua wamedahiliwa hapa...
Nchi yetu katika sekta ya elimu migomo ikifanyika ndo serikali ama taasisi husika wanaunda tume,walimu waligoma,wanafunzi nao wangoma,je unadhani ipo njia mbadala ya kutatua matatizo na...
Yapata miezi mitatu sasa tangu walimu tarajali wapate matokeo yao lakini cha kushangaza ni kwamba serikali imekuwa kimya kabisa kuhusu suala la ajira zao au ndo mambo kama ya bodi BUDGET EXHAUSTED ?
Naona ajabu wakati mwingine hii nchi yetu. Ndiyo maana I swear I didn't like him 2005! I looked into his eyes and I knew the Presidency ni post kubwa sana kwake. Haikumfaa na bado haimfai! Ndiyo...
Imekuwa ni tabia ya wazazi wengi kupima viwango vya shule kwa kuangalia matokeo ya mitihani ya mwisho au wengine kuangalia mtoto mmoja mmoja wanaokutana nao na basi kufikia uamuzi wa kuwahamishia...
Matokeo ya mwaka jana yalizua gumzo,wanafunzi wa kidato cha 4 walifeli,unathani wa kwanza kulaumiwa awe nani,je wanafunzi,walimu,ama waliotunga mitihani,ama nani
Huu mpango wa HESLB wa kutuma pesa za Wanafunzi Chuoni moja kwa moja,Chuo cha Makumira tumebaini usaanii mkubwa tuliochezewa na bodi.Raisi wa Chuo chetu Bw.Benard Adam alikuwa Bodi kwa muda wa...
Kwenye guide book ya TCU walionyesha ada ya hiki chuo ni milio mbili lakini hapa chuo ada inalipwa kwa rate ya USA dolar na michango mingine mingi kwa mwaka inazidi milion tatu hivi hii serekali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.