HABARI WAKUU, Nisiwachoshe Mdogo wangu kachaguliwa Kozi Inaitwa BASIC TECHNICIAN IN INSURANCE AND SOCIAL PROTECTION (BTCISP)
Chuo Kipo Ilala MC Dsm (Certificate)
Anaejua haya yanahusiana na nini...
Habari zenu wakuu,
Nimechaguliwa kwenda chuo Cha ufundi Arusha (ATC), sasa nilikuwa naomba muongozo nini cha kufanya kwasababu nimeingia kwenye website yao siielewi.
Napiga simu haipokelewi...
Habari.
Naomba niulizie Vyuo vinavyotoa Course ya Ualimu Wa awali chekechea(Mkoani), hasa Iringa, Morogoro, Njombe, Ruvuma, Pwani.
Naombeni msaada wakuu Kwa hili?
Amechaguliwa kwenda chuo. Anasema hapana. Anatpenda aendelee na kidato cha tano kwa mchepuko wake uleule wa masomo ya sayansi. Wapi nigeukie ili nisaidiwe?
Wasalaam!
Bila Shaka hamjambo katika jukwaa hili.
Kwa wazazi wenye watoto wanaotaka kujiunga na kidato cha tano.
Taasisi ya Kanisa tunatoa ufadhili bure kwa wanafunzi wote wenye Daraja la...
Habari zenu waungwana!
Leo 15/09/2020, katika kalenda ya NACTE ya 2020 ilikuwa kuanza kwa zoezi la vyuo kuweka matokeo kwenye mfumo wa data wa NACTE (Uploading Diploma Results to NACTE Database)...
Awali ya yote Nikiwa kama member Wa jf nawasalimu nyote, na nawasilisha mjadala kama ifuatavyo;
Mimi ni muhitimu Wa form four na nimepata wastani Wa Division four ya 27 (4:27) ikiwa na alama...
Nilimaliza kidato cha nne mwaka 2011 na matokeo yametoka nimefaulu kwa div 2 (combi zote zimebalance) ila nilijaza first choice Tech. College(D.I.T)
Kuna wa2 wamekuwa wakinishauri kama...
Kuna watu tunafanya makosa kisha makosa yetu yanakua case study kwa wengine kosa langu lilikua nilipofika level ya degree nikaamua kusoma kozi moja hivi inaitwa Management of Social Development...
Habarini ndugu,
Mdogo wangu alipata division 3 ya 21.
CIV=C GEO=C BIO=C CHEM=C MATH=D HIST =D PHY=F KISW=B ENG=D kwenye machaguo alijaza comb ya CBG tu lkn amechaguliwa chuo coz ya ICT chuo cha...
Jamani mimi ni mwanafunzi wa Bachelor of International Relations and Diplomacy.
Naomba kufahamishwa kazi gani naweza kuzifanya ninapoenda field; mfano nikienda Ubalozini, Wizarani, Uhamiaji au...
UVCCM TAIFA MEI 8, 2022
HERI YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) unawatakia Kila la Heri Wanafunzi wote wa Kidato cha Sita katika Mtihani wao.
M/Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.