Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wakuu, Samahani mie ni kijana mpambanaji mwenzenu Sasa kulingana na ukosefu wa ajira niliamua kwenda kunitafuta fursa upande mwingine nikaachana na kuisubiria ajira kwa kile nilichosomea...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Matokeo yangu ya kidato cha nne yalikua hivi Bios: b, Chem: c, Geo: e, Kisw: b Hist: c, Phy: f, Math: f, Civ: d Eng: d Plan yangu mimi ni kusoma masomo ya sayansi lakini kama unavyoona...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Pamoja sana familia ya JF..nimesaidika sana hapa kwa mengi..niwatakie wote heri ya Mwaka mpya!! Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
0 Replies
680 Views
Nawasalimia ndugu zangu, Napenda kufahamu njia rahisi ya ku-identify interaction effects, nina zaidi ya 20+ explanatory variables, nataka ni analyse hizo data niweze kujua interaction effects...
0 Reactions
2 Replies
574 Views
Wakuu naombeni msaada kwa mwenye uelewa zaidi juu ya shahada hii na vyuo gani vinatoa ukiachana na chuo kikuu cha dodoma .natanguliza shukrani
1 Reactions
15 Replies
6K Views
Habari za siku, nataka kujua vyuo vya afya vinavyotoa elimu ngazi ya degree (DOCTOR OF MEDICINE) vyenye ada nafuu ukiachana na 1. MUHAS, 2.UDSM, 3. UDOM, 4........., 5........... 6.........
2 Reactions
22 Replies
11K Views
Ikumbukwe kua Hotuba iliyo tolewa na Mh. Rais dkt John Magufuli pamoja na waziri wa elimu Prof. Joyce Ndalichako wamejipanga kutoa vipaumbele kwa sayansi lakini hii imekua kinyume na Tanzania...
4 Reactions
19 Replies
27K Views
Sorry kwa wale waliosoma course ya uhasibu hili swali linataka points zipi kwenye auditing
0 Reactions
0 Replies
822 Views
Jamani mimi ni mwanafunzi niliye hitimu kidato cha nne mwaka jana bahati nzuri nikafaulu kwa grade 2.18 na Nimechaguliwa kidato cha Tano. Lakin wakuu nilikuw napenda sana nisome PCB lakin physics...
1 Reactions
76 Replies
42K Views
waungwana naomben mnitajie tuit za pre form 5 zilizopo dar kwa anaezijua
0 Reactions
19 Replies
11K Views
Wapi nipate vitabu vya saikolojia na falsafa?
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Nataka nijue kama haitasumbua baadae kwa huyo mwanafunzi aliemaliza darasa la saba mwaka huu na anataka kuanza form one hiyo shule ambayo imesajiliwa kama open though wamesema wanapokea wanafunz wote
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mnafundisha watoto kuwa Dunia sasa kama kijiji wakati nyinyi mnaifanya Dunia kuwa kama poli lenye wanyama wakali. Wekeni ada kwenye website zenu hii itaturahisishia wazazi kufanya machaguo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau naombeni msaada wenu. Natafuta chuo kimojawapo cha nje ya nchi hasa nikipata cha kutoka ulaya itapendeza zaidi kwa ajili ya kusoma masters ya physical and occupational therapy ya elimu...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu wana Jf, Naombeni mwenye ufahamu kuhusu kozi ya microbiology na kpzi molecular biology and biotechnology anisaidie kunielezea baada ya kuhitimu wanafanya kazi gani hasa...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Tanzania Institute of Education huwa wanatoa vitabu mfano mwaka jana darasa la tatu walipatiwa vitabu lakini ikaja kuonekana publisher hakuweza kuchapa vitabu vingi hivyo shule za binafsi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar wana JF. Kutokana na Mambo kuwa mengi huku mda ukiwa mchache nimejiiuta nachelewa kutuma maombi katika chuo chochote cha VETA nchini hususani Kigoma au Chato(ni kipya kinaanza kutumika...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu habarini Nimepoteza cheti cha form four na cha kuzaliwa Nimeshindwa kufanya registration wakuu Naomba mnipe mawazo, nina stress mpaka nahisi kufa. Dirisha la usajili ndio hilo...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Kwanza niwaombe Moderators kuacha uzi huu hapa kwenye jukwaa la Siasa, japo kwa muda, kwa sababu uzi una Hoja ya Kisiasa ijapokuwa unahusiana na Elimu. Nitangulize shukurani kwenu Moderators...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari wapendwa. Naulizia kusoma course za Masters nchini China za business, Je ukirudi hapa Tanzania ajira zake zipoje na kozi zipi hasa hasa za business zina soko? Naomba mwongozo na ushauri...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Back
Top Bottom