Wana JF, Sina hakika kama hili ni jukwaa husika lakini kwa vile nataka kujuzwa naombeni mchango wenu. Nimekua nikiona maeneo mengi yamejaa casino hasa kwenye hoteli kubwa na maeneo kama vile ya...
kwa wale wanaojua shule za private za bei nafuu ada ya chini ya sh. milion 2 naomba anijuze.
shule iwe mkoa wowote na pia iwe inapokea walio risit na iwe na mchepuo wa EGM.
naomba msaada wenu...
Plagiarism
Quite simply, plagiarism is theft :eek:
As I presented in the previous thread that reference is so important for scholars 👨🏫 and trusted writers ✍️. Failure to acknowledge other...
JOKAMEDIATZ ONLINE CAFE
Kwa wahitimu wa kidato cha nne na cha sita na wale walioko vyuoni diploma na degree (apply now) na wenye uhitaji wa fomu ya mikopo
Jokamediatz ni mtandao wa wanafunzi...
Wamajamvi salaam kwenu wakuu.
Mwezi wa saba wanafunzi wengi wataanza masomo ya Advance. hata kama sio wewe yawezekana akawa ni rafiki yako, ndugu yako au hata mtoto wako anataka kaja kuwa...
On how we can answear question which were asked as explain the major cause of temperature inversion
What required is
On how we can explain example point like frontal formation
On how his...
wanabodi habari...
kutokana na adha wanazopata wazazi, wahitimu au hata walimu mbalimbali kufunga safari kutoka makwao sehemu mbalimbali. just imagine mtu anatoka BUKOBA Au KIGOMA anaenda hadi...
Kuna jambo mimi linanichanganya sana. Ukipewa shairi na kuulizwa type of the poem. Unaandika zile open na close poem au unaandika zile narrative poem, lyric poem, epic na mengineyo? Njmeulixa hv...
Jamani naomba msaada hivi baada ya kumalizaa veta kozi ya umeme ya miaka miwili naweza kujiendelezaa tena kwa kujiunga na chuo cha DIT dar es salaam au veta kipawa kuendelea kusoma kozi hiyo hiyo...
Undergraduate Students doing a course in Soil Mechanics:
I will upload something for you next week, mainly solved problems involving soil mechanics' BASIC RELATIONSHIPS. Make sure that you share...
Habari wakuu,
Kuna mdogo wangu amechukua first degree ya nursing na amepata GPA ya 3.6, akafanya masters ya public health akapata GPA ya 3.8, baadae akafanya PhD katika reproductive health.
Kwa...
1264Mimi ni mwanafunzi nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nina malengo ya kusomea ACCOUNTANCY ila nimebaki njia panda kwa kutokuelewa wapi niende either chuo au advance maana nasikia advance...
1264Mimi ni mwanafunzi nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nina malengo ya kusomea ACCOUNTANCY ila nimebaki njia panda kwa kutokuelewa wapi niende either chuo au advance maana nasikia advance...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.