Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
kura imeishapigwa toka saa 10. vijana wa ccm na wana saccos za mgombea wa ccm wamekaa pembeni ya majumba tyalokaribu na kituo ambacho kipo shule ya kikundi. Cha ajabu ni uwepo wa FFU. lakini...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Niko kwenye mihangaiko ya kawaida nimemwomba mke wangu akacheki hali ya kituo tuliko pigia kura kama wamemaliza lakini cha ajabu amekuta kimefungwa na hakuna watu na alipo Uliza watu wa maeneo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Magomeni Mzimuni, police post, mzozo wa mtu ambaye picha yake haipo wanataka apige kura bila picha mawakala wamegoma
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Malalamiko yanafanyika Mwanza; VURUGU. Dar Mgambo walalamika hawajalipwa tokea jana, wanasema masanduku hayataondoka!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nchi hii ina matabaka mawili: Masikini na Matajiri. Kama kuna Mtanzania masikini na leo umeenda kituoni ukachagua CCM, basi huyo Mtanzania ni KOKOTO.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
ITV kwanini wanaonyesha malalamiko au kasoro za uchaguzi mujini dar tu. Why not mikoa mingine japo vituo kumi tu kila mkoa.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kikwete. Mkapa. Mwinyi and Sons. Muna haki sawa ya kuitwa Watanzania kama hao munaowaita majuha na makokoto. Kwa hiyo sote sisi na ninyi ni Majuha na Makokoto kwa kuwa sote ni Watanzania. Sasa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Ndugu wana JamiiForums, Mtandao wa IssaMichuzi, wana FaceBook na mitandao mingine na Watanzania wenzangu wote kwa ujumla mtakaosoma ujumbe huu, Salaam toka Mbeya Vijijini, ndio tumeanza mikutano...
5 Reactions
256 Replies
18K Views
Nieambia na mke wangu kuwa kuna suzuku Vitara inatint nyeusi imeingizw shuleni kwa ndani kwenye vituo vya kupigia kura ( magari mengine yapo nje) ndani yake kuna askari FFU wanacgokifanya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
chonde chonde watanzania mlioko nyumbani, msituangushe jamani. tumieni fursa hii kufanya maamuzi makuu. maamuzi yatakayotupa faraja sisi na vizazi vyetu kwa kipindi cha miaka mitano ijavyo. Mwaona...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Saa 10 kamili- mwisho wa uchaguzi 2010. Tusubiri wamalizie walio kwenye mstari, wahesabu kura zetu na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atangazwe!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Closed
Kwa taarifa gazeti la mwananchi limeweka website ambapo matokeo ya kura wabunge na rais kwa mikoa yote ya Tanzania unaweza kuyapata pale yatakapokuwa yametolewa. Kwa urahisi nenda...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Jamani, Saa 10:00 hiyo imekaribia yaani. Lile zoezi la kulinda kura ndiyo wakati wake sasa. Chukua kila unachoweza kama camera, tape recorder na chochote kinachosaidia. Huwezi kufunguliwa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu nimeanzisha hii thread mahususi kwa matokeo ya uchaguzi mkuu na kwa kuanzia nimneona niweke idadi ya wapiga kura kwa kila mkoa.
0 Reactions
5 Replies
10K Views
Uchaguzi wa Wabunge katika Majimbo ya Mpanda Mjini, Mpanda Vijijini, Majimbo kadhaa Pemba na Unguja umeahirishwa ati karatasi za kupigia kura hazikutosha! Maandalizi yote, gharama zote, muda wote...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa haraka haraka naona majimbo haya ya mijini yanafanana katika uchaguzi huu. Ongeza na ya kwako 1. Ubungo 2. Mbeya Mjini 3. Iringa Mjini 4. Arusha mjini 5. Moshi Mjini 6. Musoma Mjini 7. Bukoba...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wasimamizi wasaidizi katika vituo wamepata barua katika jimbo la Bukoba Vijijini kuwa kama mtu akija na kitambulisho ambacho hakina picha aruhusiwe kupiga picha. Mwanzo katika mafunzo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari toka jimboni Ubungo zinasema kwamba Fomu namba 13C hazijatumwa kata zote za Ubungo. Pia wasimamizi wengi hawahesabu kura kwa kusingizia Fomu namba 16 hazipo. Hata hivo fomu hizo ni kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF, Mpaka sasa nashindwa elewa vyombo vya habari vinaendelea kujurisha mchakato mzima wa kupiga kura nchi nzima ila cha ajabu mpaka sasa hivi vyombo vyote havija tuonyesha kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana usiku NEC wametangaza kuahirisha uchaguzi katika majimbo matatu na kata nyingi tu mpaka tarehe nyingine itakayopangwa na kutangazwa hapo baadaye. Sababu ya kuahirisha ni ukosefu wa vifaa...
0 Reactions
81 Replies
8K Views
Back
Top Bottom