Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
...Kwa kuwa ni kawaida ya binadamu kusahau; japokuwa si watu wote wanaosahau historia. Kumbukizi zinaonesha kwamba, Muafaka wa Zanzibar uliyopelekea kupatikana kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Hatimaye kile watanzania walichokua wanakisubiri kuhusu ule mchakato wa kupata jina teule la waziri mkuu ni kitendawili! Jina limechelewa kutolewa kutoka ikulu, kwahiyo watanzania tuwe na subira...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa maoni yangu CCM bado wanaamini dawa ya kuwaongoza watanzania milele ni kutowapa elimu, na kuwapandikizia viongozi wasiowapenda. Hii inaonekana kwenye majimbo mengi ambayo kuna wabunge wamepita...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara kimepata pigo kwa kufiwa na Katibu wake wa Wilaya ya Babati, Bi. Tuli Mwang’amba anayeaminika alifanikisha kampeni za ubunge wa jimbo la Babati Mjini...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
SIKU chache baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, wanachama wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Bilele, Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, wamefukuzwa uongozi na kunyang'anywa kadi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimekuwa nafuatilia kwa ukaribu tangu mchakato wa uchaguzi wa Spika na Naibu Spika. Kama sikosei, Mh Jenista Mhagama alikuwa mgombea pekee (CCM) kwa nafasi ya unaibu wa spika hadi siku ya mwisho...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wafuasi wa CCM wampiga m/kiti wao Send to a friend Mwananchi: Monday, 15 November 2010 Joyce Joliga, Songea MWENYEKITI wa CCM wa Kata ya Bombambili, katika Manispaa ya Songea, Alphonce Haule...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ngoma inogile subiri kuchefuka na chaguo la PM :israel::israel::israel::israel::israel::israel::israel::israel::israel::israel::israel::israel:
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kuna kitu kinanisikitisha, ni kuona wana-JF wanaotupia lawama kwa CHADEMA kwa kutomtambua Rais. Wengine wakidai, kama CHADEMA haimtambui Rais, basi haina haja ya wao kuruhusu wabunge wao...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu WaJF taarifa kutoka mtaani zinaonyesha kuwa bei za bidhaa mbali mbali zimepanda maradufu mara tu baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010; Kama tutakavyokumbuka suala...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Wana Jamii, Mbowe, Ndesapesa na wengineo kwenye CHADEMA (CCM ni mpaka Kikwete achilia hawa wengine)nao waombe mungu siku sheria ya KUTENGANISHA BIASHARA NA SIASA kipitishwa hatutawasikia tena...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kumakucha walioshindwa kuzuia vugu vugu la chadema waanza kulipia Arusha RPC na MKurungenzi wahamishwa
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Leo kwenye Channel Ten jamaa wa SYNOVATE wamejitokeza na kudai kipaumbele chao kwenye uchaguzi huu kilikuwa ni amani bila ya kueleza wao wangeliweza kufanya nini kuimarisha amani...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Chadema imeshinda kiti kingine cha Ubunge cha Mpanda kati hivyo kufikisha wabunge 23 + 23 = 46, je itaongezewa viti vingapi maalum?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakati mwaka 2005 kazi ya kutaja wabunge wa kuteuliwa na Rais kwa mujibu wa katiba ilikuwa rahisi mno kazi hiyo mwaka huu inaonekana ni ngumu na ndio itakayo mtoa au kumtosa kabisa JK. Mwaka...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Katika pitapita zangu jijini Dar nimegundua kitu kimoja kilichonishangaza. Hawa mabalozi wa nyumba kumi-kumi wa CCM ni vikongwe, wengi wao tayari wamo, au wanaingia katika umri wa miaka 70 au...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Chadema imetetea jimbo la Mpanda Mjini, CCM imepata majimbo ya Nkenge, Mpanda Vijijini na Magogoni Zanzibar, CUF wamepata Jimbo la Mtoni, Mwanakwerekwe na Wete. CUF imeongeza majimbo mawili...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Jasson Kaishozi nilimjua hivi: Shule ya Sekondari (O-Level)------------Ihungo 1982-1985 Shule ya Sekondari (A-Level)------------Umbwe 1986-1985 UDSM BA Ed...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Naomba kujua kama huyu jambazi naye alikula kiapo cha ubunge maana alichakachua kura na lazima uchaguzi urudiwe, vinginevyo hataweza kutawala jimbo letu la Segerea.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Leo ktk vipindi vya magazeti,pote tbc,itv,na cten, walipokuwa wanakutana na habari ya chadema kutomtambua kikwete wanastuka na kusoma hovyo kama wamebugia uji bila kustress maneno.nadhani huu ni...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom