Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ndugu Wana JF, Napenda kutoa pendekezo kwa uongozi wa Chadema kuanzisha Database ya computer itayotunza kumbukumbu muhimu za wanachama wake kama vile Majina kamili, Anwani za mwanachama, Number...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
wana JF, nimejiuliza hili swali nimekosa jibu, nikaona si mbaya wacha nilisogeze sebuleni, kama inatokea mmoja kati ya watu waliothibitika kwa ufisadi akaomba uanachama wa chama chetu (CHADEMA)...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Au wana JF, hasa Malaria Sugu, munaonaje? Maana hawa vijana wamefulia kwa kukikana chama makini Chadema
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Hivi niwabunge wapi wenye elimu hafifu??(Faint education)??
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimependa sana mijdala inayohusu vyama vilivyogombea upinzani uliojitokeza ni wa juu sana unaoimarisha demokrasia ya nchi yetu, sikufurahia kebehi na matusi ambavyo vlinionyesha udhaifu binafsi wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna njia nyingi za kuingia mjengoni na siyo lazima uwe na kundi maalum la uwakilishi. Hatimaye yule dada afisa wa benki kuu na mburudishaji wa wakuu, asiyeogopa hadhira katika mavazi yake kaingia...
0 Reactions
32 Replies
8K Views
NAJITOKEZA KUIPONGEZA CCM SIKU CHACHE BAADA YA KUCHAKACHUA KURA NA KUPATA KUSHINDA UBUNGE NA URAISI KILOMBERO,BEI YA CEMENTI YAPANDA KUTOKA 12,500-14,000 KWA MFUKO,NA HIYO NDIYO MAANA HALISI YA...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimekuwa nikitafakari kwa muda juu ya mfumo wa elimu ya juu kwa nchi yetu na mchango wake katika kuleta maendeleo ya Mtanzania wa sasa.Ni dhahiri katika elimu ya juu ndipo ambapo taifa hili...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Mimi ni mwanajamii mpya na hii ndo post yangu ya kwanza. Mimi nasikitishwa na tatizo la kikatiba lililopo ambayo inampa rais madaraka kupita kiasi, kiasi kwamba nchi inakuwa kama kampuni binafsi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Napenda kutoa pongezi kwa Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete na pia kwa Chama cha mapinduzi (CCM) watz twasema mapinduzi tumeyaona.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama kwamba kama kuna watu wa Graphics wa hali ya juu leo nimeona kioja kwenye gazeti la Udaku la leo , Yaani wamewatoa Chenge na Sita wameshikana koo UK RA Akimpiga Mguni na EL akikaba koo, kam...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
I have been thinking lately all about our nation Tanzania, I have found out that us Tanzanian we can easily complain about our under-development or let’s say slow development to politicians. It’s...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Viti maalum zimetangazwa. Chadema kimepata viti 23, hongera sana. Jinsi chama kinavyopigania haki kwa wananchi sikutegemea kama nao hivyo viti watagawana kwa upendeleo mkubwa. Kuna mkoa kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Kuwa karibu na wanachi hadi wakuzoee na kukuamini. 2. Ujichanganye na wananchi hadi wakuone ni mwenzao. 3. Utumie kwa uangalifu ushawishi wako na elimu yako hadi ilete mwanga mawazoni mwa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Mwaka huu na kuendelea, kila baada ya kuahirishwa kwa vikao vya bunge, kufanyike upimaji wa mimba na Ukimwi kwa lazima. Tunataka tujua kama kweli wabunge wote 95+ wa viti maalumu, wanakwenda...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi kipi kigumu, kuendesha gari au Bunge Tanzania?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nimekua nikijiuliza hawa wanaowapa kura hawa ccm kama wana akili timimamu,coz watu wametuongoza kwa miaka 50 nchi imetapakaa umaskini mpaka kwenye kucha,mahospitali hakuna dawa wala madaktari wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
KJ hana ubavu wa kuacha kumteau January Makamba kuwa Waziri kamili au Waziri Mdogo: Najua JK akiona hii atakasirika sana, hapendi kuonekana anafanya kama mnavyotarajia. Atamteua January kwa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wana JF tunaomba update yanayojiri kutoka kwenye kikao cha CC ya CCM Dodoma....tujue kama mkulu(Malaika) ataweza kmvalisha paka kengele kama alivyofanya mazee Mwinyi kwa Malecela....kumtosa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA amesema, Chama chake kiko tayari kushirikiana na vyama vingine vya upinzani bungeni vyenye nia ya dhati ya kufanya hivyo. Amesema, kwa maana hiyo CHADEMA imeacha...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom