Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Bado naendelea kukusanya matokeo kutoka vituo mbalimbali ila vyooooye ambavyo nimeshapita Chadema wamefunika mbaya...ccm wameachwa mbali mnoo!! Sijaandika namba kamili sababu kuna pilika...
0 Reactions
126 Replies
18K Views
Dodoma-Bahi Urais wagawana pasu CCM na CHadema wala DR Slaa hakuwahi kukanyaga hii inaashilia kuwa wimbi la sunami la Dr lilivyokuwa na nguvu.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Vincent Nyerere amelitwaa jimbo la Musoma mjini, viti vya udiwani 8 Chadema, ccm 3 na 2 CUF
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zilizotufikia hivi punde chadema yapeta Karatu... more details to come mitaa ya karatu ya zizima kwa vifijo. Kura za urais Dr slaa yupo juuu sana.
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Kasulu mjini mwalimu machali wa NCCR kashinda.....CCM wanalo....
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu nipeni taarifa za mpiganaji mzee wa facts Bwamdogo KAFULILA za huko Kigoma kusini. Tunamhitaji huyu dogo mjengoni.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NIMEAMUA KUSHARE EMAIL NILIYOTUMIWA NA RAFIKI YANGU AMBAYE NI MWANDISHI WA HABARI... JK, Dk. Slaa mchuano mkali *Arusha Mjini, Mbeya Moshi Mjini Iringa moto MATOKEO ya uchaguzi mkuu...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Wenye mimi namuona ni mtu asiyekuwa na msimamo saaana hata mawazo yake ni ya kuegamia. Watu wamempigia kura kutaa kuitoa CCM madarakani na kwa kutumia Nguvu ya Dr. Slaa. kwa bahati hiyo naomba...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
:peep: WANAWA NCHI YAONEKANA DALILI ZA MABADILIKO YA KIHISTORIA KWA NCHI HII. TUTARAJIE TU KUONA SURA MPYA NA KAULI MPYA ZA 'WAGENI'. TUTATUSHUHUDIA KURUDI KWA MKOLONI WA AWALI, MUINGEREZA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Masha, Batilda, Mramba, Mkuchika maji ya shingo Send to a friend Monday, 01 November 2010 00:49 0diggsdigg Batilda Burian akiwa katika kampeni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kondoa Kaskazini Urais JK 1285 Prof. 371 Slaa 112 Ubunge CCM 1250 CUF 621 CHADEMA 55
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Katika toleo moja la gazeti la Raia Mwema toleo no 148 la Agosti 25-31 2010 ilipotiwa kwamba mgombea wa Musoma vijijini Bw Nimrod Mkono amefikishwa TAKUKURU na uongozi wa CHADEMA kwa madai ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kupiga kura ni haki yako ya msingi, hongereni kwa mliojipa haki hiyo.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilipigwa na Butwaa jana baada ya kutembelea vituo kadhaa katika jimbo la kinondoni ambako nilikuta kwa wastani kila kituo kilikuwa kimepata wapiga kura 136 kati ya 450 sawa na 30%. Katika hali...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
KWA WALIYO MARAFIKI ZA HUYU SHUJAA WETU, BASI HII NDIO STATUS YAKE SASA HIVI Lisa M Rockefeller The So Called Ernesto Sheka's real name is January Makamba, is the one apparently threatening...
0 Reactions
53 Replies
8K Views
So far maeneo mengi CHADEMA wanaongoza kama Iringa town,Arusha town,rombo,hai,karatu etc unaweza kuongezea Sasa ebu tungoje akina Kiravu watasemaje? Updates zingine ntazipata kesho kichwa kimechoka
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau naomba mnipe nyepesi nyepesi za Igunga, Mzee wa Richmond na Kagoda Fisadi Rostam anaendeleaje? Upinzani tunapeta? Soma pia Kagoda Agriculture Ltd: Another BOT scandal
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ivi statistically, mgombea urais lazima awashinde wenzie kwa percentage ngapi? Nikiangalia statistically, kama results zina 95% confidence interval...ina maana kuwa lazima ashinde by more than 5%...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
nawasalimuni; imebidi niache ubishi nijiunge; matokeo haya hayafai kusubiri.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Asanteni wana ruvuma kwa ukombozi, huku mbeya sugu kapeta
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom