Bado naendelea kukusanya matokeo kutoka vituo mbalimbali ila vyooooye ambavyo nimeshapita Chadema wamefunika mbaya...ccm wameachwa mbali mnoo!!
Sijaandika namba kamili sababu kuna pilika...
Habari zilizotufikia hivi punde chadema yapeta Karatu... more details to come mitaa ya karatu ya zizima kwa vifijo. Kura za urais Dr slaa yupo juuu sana.
NIMEAMUA KUSHARE EMAIL NILIYOTUMIWA NA RAFIKI YANGU AMBAYE NI MWANDISHI WA HABARI...
JK, Dk. Slaa mchuano mkali
*Arusha Mjini, Mbeya Moshi Mjini Iringa moto
MATOKEO ya uchaguzi mkuu...
Wenye mimi namuona ni mtu asiyekuwa na msimamo saaana hata mawazo yake ni ya kuegamia. Watu wamempigia kura kutaa kuitoa CCM madarakani na kwa kutumia Nguvu ya Dr. Slaa. kwa bahati hiyo naomba...
:peep:
WANAWA NCHI YAONEKANA DALILI ZA MABADILIKO YA KIHISTORIA KWA NCHI HII.
TUTARAJIE TU KUONA SURA MPYA NA KAULI MPYA ZA 'WAGENI'.
TUTATUSHUHUDIA KURUDI KWA MKOLONI WA AWALI, MUINGEREZA...
Katika toleo moja la gazeti la Raia Mwema toleo no 148 la Agosti 25-31 2010 ilipotiwa kwamba mgombea wa Musoma vijijini Bw Nimrod Mkono amefikishwa TAKUKURU na uongozi wa CHADEMA kwa madai ya...
Nilipigwa na Butwaa jana baada ya kutembelea vituo kadhaa katika jimbo la kinondoni ambako nilikuta kwa wastani kila kituo kilikuwa kimepata wapiga kura 136 kati ya 450 sawa na 30%.
Katika hali...
KWA WALIYO MARAFIKI ZA HUYU SHUJAA WETU, BASI HII NDIO STATUS YAKE SASA HIVI
Lisa M Rockefeller The So Called Ernesto Sheka's real name is January Makamba, is the one apparently threatening...
So far maeneo mengi CHADEMA wanaongoza kama Iringa town,Arusha town,rombo,hai,karatu etc unaweza kuongezea
Sasa ebu tungoje akina Kiravu watasemaje?
Updates zingine ntazipata kesho kichwa kimechoka
Wadau naomba mnipe nyepesi nyepesi za Igunga, Mzee wa Richmond na Kagoda Fisadi Rostam anaendeleaje? Upinzani tunapeta?
Soma pia Kagoda Agriculture Ltd: Another BOT scandal
Ivi statistically, mgombea urais lazima awashinde wenzie kwa percentage ngapi? Nikiangalia statistically, kama results zina 95% confidence interval...ina maana kuwa lazima ashinde by more than 5%...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.