Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Jamani mimi mwenzenu napata shida kuhusu majukumu ya Wabunge tunaowachagua kwenye majimbo yetu. Asilimia kubwa ya wananchi wanasema Mbunge wetu hakutufanyia hivi, mfano hakutujengea shule...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Bajeti ya magari ya Ikulu yapaa Source: Raiamwema BAJETI ya Serikali ilipitishwa juzi jioni huku matumizi kadhaa, yakiwamo ya Ikulu, yakiwa yamepanda kutoka Sh. bilioni 7.23 hadi bilioni 8.8...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
17th June 2010 Kambi ya Upinzani Bungeni imeitaka serikali kuacha visingizio kuhusu hali ya maisha inayozidi kuwa mbaya miongoni mwa wananchi wa kawaida kila kukicha, badala yake itafute mbinu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
If there is another Golden Opportunity for a true Intifada to the politics of Tanzania, then this is the perfect time for it. As Kikwete's Government is presenting its 5th budget and all...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Upande wa Serikali katika rufaa ya kesi ya kuruhusu mgombea binafsi umeshinda katika hukumu iliyosomwa leo na Mahakama ya Rufaa iliyokuwa inasikilizwa na jopo la majaji 7. More to follow
0 Reactions
144 Replies
11K Views
Ilikuwa kwenye taarifa ya habari ya saa mbili usiku. Anaanza kwa kujibu swali la anaelezea vipi vitendo vya watoto kukatisha masomo na kuwa barabarani kuombaomba? Ni vitu gani vinasababisha hali hiyo?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Leo Chama cha Chadema jimbo la Bukoba mjini lilikutanisha viongozi wake ili kuwapa elimu ya sheria mpya za uchaguzi na mambo mengine yahusuyo uchaguzi. Ikiwa ni maandalizi kwa ajili ya uchaguzi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Asalaam Aleykum, Taarifa nilizonazo ni kuwa TFF walienda benki ya NMB kuomba mkopo kwa njia ya overdraft ili waweze kuwalipa Brazil appearance fees za kuja Tanzania. Sina uhakika na exact...
0 Reactions
90 Replies
8K Views
This might be interesting MPs shortchanging voters! Thomas
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Pamoja na madudu yote yanayotokea na kuhatarisha usalama sijaona hata gazeti au chombo chochote cha habari kinacholeta majibu ya RO kuelezea uzembe na matukio haya mbalimbali. Haiwezekani matukio...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Pamoja na baadhi ya watu kuanza kuamini kwamba Rostam Aziz amepungua nguvu na kwamba sasa hana uwezo wa kupanga safu katika uchaguzi wa mwaka huu kama alivyofanya huko nyuma, UKWELI ni kwamba ana...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimefedheheshwa na kitendo cha kiongozi wa juu wa jeshi la polisi kutangaza nia zao za ubunge kwa tiketi ya CCM. Tibaigana, na jana nikachoka kusikia kamanda wa trafiki Kombe. Hivi hawa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Jamani this is just "amaizing coincidence", Matangazo ya TBC yazimika ghafla wakati Mbunge wa Karatu, Dr. Wilbroad Slaa akiikandia serikali kwa hoja na nondo za kushiba, wakati akitoa maoni ya...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
KIGOGO wa siku nyingi serikalini, Dk Dalaly Peter Kafumu ametangaza nia ya kuwania kiti cha ubunge cha jimbo la Igunga mkoani Tabora ambako atapambana na mbunge wa sasa, Rostam Aziz. Uamuzi wa Dk...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Najiuliza, haka ni kale ka-mwimbo ka Prof J kanatimia ama? I like dreaming, and I dream big but this kind of dreaming is completely insane Mr Presida..! Nimesikia ukiwasimulia watoto waliokuja...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Leo hii kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, Mhe. Hamad Rashid Mohamed amemuondoa Mhe. Cheyo kutokuwa tena msemaji wa upinzani katika wizara ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi na hii...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Hatimaye Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), amefuta wazo la kuwania ubunge katika majimbo ya Geita, mkoani Mwanza na Kinondoni, jijini Dar es Salaam na kutangaza rasmi kwamba...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
What's the hurry? The president is trying, without much luck, to gee things up Jun 3rd 2010 | DAR ES SALAAM THE World Bank now ranks Tanzania a...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mnamo tarehe 27 mwezi Mei magari ya kikundi cha TOT ambacho hutumbuiza wakati wa kampeni kwa upande wa CCM (chama tawala) yalikamatwa an Majembe Auction Mart kufuatia order kutoka mahakamani...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimekuwa nikifanya kazi za maendeleo ya jamii katika miji mikuwa na midogo; vijiji vikubwa na vidogo. Nimeona maeneo katika vijiji vidogo na vikubwa ambako mpaka leo kuna watoto wanakenda shule...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom