"I can't breath" ni kauli aliyoitoa George Floyd wakati askari mmoja huko marekani alipomkamata na askari huyo kuweka goti lake katika shingo ya George Floyd, jambo lililosababisha akose hewa...
Uchaguzi Mkuu Tanzania ni mwaka huu wa 2020, bila shaka wako watanzania wenzetu watapenda kuwania kiti cha Urais wa Tanzania. Sisi wasaka tonge tuna yetu mengi ya kuwaambia wenzetu wenye ndoto za...
Naomba nianze na kudeclare interest. Mimi sio mshabiki wa CCm wala Magufuli. Ni mshabiki wa vyama vingi. Napenda utawala wenye viongozi wenye maono au challenge mbalimbali.
Tunavyoelekea uchaguzi...
1. KESSy yule wa rukwa.. kazi kubwa anayo fanya ni kujipendeleza kulinda biashara yale ya maji.. Hillwater. Juzi anasema katiba ni maandishi ambayo tunaweza yafuta wakati wowote.
2. Msukuma...
Maandiko matakatifu yanasema "anaeua kwa upanga,atakufa kwa upanga" na Waswahili wanasema "Mungu si Athumani".Pia kuna msemo:" Mungu hadhihakiwi."
Kwa kuzingatia misemo hiyo na kwa kuzingatia...
CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na Lissu mtakiua chama akigombea Urais
Kwa sababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.
Ana chuki na vyama vingine vya...
Moja ya sababu kubwa ya kuangusha utawala huu wa CCM ni hili la kuleta kwa hati ya dharula muswaada was marekebisho ya sheria ili kuongeza wigo wa viongozi wavunja sheria na Katiba kutoshtakiwa...
Chama cha Upinzani cha CHAUMMA, kimetangaza rasmi kushiriki Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Mwenyekiti wake, Hashim Rungwe Spunda amesema wanavikaribisha vyama vingine kuungana nao...
Ni wazi sasa mpambano ni kati ya wanasiasa hawa.
Kulikuwa na tetesi kwamba Joseph Selasini angekimbia Chadema kumkwepa kada mahiri wa Chadema,ndugu Malisa, na ndivyo ilivyotokea
Hatari iliyopo...
Mwenyekiti wa DP Mkoa wa Mara Mh Chrisant Nyakitita , leo amejitokeza mbele ya vyombo vya habari na kutangaza nia ya Kugombea Urais wa Tanzania kwenye uchaguzi wa Oktoba .
Wagombea wanaojitokeza...
MAJIBU YA KATIBU MKUU WA ACT WAZALENDO ADO SHAIBU ALIPOULIZWA KUHUSU KAULI YA CHADEMA KUSIMAMISHA WAGOMBEA ZANZIBAR.
Kwenye Mkutano wake na waandishi wa habari, Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu...
Kuna watu makini nadhani yawezakuwa wanabanwa na katiba ama hawana interest na siasa lakini wakiamua, wanauwezo mkubwa was kuleta ushindani na kushinda kwenye nafasi ya uraisi kwa UCHAGUZI wowote...
Ikiwa ni miezi michache kabla ya uchaguzi mkuu wa udiwani, ubunge na urais Oktoba mwaka huu wanachama katika vyama mbalimbali vya siasa wamejitokeza kutaka kumrithi mbunge wa sasa James Francis...
ACT-Wazalendo na Chadema, wekeni Kando Ubinafsi. Muungane, ACT isimamishe mgombea rais Zanzibar ambaye tunashauri CHADEMA imuunge mkono, na Bara CHADEMA isimamishe mgombea ambaye ACT wazalendo...
Nimekuwa nikifuatilia mienendo ya siasa za nchi kwa miaka mingi sasa. Nchi hii imebariki watu wenye vipawa mbalimbali.
Tasnia ya siasa imekuwa inaheshimika kwa miaka kadhaa sasa. Kipindi hiki...
Hakika Chadema ni chama cha kupigiwa mfano , unaambiwa kila kambi imejipanga vilivyo hasa , Kambi ya Mh Msigwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda yangu ya Nyasa inapepetana vikali sana na kambi ya Mh...
Jibu NI hakuna Jipya lolote kesho.
Iwapo ataongea atazungumzia democrasia, Kisha kupigwa risasi, Uhuru na kujieleza na maswala ya kisheria ambayo hayana msaada wowote kwa mkulima wa pamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.