Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ahadi alizotoa JK kwamba atajenga barabara ya kiwango cha Lami kutoka same mjini kupitia Kisiwani, Ndugu, Kihurio na kutokea Mkomazi ni utapeli mkubwa, uongo na uzandiki. Barabara hii imepewa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Waungwana nauliza matokeo ya kipima joto cha Itv,mwenye taarifa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeupenda sana huo wimbo. Bwana awakumbuke wote ila hapo inapotajwa serikali basi naomba isomeke kwamba wanaoombewa ni serikali ya wapambanaji itakayoingia Mjengoni Oct 31. Mnaweza pia kuziba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tafadhali aliyekwisha pata gazeti la Mwanahalisi la leo tafadhali tujuze yanayo endelea. Siko katika nafasi ya kupata hilo gazeti siku nzima ya leo, tafadhali naomba nipate japo headlines. Thanx...
0 Reactions
78 Replies
8K Views
Huyu Mtu akiingia madarakani 1: Elimu bure mpaka form Six, Wengine wamesema hawawezi 2: Katiba mpya ndani ya siku 100 3: Mafisadi kukiona cha mtema kuni, maana alipokuwa Mbunge tu aliwatetemesha...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
RAHA YA KULIWA
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimepata mail hiyo hapo chini nani anaweza kunidhibitishia ni saidieni wakuu sababu pressure inapanda nakushuka Kikwete apewa report ya kura za Slaa Habari zilizopatikana ndani ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
The universally famous expression, ‘Charity begins at home', marked the arrival to Arusha yesterday, of Chadema's presidential candidate, Dr Willibrod Slaa. Business came to a standstill...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ni ule wa kuimaliza CHADEMA! na Janet Josiah na Charles Ndagula, Moshi MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, ametangaza kunasa waraka wa siri...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mgombea CHADEMA apigwa kinyama na Violet Tillya, Arusha MGOMBEA udiwani kwa tiketi ya Chama Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kata ya Mjini Kati, Salumu Seif Simba, amelazwa katika...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu nitajaribu kama net yangu itakuwa sawa. Nimepita pale uwanja wa Mashujaa na kukuta umati wa kweli. Nyomi ya kufa mtu. Kwa bahati mbaya niko on call hivyo sikuweza kukaa sana. Kaa mkao wa...
0 Reactions
55 Replies
14K Views
Aliyempinga mtuhumiwa mauaji ya albino atupwa Asema si shabiki wa siasa za makundi, Mungu atamlinda KATIBU wa CCM Mkoa wa Kigoma aliyedaiwa kupigania chama hicho kutomteua mgombea ubunge...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Yule Mgombea ubunge wa Chadema jimbo la Nkenge ambaye alikuwa amechukua uamuzi wake wa kusitisha michakato ya ugombea ubunge ndugu Phocas Rwegasira, ametengua uamuzi wake na sasa atagombea na...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Na Mwandishi wetu Raia Mwema Septemba 15-21 (Ukurasa wa Tatu) Katibu wa CCM wa Mkoa wa Kigoma, Moudline Castico, aliyedaiwa kupigania chama hicho kutomteua mgombea ubunge anayehusishwa na kashfa...
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Wadau, kesho fiesta wapi?. Maana,hawa wasanii sijawahi kuwaona live.Maana nimesikia wenzetu Iringa wemejinoma.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Uwapi uhuru wa vyombo vya habari Tanzania...! Huu ni ukandamizaji wa Uhuru wa habari..inawanyika haki watanzania kupata habari...! Watanzania...tuamke na kuwanyima kura mwaka huu...! I...
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Luis Moreno-Ocampo - Mahakama ya THE HAGUE. Karibu Tanzania uje ukamate Viongozi wa Serikali watakaoiba kura na kusababisha vurugu. Tunaomba Luis Moreno-Ocampo awatahadharishe viongozi wa...
0 Reactions
0 Replies
967 Views
Nani kateua mhuni kampeni za CCM? Na Anthony Mayunga Mtendaji Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba ametetea chama chake, kwamba hakihusiki na tukio la kufukuzwa kwa waandishi wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Taarifa zilizoufikia mtandao huu wa francis Godwin hivi punde kutoka Njombe zinadai kuwa msafara wa Helkopta za Jakaya Kikwete zimepotea na kushindwa kutua Lupembe na badala yake kushindwa kufanya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Imeandikwa na Theopista Nsanzugwanko; Tarehe: 22nd September 2010 BAADA ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukataa kushiriki midahalo ya wazi, mdahalo mwingine umeandaliwa ukilenga baadhi ya wagombea...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom