Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kuanzia tuianze hii awamu ya tano ya Raisi MAGUFULI,Jimbo la BUMBULI tulikuwa na matumaini kibao ya kuwa na mbuge kijana na Mwenye exposure kubwa ya kisiasa ndani na nje ya nchi yetu(hata upinzani...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
ANGUKO LA MWIGULU NCHEMBA Mwigulu ni sikio la kufa, amekuwa akiporomoka kuanzia ngazi ya familia, sasahivi amekuwa mzee wa vimada tu, baada ya kulipuliwa na wadau mbalimbali kuhusu Tabia ya...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wahenga wanasema siku hazigandi na kama ilivyokawaida October 2020 inakaribia. Na kila chama kitaweka mgombea kuanzia ngazi ya udiwani,ubunge na urais. Kwa walioshika dola tayari inajulikama nani...
1 Reactions
84 Replies
5K Views
WAITARA, NYAMHANGA WAIGAWA TARIME KWA MASLAHI YAO BINAFSI KISIASA Ni Naibu Waziri na Katibu Mkuu Wizara ya TAMISEMI. Dhamira ni kuwarahisishia mipango yao kugombea majimbo ya Tarime Mjini na...
1 Reactions
43 Replies
7K Views
Tunajua NCCR Mageuzi Ndio chama ambacho upepo unakivumia vizuri baada ya kupita kwenye mawimbi mengi kwa miaka kumi mfululizo! Kuna kila dalili hawa jamaa ndio wataunda kambi ya Upinzani...
5 Reactions
122 Replies
8K Views
Kheri ya Pasaka kwa Watanzania wenzangu. Kama tunavyojua mwaka huu kuna harakati za Uchaguzi Mkuu na tayari wanasiasa wameanza kuzunguka hapa na pale katika kutafuta kuungwa mkono. Na kila chama...
5 Reactions
61 Replies
14K Views
Inashangaza sana na inatia huruma, dunia nzima ipo katika wimbi zito la kupambana na ugonjwa wa Covid-19. Ugonjwa ambao umeua watu zaidi ya laki moja dunia nzima. Wanasiasa na wafuasi wa Chadema...
10 Reactions
84 Replies
5K Views
Ziko sababu lukuki za kuonesha namna awamu hii ilivyofeli 1. Ikumbukwe walipoingia madarakani walituaminisha masuala ya wafanyakazi hewa na wanafunzi hewa wakatuambia na kiasi walichookoa na...
34 Reactions
184 Replies
14K Views
Ni ukweli usiopingika kwamba ubunge sio tuu kuwakilisha wananchi husika lakini pia ni ajira yenye malipo mazuri na uhakika Kwa kipindi cha miaka 5 Nadhani ni wakati sasa wananchi kuanza kuwapatia...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Kwa sasa tunakaribia uchaguzi. Mbinu ya kupata fedha kirahisi kama wewe ni mwanasiasa ni rahisi sana. 1. Tangaza nia kwamba unataka kugombea jimbo fulani na hakikisha unawaambia kwa kuwatuma...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari ni za saizi, Ndugu wa Tanzania kutokana na Janga la corona ningeshauri serikali na NEC wachukue maamuz ya kutumia technologia katika kipindi cha uchaguzi. Technologia ninazo pendekeza ni...
0 Reactions
1 Replies
826 Views
Ama hakika nimeona wewe kijana Makonda ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana kiakili. Unaweza kupanga mambo kwa muono wa mbali na yakafanikiwa yaani wewe kwa lugha adhimu ni mwana falsafa. Mpango ulio...
8 Reactions
21 Replies
3K Views
Kuelekea mwaka huu wa uchaguzi,leo hebu tuwaangalie viongozi wetu wa majimbo(wabunge),tuliowapa dhamana ya uongozi ndani ya miaka mitano.Huku nilipo ni ktk jimbo la Ukonga jijini...
3 Reactions
109 Replies
7K Views
Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob ametangaza kutogombea tena nafasi ya udiwani wa kata ya Ubungo katika uchaguzi ujao unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2020 nchini Tanzania. Boniface Jacob...
16 Reactions
55 Replies
8K Views
Nimekuwa nikifuatilia siasa za Karagwe tokea uchaguzi wa mwaka 2015 ambapo ndugu Innocent Bashungwa alichaguliwa kuwa Mbunge wa jimbo la Karagwe. So far siajona kitu alichofanya kwani wananchi...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Je nani asiyeona Maendeleo ya nchi yetu yanayosababishwa na Rais wetu anayetawala kupitia Chama Kikongwe barani Afrika na Dunia Chama cha Mapinduzi?kama huoni basi siwezi kukulaamu.ila uhalisia ni...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Tarime ahamia CCM akiongozana na wanachama 50. Kasema 2015 wakati wa kura za maoni John Heche alituma watu wakamwagia sumu. Na mwaka jana katika uchaguzi wa kanda...
1 Reactions
50 Replies
6K Views
Hali ya kisiasa jimbo la Kawe kwa sasa ni kama CCM inajipanga kupata mgombea safi kuweza kumng'oa mbunge wa sasa Halima Mdee. Wanaotajwa upande wa CCM ni Kipi warioba, Angela Kiziga, Benjamini...
5 Reactions
68 Replies
7K Views
ZITO ZUBERI KABWE kwangu mimi ni mwanasiasa Mwenye akili nyingi zilizo kosa uzalendo na badala yake zikajawa na tamaa na upotoshaji. Nimekua nikifuatilia siasa za Zitto toka akiwa CHADEMA mpaka...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Halima Mdee alimshinda Angela Kizigha mwaka 2010 kwa tofauti ya kura chache sana. 2015 kwa upepo wa Lowasa akamshinda warioba kwa tofauti ndogo sana. Jimbo la Kawe kwa asilimia fulani linakaliwa...
5 Reactions
39 Replies
4K Views
Back
Top Bottom