Jk cannot afford to ignore this mans experience. Minister of Tourism and Natural resources...
Tourism executive elected to join Tanzania parliament
TANZANIA (eTN) - In an unprecedented...
Haiwezekani hapa Arusha pamoja na CHADEMA kushinda kiti cha ubunge, madiwani nao pia ni wa kumwaga alafu eti Kikwete anaongoza kwa kura. Hivi hawa CCM na NEC watufanya sisi watanzania wapumbavu...
]wasanii wengi wa filamu na muziki hawakumsapoti josephy mbilinyi na wengi waliegemea kwa mafisadi sasa kwa sababu wabunge ccm huwa hwana mpango na wasanii wafikapo bungeni zaidi ya kuwatumia ktk...
Jana nilisoma gazeti la mwananchi likidai msimamizi wa uchaguzi jimbo la segerea alikamatwa akitoka kununua chakula, alipopekuliwa alikutwa na nyara za tume ya uchaguzi, ikiwa pamoja na mihuri...
Its very sad that Bro Edo traved all the way from Monduli kuja kusaport Dr. Batilda asisain defeat.
Rumours are that they even negotiated kumnunua Lema @TSHS 900MILLION from different sources.
Why...
GAZETI LA MWANAHALISI LILITABIRI KILA KITU KINACHOTOKEA HIVI SASA SOMA HAPA CHINI. MWANAHALISI YA OCTOBER 6.2010.
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetwishwa tuhuma nzito za kuandaa mipango ya...
Wanajamii
Ndugu yangu aliyekuwa katika kituo cha Community Centre Nzega mjini amekutana na kundi la wazee wawakilishi wa TEMCO wakiwa na mafulana yao meupe ya utambulisho wa TEMCO.
TEMCO si...
ccm acheni unafiki wa kumwambia slaa akubali tu matokeo wakati
huohuo mnashindwa kuwaambia wagombea wenu walioshindwa waache
kukimbilia mahakamani . Onyesheni nyie mfano kwanza kwa kuwapiga
stop...
Katika Jimbo la Monduli
Edward Lowassa CCM 3236
Molel Aman Chadema 2358
Lakini Uchaguzi wa Rais
Kikwete CCm 27198
Wilbroad Slaa 5446
Wapi Kikwete kapata kura zaidi ya lowassa ina maana...
The time is now.
this is the time to make the better Tanzania for the coming generation.
They greedy, the want to have everything. they will never be satisfied.
Kiwete is like a devil who wants to...
1.Ni kweli demokrasia ya Tz kama ilivyo nchi nyingi hususani za Afrika bado inahitaji kukua. Kutahitajika kuwepo mabadiliko ya katiba, sheria na hata muundo wa Tume yetu ya Uchaguzi na wasimamizi...
Baada ya kuona Chama Cha Majambazi wanapoteza ushindi alitoa amri ya kutokutangaza matokeo ili Watanzania wagiribike lakini wapi, Je Dr. Slaa anaweza kumpa uwaziri wa mambo ya nje ili aridhike na...
Ivi NEC wanaweza kutuambia kuna tatizo gani kila jimbo kutangaza matokeo yake ya uraisi.
Unless kama kura za uraisi zimepigwa kwenye ofisi za NEC?
Kazi ya NEC ingekuwa kutupa idadi by...
Nauliza kwa sababu nashindwa kuelewa maana wao ndio walikuwa muhimu kutuletea habari zote sahihi za uchaguzi na Mwenye kibao wa tume angekuwa kazi yake ni kukat na kupest sasa hii ya kukat tu...
Ndugu zanguni wana JF uchaguzi wa mwaka huu kilichotokea ni kama mazingaobwe, na isingekuwa nguvu ya umma ya kudai matokeo basi nadhani ndo yangechakachuliwa zaidi ya hapa.
ndugu zangu wana JF leo...
Kwa mujibu wa katiba yetu,mshindi wa nafasi ya urais akitangazwa hakuna chombo chenye mamlaka ya kuhoji.Kwa namna hiyo basi nawashauri viongozi wa Chadema,kama sheria inaruhusu wawasilishe...
Kwa takwimu zilizomo katika gazeti la mwananchi, inaonyesha kwamba waliopiga kura jumla yao ni 20,445,725. NEC ilisema wapiga kura walikuwa ni 19+ milioni. sasa hii milioni nyingine imetoka wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.