Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
nafkiri atakubaliana nami jinsi matokeo yalivyokuwa wazi. sio sasa hivi.....yale ndio yalikuwa matokeo bwana. SLAA tuko pamoja brother. mungu anasikia kilio cha wengi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sote tunajua kuwa given the fact that miji yote mikubwa imechukuliwa na opposition there are a few assumptions to make: 1.If the rulling pary is gonna be CCM then dont expect maendeleo in your...
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Well some got to say it.. Akoonay has almost 40,000 votes against under 20,000!!!
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Biaramulo chadema wamechukua
0 Reactions
9 Replies
2K Views
nimefurahishwa sana na uamuzi wa wananchi katika majimbo mbalimbali kwa kusema hapana kwa mafisadi.ccm ijifunze kwa miaka mitano inayokuja tofauti watakiona cha moto 2015.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waungwana naomba kujuzwa matokeo ya majimbo ya ukonga, segerea na korogwe kwa mtu mwenye taarifa rasmi
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mgombea wa CCM Mheshimiwa Saning'o Telele kamshinda mgombea wa Chadema Bw. Parkipuny..........in a close race.........takwimu zitawekwa baadaye......wametangaza sasa hivi.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
DK SHEIN kamzidi Seif kwa 1% tu na kuukwaa urais znz je mwaonaje waungwana vigezo vinakidhi au?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa matangazo ya radio one/BBC mgombea wa ubunge kupitia CHADEMA ametangazwa kuwa mbuge mteule.
0 Reactions
36 Replies
5K Views
ndio wadau naomba fahamishwa matokeo ya URAISI mpaka sasa nihaho tu:israel::israel:
0 Reactions
2 Replies
1K Views
pengine iwekwe hadharani kuwa tume ya uchaguzi ni moja ya taasisi zilizowekwa kwa ajili ya kuibeba ccm. Hii imewekwa wazi na mmoja wa wapiganaji wetu ambae amesema wazi daima ccm imejiwekea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
tunaomba wana jamvi mlioko Karagwe mtupe raha kwa kuleta taarifa za ushindi. Please
0 Reactions
6 Replies
2K Views
naomba nitofautiane na wengi wetu hapa JF. mtu anapoleta habari si lazima awe na data. hata tetesi, uvumi, umbea nk zote ni habari ili mradi zisiwe za uongo. hata ukichunguza habari nyingi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Paste Update please:-Hadi sasa ....! Chadema viti vya Ubunge ----------- ?? CCM viti vya Ubunge ----------- ?? CUF viti vya Ubunge ----------- ?? Viti vya ubunge Tz...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Waangalizi wa Commonwealth wamefyatua taarifa yao ya awali ya kutathmini chaguzi yetu bila ya kujua ya kuwa haina tambuzi kuwa hatuna Tume huru ya uchaguzi ila tuna Tume ya Uchaguzi ya chama cha...
0 Reactions
0 Replies
995 Views
Jamani mbona kwenye matokeo haya sisikii matokeo ya J4 Malecela? au kapita bila kupingwa?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu hebu tulist majimbo amabayo yalikuwa na utata mkubwa wa kujaribu au kufanikiwa kuchakachua kura za Wadanganyika.... Mie naanza na 1. Shinyanga 2. Kigoma Mjini 3.....
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Mhe Slaa, Umejitahidi sana kuongeza changamoto katika medani za kisiasa Tanzania. Umeipandisha chati Chadema na huenda wewe kama mgombea wake ukapata 20% ambayo itakuwa ni historia kwa chama na...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Huu ndio ukweli. Juu ya mwamba huu (ushindi wa upinzani majimboni) tuko katika maandalizi ya dhati ya kujenga taifa la kudumu. Jk analenga urais tu kwa sasa ila udiwani na ubunge kavisusia kwa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom