Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers
Hope wazima wakulungwa Natamani kuishi masaki, masaki pananivutia sana lifestyle yake haina kufatiliana haina umbea yani kila mtu anaishi kivyake natamani siku moja nije kumiliki ardhi masaki...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Wadau, Nyumba nyingi zinathriwa na kuta kubanduka sbb ya chumvi na fungus. Nasigia kunadawa ya kupaka kabla ya kupiga rangi. Je, ni dawa ipi hiyo? Je, mikoani kama inapatikana? Tupeane ushauri.
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wakubwa Katika harakati za Ujenzi naomba kufahamu kwa wajuzi na wazoefu katika hatua hii ya skimming kwenye Jengo ukuta wa nje. Kimsingi ningependa kufahamu skimming ipi ni bora na imara...
0 Reactions
69 Replies
29K Views
Habarini wakuu, nishaaandaa bajeti hiyo na bati, nahitaji kujenga nyumba location ni Mbeya City, naombeni kupata uchambuzi wa yanayohitajika namimi nimiliki mjengo 2024 Sent from my SM-A127F...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Husika na kicha cha habari hapo juu. Huyu fundi kanistua, nondo za kusimamishia nyumba ya flow moja kaniambia badala ya kutimia binding wire tuzi chomee Nilikua nawaza hapa chuma za kuchomea...
0 Reactions
5 Replies
556 Views
Miaka yote mlikuwa wapi? Watu wamekwisha wekeza ninyi ndio mnajitokeza na kudai ni maeneo yenu? Je, hii ni haki? Sheria za ardhi zinasemaje kwa maeneo yasiyoendelezwa kwa miongo kadhaa? Na je...
7 Reactions
25 Replies
2K Views
Rejea kichwa habari hapo juu, Napenda kujua ni dawa ipi nzuri ambayo naweza kutumia maana na site yangu kuna chumba kimoja kinasumbuliwa na mchwa nichatumia ma oil mixture petrol nikachanganya na...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Nawasilimu wadau wote wa ujenzi na makazi, Nimekuja kwenu kuomba msaa wa makadirio ya nyumba ina vyumba vinne (10*11 Vitatu, Master 13*14), sitting room, jiko na dinning pamoja na veranda mbili)...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
BILIONI 4 KUJENGA AMBULANCE BOAT KUPITIA TASAC ZIWA VIKTORIA, MWANZA Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) December 22,2023 imetia saini mkataba wa mradi wa...
1 Reactions
2 Replies
336 Views
Ni nyumba za kisasa lakini bado hatuna mafundi wazuri wa kuweza kuzifanya ziendane na hali zote, zimekuwa ni nyumba nzuri sana kipindi cha kiangazi, kipindi cha mvua nyingi ni majanga matupu...
32 Reactions
240 Replies
15K Views
Habari ya muda huu, Naombeni wataalam wanisaidie kukadiria hesabu ya tofali ya kijuba hiki. Niko kwwenye hatua za awali za KUFIKIRIA kujenga, kiwanja nimeshanunua wakuu. Tuanzie hili la tofali...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Kumekuwa na mijadala mingi juu ya nyumba zilizoezekwa kwa mtindo wa kuficha paa la nyumba, ilionekana nyingi zinavuja sana. Mimi mwenyewe nikiwa mhanga wa jambo hilo. Nyumba ilikuwa ikivuja sana...
2 Reactions
2 Replies
827 Views
Mzuka wanajamvi. Naomba kuuliza ghorofa kama hili kujenga hadi kulimaliza linagharimu shilingi ngapi? Natanguliza shukrani zangu za dhati. Cc mrangi Sky Eclat Pdidy dy Mr Q Mzee Kigogo
3 Reactions
68 Replies
4K Views
Habari Wana jamvi la Jf naomba msaada kidogo kuitatua shida ya sim niliyo nayo apa kwa mwenye uzoefu sim hii nimesahau password wakufungulia screen hivyo kwa chochote nachoitaji kufanya katika sim...
1 Reactions
21 Replies
844 Views
Vipi wakuu, Naona madirisha ya aluminium siku hizi ndio mpango mzima ila kuna wale bado tunaopendelea madirisha ya chuma. Mlio na ufahamu wa bei ya madirisha ya chuma currently naomba mtusaidie...
5 Reactions
10 Replies
5K Views
Naomba kuuliza je rangi zipi zinafaa kupakwa nje na zipi zinafaa kupakwa ndani? Na kampuni ipi ya rangi iko bora zaidi
5 Reactions
108 Replies
30K Views
NAIBU WAZIRI ENG. MAHUNDI: ZAIDI YA WATU 233,000 KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI WA MUGANGO- KIABAKARI-BUTIAMA. Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka wakandarasi wa mradi wa maji...
0 Reactions
0 Replies
387 Views
Habari wakuu, Kuna boma nilinunua huku mkoani nilipo, lilikua limebakia kupauliwa tu ni boma la vyumba vitatu, master bedroom, public toilet, sitting room, dinning, kitchen na stoo, ina veranda...
0 Reactions
6 Replies
821 Views
Habari wadau naomba kuuliza kujenga msingi wa nyumba ndogo ya chumba kimoja inaweza gharimu shilingi ngapi?Nimeweka picha hapo chini. Vipimo vyake ikiwa ni mita 6 kwa 6
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Nauliza kutengeneza kma haka ni inagharimu kiasi gani?
2 Reactions
12 Replies
993 Views
Back
Top Bottom