KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Habari wanaJF wenzangu, hivi najiuliza je Mwalimu Nyerere na Mzee Karume waliwashirikisha wananchi katika kufanya maamuzi ya kuinganisha Tanganyika na Z'bar?
0 Reactions
2 Replies
859 Views
Inasemekana watanzania weng nchini wameongezeka ktk ofis za uhamiaji ku-apply passport kwa taadhari ya kutokea lolote Na wao kujua lilipo chimbo.Takwimu zmepanda ghafla...chezea hofu weye!!!!!
0 Reactions
1 Replies
758 Views
licha ya kuwa kila mpinzani anaesimama bungeni hutoa hoja na takwimu kutoka katika rasimu ya tume ya mheshimiwa jaji warioba na kuelezea kinaga ubaga lakini ccm wamebaki na misimamo, kushangilia...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Siasa nchini kila kukicha zinapata sura mpya ndani ya baadhi ya vyama vya siasa na pia katika baadhi ya makundi na watu mbali mbali. Ikumbukwe kuwa, baada ya uchaguzi Mkuu 2010, CHADEMA walikataa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Eti Utasikia Ooh! Serikali Tatu Ni Gharama Kwani Kama Mke Umemshindwa Si Bora Ukamuacha.Zanzibar Hatutaki Serikali Mbili Kama Mumeshindwa Kutekeleza Matakwa Yetu Si Bora Muka Tuachia Nchi Yetu...
0 Reactions
0 Replies
792 Views
BAADA ya wahafidhina kuamini kukanushakanusha hainufaishi dhamira zao mbaya, wameamua kupotosha. Wanavitumia vyombo vya dola maana mabunge ya sheria hayatoshi. Wanatumia makanisa kutisha na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jioni ya leo Rais Wa Tanzania Jakaya Kikwete alikuwa na mazungumzo na alikuwa akitoa hatuba yake. Ni yayo kwa yayo,maji ya futi na nyayo. Hotuba yake imejikita kwenye ubaguzi,ukabila kama vile...
0 Reactions
0 Replies
973 Views
Kuna mama mmoja anatambulika kwa cheo cha DR,juzi alichangia kwa kujiamini kabisa kuwa Rasimu ya 2 ya Katiba mpya imetokana maoni ya watanzania million 2.K'hiyo hawawezi kuwakili watanzania...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Hadi kuahirishwa kwake leo kupisha Maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na Bunge la Bajeti,Bunge Maalum la Katiba limeshatumia siku 67. Kimahesabu, Bunge Maalum limebakiwa na siku 3...
0 Reactions
2 Replies
809 Views
Wana jamii wenzangu tuliahidiwa kuwa katiba itapatikana baada ya siku sabini vipi mbona siku sabini zimepita katiba ayajapatikana?
0 Reactions
1 Replies
881 Views
WAKANDARASI wanaeendelea na kazi Wilayani Kiteto Mkoani Manyara wameaswa kufuata mikataba ya kazi zao tofauti na ilivyo sasa kuwa wanafanya kama watakavyo kwa kujilimbikizia mali,kwa uda mfupi kwa...
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Wakati bunge linaendelea kuna mjumbe mmoja wa Bunge la Katiba Kaanguka na kubebwa kupelekwa nje. Kwa walioko bungeni wanaweza kutujuza kilichompata. Mimi nimeona kupitia TBC1. Thursday, 24...
0 Reactions
63 Replies
20K Views
KATIKA HALI YA KUSIKITISHA NA INAYOKATISHA TAMAA NI KUONA KILA PANAPOFANYIKA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI KITETO KAZI KUBWA NI KUREKEBISHA WATAALAMU AMBAO WANA MADIGREE,KUWA TAARIFA ZAO SIO SAHIHI...
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Hana point ya maana anajifanya kulia bungeni kisa eti waasisi wametukanwa.Babu zao walishirikiana na hao waasisi.Hawa ndiyo masheikh wa Bakwata usanii mtupu.
0 Reactions
45 Replies
7K Views
Reference : Kauli ya JK akizindua bunge la katiba na kauli ya Lukuvi kanisa la methodist Dodoma.
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Wakuu hongera na mishe mishe za kutafuta rizki! Nakumbuka nilipokuwa napigana na mdogo wangu kama vile hatukutoka tumbo moja!; lakini kwa umoja wetu tunaungana bila sababu pindi mmoja wetu wetu...
0 Reactions
1 Replies
694 Views
Siku 70 zilizotumiwa na wabunge wa bunge maalam la kutunga katiba zimemalizika. Bunge hili limetupa mafunzo na kutuachia makovu mabaya mioyoni mwa watanzania wa pande mbili za muungano. Miongoni...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Inasikitisha sana hali inayoendelea ndani ya bunge la Katiba huko Dodoma. Awali, ilionekana kikwazo au wenye matatizo ni “wapinzani” ndio wlaiokuwa wkaitukana na wengine wamesema ‘eti...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu Watanzania wenzangu mabibi na mabwana, nimeambatanisha makala ihusuyo katiba mpya. Napenda kuwakaribisha kwenye jukwaa hili ili tujadili kuhusu katiba yetu.
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Ukianza kula nyama hutaacha
2 Reactions
72 Replies
6K Views
Back
Top Bottom