KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Hayawi yamekuwa mkutano wa kuwapongeza wajumbe wa Zanzibar uliofanyika K/maiti mjini Unguja umekuwa na dalili za msiba mkubwa ugongao nyoyo kwa chama hicho kizee hapa Tanzania ,mkutano huu umekuwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wana jamii, baada ya kuisoma Rasimu ya Pili ya Katiba na Katiba iliyopendekezwa na BMK na baada ya mmoja wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kutoa changamoto ya kwa nini tupige kura ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu Wadau. Nimem-NUKUU "Jaji Warioba akisema jambo jingine lililoondolewa kwenye Katiba iliyopendekezwa ni MAMLAKA NA MADARAKA YA WANANCHI KUWAWAJIBISHA WABUNGE WAO wasio wajibika. "RASIMU...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
WanaJF, Kumekuwa na upotoshaji na ujanja mkubwa wa wanasiasiasa hususani CCM ambao wamefanikisha kuandaa katiba yenye kulinda masrahi ya watawala kwa kiwango kikubwa. Mimi kama mwananchi ninatoa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika hutuba yake, katika sherehe ya kukabithiwa Rasimu ya katiba Mpya ya CCM pale Dodoma Jana alisema kua, yale mengine ambayo haijaingizwa kwenye Katiba, wakati wake bado, Watu bado wanahofu...
2 Reactions
215 Replies
21K Views
Mwenzenu nimesoma Katiba inayopendekezwa lakini ninapata kigugumizi kwa kuona BMK imeondoa mapendekezo mazuri yaliyokuwa kwenye Rasimu ya Pili ya Katiba iliyowasilishwa na Tume. MMoja wa wajumbe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu. Leo tumeshuhudia vyama vinavyounda UKAWA kusaini makubaliano ya kusimamisha mgombea mmoja wakati wa Uchaguzi Mkuu ujao. Mimi naunga mkono wazo hilo lakini ni vema vyama hivyo kama vina nia...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Vyama vya siasa kama kawaida vinaendeleza tabia yao ya kupora madaraka ya wananchi. Kwanza vilipora madaraka ya wanachi kwa kuwapora wananchi chombo chao muhimu sana ambacho ni bunge. Kimsingi...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Naona mchakato wa katiba mpya unafikia ukingoni, tarehe karibu zitapangwa kwa ajili ya wananchi kupiga kura ya maoni. kinachonisikitisha au kunishangaza sijaona juhudi mathubudi kuhakikisha...
0 Reactions
5 Replies
963 Views
Watanzania tumefunikwa na scandal ya Miss Tanzania badala ya suala la Katiba Mpya. Pengine tufikirie upya (Rethink) hivi ni kweli tunapaswa kutumia muda na shilingi nyingi za bundle kurusha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna kelele zimeanza kuwataka UKAWA kususia kura ya maoni inayotarajiwa mapema mwakani. Kwa kweli nisingeunga mkono kama wazo hili lingesema mfano wajitoe uchaguzi wa Serikali za mitaa au uchaguzi...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Yaani amini usiamini leo karibia mwezi unakatika MiCCM haijafanya mkutano hata mmoja kuhusiana na ubora wa Katiba wanayoisifia, haijulikani wamesibika na kitu gani, kuna mmoja alisema wanaandaa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mazingaobwe yanayoendelea kutoka kwa Viongonzi wanaojiita Ukawa yanatuonyesha kuwa wanaipenda sana Katiba ya mwaka 1977. Wamesahau na kujitoa akili kwa mapungufu makubwa yaliyopo kwenye...
2 Reactions
36 Replies
4K Views
Utafiti wa wanasayansi unaonyesha kuwa Zanzibar na mafia ndani ya miaka 100 itakuwa imezama baharini kutokana na mabadiliko ya hewa duniani.Process hiyo ya kuzama hata ukiwa angani waweza ona...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Aman iwe imetawala mioyo yenu ! Ndugu wadau hapa JF na popote pale inaposomwa JF ,ni jukumu lakila mpenda utulivu na amani kuwa makini na jinsi CCM chini ya Raisi Kikwete inavyofanya kila hali...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani hili suala la 50/50 ni Majanga kwa Wanaume. Huku Makazini hatakama kazi sio ya kutumia nguvu, lakini ukipangwa na Mwanamke basi utajuta. Kila kazi utafanya wewe. Anakuegemea kwa kila kitu...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Ilikuwa saa 11 jioni siku ya ijumaa iliyopita eneo la michenzani visiwani Zanzibar ambapo Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hammad aliwashangaza wananchi wengi baada ya...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amepiga marufuku mijadala ya Bunge la Katiba, kuzungumzwa katika vikao vya Baraza la Wawakilishi. Binafsi nampongeza sana Spika Kificho.Bunge...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema hakuna uwezekano wa kura ya maoni kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015. Akizungumza katika mahojiano maalumu na...
1 Reactions
1 Replies
910 Views
Imezingatia asilimia 20 tu ya maudhui ya Tume Masharti ya mgombea binafsi hayatekelezeki Kura ya maoni kabla ya uchaguzi mkuu haiwezekani Muundo wa Muungano umeiweka Zanzibar pabaya zaidi...
4 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom