Nahitaji mchumba wa kike mwenye kuvutia kitabia na mwenye upendo kwa mume asiwe mwalimu mwenye kudhani anavutia. Ila mimi napenda mtu asiye tapeli nahitaji aliye tayari anijulishe na ni marufuku...
Salaam wakuu?
Mimi kijana wenu miaka 23 nimejileta hapa kutafuta a life partner. Nilikua na mahusiano 4 years back na toka yavunjike sijajihusisha na mahusiano mengine sababu kua bize na masomo...
Habari wana JF,
Natafuta mme kutoka JF.
Naamini mme anapatikana sehemu yeyote.
Mimi nina miaka 29.
Ninae mhitaji awe na miaka 29 na kuendelea.
Awe mkristo.
Naomba alie serious...
Mimi naitwa Can, natafuta mke wa kuoa/kuoana naye awe na sura nzuri, tabia nzuri mcha Mungu(mkristo), Elimu yoyote, kabila lolote na Taifa sibagui.
Note that:~kua siriazi sifanyi mzaha...
Mimi naitwa Can Geofrey nina umri wa miaka 32, natafuta mke wa kuoa awe mzuri wa sura na mwenye tabia nzuri, mkiristo, mwenye umri miaka 18~27, kabila lolote, taifa lolote, elimu yoyote sibagui...
Mi sijambo,
Life is very tough and is very tough when you're lonely i said its enough. Nahitaji rafiki wa kike ambaye tukiendana tunaweza kua wapenzi, awe mzuri na awe mchakarikaji katika maisha...
Mke mwema anaitajika, mimi ni mwanaume mwenye sifa zifuatazo: Elimu shahada,umri 28 yrs,mkristo safi(lutherani),mrefu na mweusi wa maji ya kunde, nimejiajiri kwenye kilimo cha mpunga kwa sasa, ni...
Nitawasiliana na atakaye hitaji mawasiliano na mimi tuongee mengi tuwasiliane pm anitumie namba na mimi yangu 0683629183 napenda sana kupata rafiki serious wa umri huo nilioutaja,ili niweze kushea...
Mimi kama lauzi nimeshaoa ila kuna rafiki yangu yeye anahitaji mke vigezo vya mwanamke anayetakiwa umri 24 - 28 awe na kazi akiwa mwalimu itakuwa vizuri zaidi dini awe Muslim, mwanaume yeye ni...
Hi? Iam a man, hereby looking a wife material who will marry me.So If you are a woman (any religion,colour,tribe,bachelor degree,age23-32,) warmly welcome,except who have a children.
Pm My age is...
Hey wapendwa,
Nahitaji marafiki wa kuchart na kubadilishana mawazo. Pia napenda kujifunza mengi kupitia watu mbalimbali sibagui dini.
jinsia wala kabila.
Nina miaka 28, Mnyakyusa, mrefu wastani nata msichana awe Msukuma. Maji ya kunde, mcha Mungu na awe na heshima na adabu na umri 25 kushuka.
Aliye tayari ani PM na nitamjibu
Mimi ni mwanaume rijali natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo, asiwe amewahi kuolewa, asitumie kilevi chochote, asiwe na mtoto, umri wake 20-32, mvumlivu na mpole.
Elimu shahada ya kwanza...
Habari ya mchana wapenzi wa MMU,
Natafuta rafiki wa like awe ana miaka 25 na kuendelea awe anaishi Dar mimi nipo Dar. Mimi mkristo.
Mengine aje pm
Asanteni na karibuni
Habarini wakuu,
Natafuta mke wa kuoa anaeishi Kibaha atapewa kipaumbele, umri wangu ni miaka28 nipo siingle sijaoa, mke ni mtakae awe mweupe, elimu kidato cha sita na kuendelea, asiwe na mtoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.