home arusha,baba mngoni, mama mchagga.....kwa sasa nipo dar
kuna mkaka anafanya kazi jirani na jengo letu, tunashea kantini.Ni mzuri na mpole sana
skutaka kumuliza kama ana mke- bcs siitaji...
Wengi wao wakizaa ndiyo basi kabisa muda wote wanajifanya wanamcare mtoto, siku zote mume ndiyo anakuwa muhamasishaji wa mechi, uzembe huu huwa unafanywa sana na wasichana walio kwenye ndoa...
Miongoni mwa matatizo makubwa kabisa yanayowakabili wanaume katika suala la kujamiiana ni kufika kileleni mapema. Takwimu zisizo rasmi zinaonesha kuwa, wanaume saba kati ya kumi wanakasoro hii...
Pindi nipo chuoni Udom mwaka 2009.. nilpata mtoto mmoja Black beauty mrefu kiasi na mwenye sura upole. Jina ..A.. kwa kuwa niliweka nadhiri ya kutofanya nae mapenzi kipindi cha mahusiano...
aiseeee babayangu salamu nyingi ziwafikie wanaJF
jana nimemwona binti yake obama live bila chenga aiseeeee si mchezo mtoto katulia chuchu saa 6 mchana nimetokea kumpenda sana,ngozi...
Eti Mi nimemtembelea demu wangu, siaonana nae siku toka amehamia makazi mapya. Wapangaji wenzie wamekaa coridoni karibu na mlango wake ili ninapotoka wanione. Sijui ili iweje? Kama akitaka...
Hapo kati mamsapu aliniletea sana za kuleta na siku moja akanitamkia wazi kuwa amechoka kuishi na mimi (baadae aliomba msamaha akasema alipandwa na hasira). Kipindi tulichochuniana nikakutana na...
Week iliyopita nimeanza rasmi maisha mapya baada ya kumaliza shule..ah ndani ya week moja Tu nayaona magumuu.
Nahisi kua soo lonely,namiss marafiki nliosoma nap japo twawasiliana kwa simu
Kuna...
Kuna jamaa mmoja ni mwanachuo alitokea kumpenda dada mmoja ambaye ni mwanachuo mara ya kwanza wamekutana kwenye discussion, jamaa akamwomba namba yule duu akampa alipohipata tu,jamaa akaanza...
If you are married, there are TWO things involved:
You cheat on your spouse OR you are being cheated.
If you cheat on your spouse, you are SAFE! If you are being cheated, there are TWO...
Baby Girl Swims Like a Pro - YouTube
Jamani ni vyema kumfundisha mtoto wako akajua kuogelea tangu akiwa mdogo ili hata akikutana na mazingira hayo hata kwenye hatari anaweza kujiokoa.
Haya wazazi...
Ule usemi usemao "ukistaajabu ya Musa...." umedhihirika pale ambapo jamaa moja linalojiita mume wa mtu, limekuwa likimlipisha mkewe nauli. Yani gari amenunua mwanaume, ila mke akitaka msaada...
Guys in the stress free zone! I'm here. These are 10 differences between girls and women, of course every man need a woman and every woman need a man, no girl need a man until she become matured...
Dear wapendwa
mwezi uliopita nilikuja na maombi yangu juu ya bibi yangu alie pichani ..huyu ni bib mzaa mama na mwaka jana jun nilikuja kushukuru mungu kwa kumpumzisha mama yangu kipenzi mildred...
Natoa shukrani kwa ubunifu wenu wanajamii ndani ya MMU, kwani tangu nijiunge na JF kuna maneno mapya yafuatayo nimeongeza katika misamiati niliyonayo. Aidha maneno hayo yanamkosha sana wife kwa...
Mi navutiwa na yale yanakuwa kama mabano ila zasizidi sana. Na binti akiwa na mguu mzuri ndio nalogwa kabisa hata Airforce one ntamuhonga japo sina! Yale ya kuficha kifanyio sipo kabisa, kwangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.