Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
nb mwenye aliniomba nimtangazie ameshapata kazi:ahsante
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Vipya kabisa kwa sh 55,000Tsh kwa kimoja Piga 0715531232
0 Reactions
0 Replies
320 Views
Umewahi kujiuliza pamoja na ukubwa wote kampuni kama ya coca cola kwa nini bado wanaendelea kujitangaza? 👉Idadi ya vinywaji vya Coca-Cola vinavyonyweka kwa siku moja ulimwenguni kote inakadiriwa...
9 Reactions
63 Replies
7K Views
Simu inauzwa Infinix Hot 10i 64GB Mali halali, mwenye nayo kapata dharura ana shida na pesa ya haraka. Price 150k. Location [emoji625]Dar es Salaam. 0676721372 | 0768315019
0 Reactions
0 Replies
410 Views
Habari wakuu, Moja kwa moja kwenye tangazo. We offer the following services 1. Shrub & hedges trimmings 2. Lawn restoration & turfing 3. Pest & Wedding control 4. Soil Preparation &...
2 Reactions
3 Replies
316 Views
Wana jf wenzangu ninataka kuchimbiwa kisima katika shamba langu liko Dodoma ili nitumie kwa umwagiliaji.naomba wanaofanya uchimbaji wa visima jitokezeni mnijuze gharama zenu ili nione yupi...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Samaritan Water Solution LTD ni wataalamu wa kuchimba visima kwa kutumia mitambo ya kisasa kabisa. Tunafanya survey kwa bei nafuu. Pia tunatengeneza machine za kuchujia maji kwa wale wenye visima...
3 Reactions
37 Replies
5K Views
Wana jf habari subwoofer yangu nauza Inatumia Bluetooth, flash, memorycad Pia kwa watu wenye sola wanaweza kutumia pia Volume 98 Bei 95,000 Nipo Chanika dar es salaam Mawasiliano 0623892902
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Macbook pro 5.1 Hdd 350 GB Ram 4 GB Size 15 inch Chaji mpaka masaa 3. kIPENGELE. Keyboard inastuck kwa hiyo natumia external keyboard ambayo ni wireless na ina mouse yake. Kingine ina creck...
0 Reactions
6 Replies
691 Views
Hello ladies and gentlemens? Poleni na pilika pilika za maisha nimekuja na habari nzuri kwenu kwa wale wapenzi wa Sato wabichi (fresh) Tunatoa huduma ya kuuza samaki fresh aina ya Sato kwa bei...
2 Reactions
6 Replies
762 Views
Je unateseka na kitambi sugu/manyama uzembe na umetumia dawa kadhaa na haijsaidia? Basi usihofu jiunge nasi saa 12:15 asubuhi pale mlimani city mall (geti la kuelekea Survey/Chuo Kikuu kwa ajili...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari wakuu Natafuta appartment ya NHC kati kati ya mji kuanzia magomeni, Upanga, Mikocheni na maeneo yoyote jirani na Mjini Piga 0713- 039 875 kama unafahamu utaratibu
0 Reactions
3 Replies
509 Views
Habari za sasa wana jf? niko mwanza natafuta bidhaa hio kwa bei nzuri. nipo mwanza Igoma namba: 0744 033 555
0 Reactions
1 Replies
874 Views
CONTAINER 20ft FOR SALE Container for sale, ni 20ft jipya kabisa na limeshakatwa. Lipo Goba Njia nne Bei 4.8m 0679300893
0 Reactions
0 Replies
422 Views
Nauza simu aina ya itel A37 kwa bei ya Tshs 60,000 tu *Screen (5.7 Inches) *Battery (3020 mAh) *RAM (1.00 GB) *Storage (16.00 GB) *3G/2G auto Simu iko kwenye hali nzuri sana, inakaa sana na...
1 Reactions
0 Replies
721 Views
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, Jee Kuna Ukweli Kuwa in Tanzania, Mafuta ya Vituo vya Total, " They are The Best?. If Yes, How?!. Juzi kati katika kusheherekea Sikukuu ya Wapendanao...
4 Reactions
53 Replies
13K Views
Stationery Inauzwa. Bei 2,500,000 (Hakuna Punguzo). Stationery Ipo Mwanza, Jirani na chuo kikuu cha Mtakatifu Agustino. Stationery ipo katika eneo zuri sana na inawateja wengi sana. (Sababu za...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa wale wanaohitaji kufaham kinagaibaga biashara ya madini kitabu hiki kitakupa mwanga wa wa kujua yafuatayo 1.Aina za madini na mahali yanapopatikana nchini Tanzania 2.Bei ya madini sokoni na...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Mifumo salama kwenye nyumba yako au ofisini kwako. Gesi ya kupikia inahitaji kuwekewa mfumo salama kwa kufanya pipeline ambazo zitakwenda kwenye jiko au mahala inapohitajika gesi kutumika Tu...
2 Reactions
1 Replies
466 Views
Back
Top Bottom