Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
nimejalibu kufata procedure zote ila ina fail ku up root mfn nime download boost app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana jamii forum, toyota IST inauzwa. Detail zake hizi hapa; Chasis No: NCP61-0023873 price; 13 million Mileage: 81 Kkm Colour : Pearl White Fuel Type : Gasoline Status : available...
0 Reactions
0 Replies
885 Views
Natafuta simu HTC one 600000/=
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Imetumika miezi4 toka October 2013.Bei Tsh 440,000/=. USB,HD Ready. Niko Dar - Tegeta. Nauza nimenunua inch 42. 0717017820.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wakuu....nahitaji kununua pikipiki kwaajili ya biashara .Budget yangu ni laki nane tu na iwe kwenye hali ya kuridhisha kabisa! Mwenye nayo ani PM.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Je wewe ni mfanyabiashara au mjasiriamali mwenye biashara kubwa au ndogo....Then njoo kwetu upate Logo/Nembo itakayoweza kuwakilisha biashara yako mahali popote pale....Kwa anayehitaji logo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza gari kwa bei poa sana..lipo tanga kwa maelezo zaidi piga namba hii 0787108200
0 Reactions
9 Replies
2K Views
KUNA SHINDANO LINAENDELEA HUAWEI FAN PAGE.. NA WANATOA SIMU YA HUAWEI ASCEND G510. SASA ILI USHINDE INABIDI UPATE LIKE NYINGI UTAKAPO SHARE PICHA YAO PLEASE NAKUOMBA UNISAIDIE KU-LIKE PICHA...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Bei ni maelewano ninapatikana mikocheni "A" wasiliana nasi kwa no 0719891518 karibuni sana
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Specification: General System Type Notebook Operating System Microsoft Windows XP Professional Processor / Chipset CPU Intel Celeron 2 GHz Cache L2 - 256 KB Front Side Bus 400 MHz Chipset VIA...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
viwanja vinauzwa ukubwa mita 22x20 4.5milion na mita 22x40 9milion Viko kilomita 4 kutoka morogoro road unaingia mkono wa kulia ukitokea mjini, barabara inayoelekea goba. Kwa taarifa zaidi piga...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Samahani wakubwa, Kama yeyote aliyewahi kununua product yoyote E-BAY na akaipokea hapa bongo naomba anipe utaratibu kuhusu shipping method na wapi pa kupokelea na nama ya kulipia bidhaa.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Nauza kiwanja bagamoyo mjini eneo la nia njema kina hati ukubwa ni 79/50 sawa na hakari moja pazuri kwa kujenga hotel ,hospital ,chuo bei 60,000,000/- mazungumzo yapo simu no 0785070856
0 Reactions
0 Replies
894 Views
naomben msaada wa mweny access na simu ya experia z iliyo na vitu vyake ni iwe kweny box lake kwa lak 7.
0 Reactions
2 Replies
815 Views
Wadau, kwa mtu anaefahamu bei na mahali naweza pata mashine ya kusaga nyama iwe mpya au used anifahamishe tafadhali au mwenye nayo na anataka kuiuza ani pm
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Epson WorkForce 7515 printer, Inauzwa ni Printer, Copier, Scanner, Fax, Wireless yani Wi-Fi, Network port, card reader, Ina print A3 paper size na A4 kawaida, print picha lab quality inatumia wino...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za usiku wakuu...nilikuwa nahitaji samsung s2 used,ila isiwe clone. ##mm nitakupa tsh laki 2 pamoja na blackberry bold 9780 (white),ipo in good condition,no scratchez na haina matatizo yoyote
0 Reactions
2 Replies
828 Views
pls naombeni msaada wapi naweza nikapata screen ya laptop na housing yake? laptop ni dell inspiron model no 3521
0 Reactions
0 Replies
699 Views
Ninauza Solar Panels za kuchemshia maji. Sababu ya kuziuza ni kutokana na kubadilisha mfumo wa kuchemsaha maji ya moto. Ziko kwenye hali nzuri sana na zimetumika mwezi mmoja tu. Mawasiliano...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninauza FRITZ!Box 6810 LTE Hii ni Wireless router ya SMILE ina kasi ya 4G Niliinunua mwezi wa February 2014 kwa shilingi laki tatu na nusu NINAIUZA KWA KUWA NIMEPATA ISP(Internet Service Provider)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom