nauza kiwanja changu kipo
mikwambe dar es salaam.mikwambe ipo bara bara
ya kigambon kongowe. Kiwanja kipo kwenye mtaa
uliojengeka vizuri na wenye bara bara za mtaa.
Huduma zote zipo...
nauza kiwanja changu kipo
mikwambe dar es salaam.mikwambe ipo bara bara
ya kigambon kongowe. Kiwanja kipo kwenye mtaa
uliojengeka vizuri na wenye bara bara za mtaa.
Huduma zote zipo...
Habari,
ndugu zangu,baada ya kutoka masomoni ughaibuni niliajiriwa na kampuni moja ya marketing kwa miaka 2 ambapo nilijifunza mambo mengi.Kwa malengo niliyojiwekea ni kufanya nao miaka 2 then...
swag tablet ni aina ya tablet zenye uimara wa hali ya juu(world first class tablet)
specifications
7 inch 5 touch capacity touch
The memory is 512MB RAM
It has a 4gb on-board storage ...
House for sale near ada estate close to learders club....two in one house for sale with alluminium windows...tiles..gypsum..three bedrooms with one master bedroom..pelvin around the...
Habari ndugu wajasiliamali wenzangu.
Nataka nifahamishwe jana kuna sehemu nilienda ni porini na nikaona Mawe meupe mfano wa karatasi yapo kando ya kijimto.
Na pia ndani ya maji ya huo mto kuna...
Nakaribishwa wenye makampuni au ofisi binafsi au shule au hotel wanaotaka kukodisha kwa mkataba toyota noah ambayo ina week moja tu tangu iingie kutoka japan kwa matumizi mbali mbali.
Rangi...
Wandugu ninahitaji xenon bulb. Niko Dar. Mwenye kujua anifahamishe wapi nitapata. Ninapata shida ninapokuwa safarini. Ukiwa nazo unakuwa na uhakika wa safari za mikoani hata usiku unapopata...
Huawei Y300,mpya kabisa, zipo mbili, zinapokea line zote, zina flip cover ya leather, zote zipo kwenye mabox yake na kila kitu chake kama vile charger, USB cable, screen protector na 4 GB memory...
Wakuu mwenye kuuza aina hizi za tecno smart phone tuwasiliane haraka.
Tecno F7 (Phantom), M7, N7, M7 au L3.
Bei ni kulingana na aina tecno uliyonayo. ~12000tsh=
TAFADHARI MWENYE TOYOTA IPSUM OLD MODEL NYEUSI AU METALLIC, IWE CLEAN NDANI, BODY SCRATCH ZISIWE NYINGI AU ZISIWEPO, ATLEAST BELOW 120,000 MILAGE, KILA KITU KIWE VIZURI..... YAN IWE KTK HALI...
Kipo chanika kama km 3+ toka chanika mwisho,
panafikika kwa gari,
ukubwa mita mraba 80x100.
Hapajapimwa, mnunuzi anatarajiwa kushughulikia baada ya kupata hati za mauziano
bei 15...
Za saa hizi wana jf,Kwa jina naitwa Nicholas kama inavyoonekana kwenye profile name yangu,mimi ni mfanyabiashara na mwanafunzi wa ifm mwaka wa mwisho katika fani ya sayansi ya computer. Kibiashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.