Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Salama wakubwa! Nina computer za kutosha za dell, ambazo zina specifications mbali mbali kama nilivyofafanua Pentium 3 /4 Ram ; 1GB /800mb Hard disk ; 30GB /40GB/80GB/120GB DVD Rom...
0 Reactions
1 Replies
634 Views
hi guys mashine hiyo on sale in dar the car is in good condition and clean interior, car specs are on image 370. it has been used for tours company. price is 12m with room to negotiate...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimepata mambo mengi sana tangu nilipoingia jamii forums. Wanachama wake ni watendaji kila wanaposoma issue ya mtu na kuelewa pale inapowezekana wamekuwa wanasaidia sana. Naomba kwa mara nyingine...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kipo busweru kina sq metre 2400 kwa 20 mil,kama unahitaji call 0715251100,mazungumzo yapo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa, kodi kwa mwezi ni tsh milioni moja ipo karibu na shule ya msingi mbezi beach. kwa mawasiliano zaidi kwa atakaeihitaji piga 0655 44 44 40
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nokia X201 inauzwa bei poa Tsh. 110,000/= Simu ina camera, EDGE class 32, Bluetooth, memory card slot up to 16GB, QWERTY keyboard. Wasiliana nami +255716300091/+255753686485
0 Reactions
0 Replies
780 Views
wanajamvini viwanja 20 viko sehemu moja,vinapatikana luchelele karibu na kwa mkurugenzi,Vimepimwa na vimetengwa kwa makazi ni vizuri kabisa,documents zote zipo,anahitajika mteja wa haraka...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nahitaji chumba kimoja cha kupanga maeneo yoyote ya jiji la Dar es salaam yenye sehemu tulivu. Kodi 30,000 kwa mwezi na nitalipa kodi ya miezi 6 ili kuangalia mazingira kwanza. Mwenye nacho...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Asanten xana wadau kwa msaada mlonpa kutft zle cm nyngne nilzpata bt kmtaamtaa XAXA LILILOKUBWA KUNA M2 WNG ANATAFUTA NOKIA N97 NAOMBEN MNISAIDIE NA HILI WKT KDOGO KIDOGO NAENDELEA KUTAFUTA...
0 Reactions
4 Replies
797 Views
Natafuta Ipod ambayo inafunction fresh na iko katika hali nzuri. Bei ni maelewano na itategemea na condition ya bidhaa yako ilivyo. PM fast kama uko interested.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello wadau Naomba msaada nahitaji kununua decoder za Abu dhabi na kulipia ili niweze kuona EPL matches. Nitapata agendt hapa bongo. Msaada tafadhari
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nokia X201 inauzwa bei poa Tsh. 110,000/= Simu ina camera, EDGE class 32, Bluetooth, memory card slot up to 16GB, QWERTY keyboard. Wasiliana nami +255716300091/+255753686485
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mambo vp wana JF? Nauza Duet Cc 900, ODO 68,700 kms iko kwenye ubora. Bei ni Tshs milioni 5.5 tu. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba; 0717 123464 au 0762 101178. Karibuni sana.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiwanja kina sqm 1,500 kina hati tayari , kipo pembeni ya barabara kipo gezaulole ,kigamboni ni km 17 toka feri sehemu hii ina viwanja 2 vinavyopakana hiki cha super market kinapakana na cha kituo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
DELL INSPIRON 1150 FOR SALE!!!!!!! Specification HDD 20 gb, processor 2.2GHZ, RAM 512MHZ PRICE Tshs 200,000/= inakaa na charge! Contacts: 0714448864/0767448864
0 Reactions
0 Replies
704 Views
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo yafuatayo 1. Sinza 2. Kinondoni 3. Sayansi 4. Makumbusho 5. Mikocheni Iwe ina sitting room, bed room, jiko, choo, na ka store kadogo. Bajeti yangu ni kati ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
NIAJE WANA JAMII! Computers (dell) zipo sokoni kwa yoyote mwenye kuitaji. Ni desktop na zinaenda kwa 300000/- kwa set ; yan (CPU, MOUSE, KEYBOARD,FLAT PANEL SCREEN) Feel interested...
0 Reactions
4 Replies
963 Views
Salaam zenu wadau, ngependa kujua kama kuna uwezekano wa kupata hii samsung s3 kwa bei nafuu na wala sichagui rangi...mnaweza kuni PM au 0712859798 Ahsanteni kwa ushirikiano
0 Reactions
0 Replies
733 Views
WE ARE PROFESSIONALS IN GSM INDUSTRY FOR THE FOLLOWING SERVICES UNLOCKING ANY GSM PHONES IPHONES NOKIA SAMSUNG ALCATEL BLACKBERRY UNLOCKING ANY GSM MODEM ZTE HUAWEI VODAFONE...
0 Reactions
2 Replies
736 Views
Hijakamilika ina vyumba vya kulala vitatu, jiko, sebure na sehemu ya meza ya chakula. Ukubwa wa kiwanja mita 25 kwa 30. Bei 35mil. kwa maelezo zaidi piga simu 07171114409
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom