Salaam!! Ninataka kununua simu aina ya Nokia E5!! Huwa inakwenda kwa bei gani?? Nipo Tunduru jamani na sina access ya maduka ya simu. Kuna mtu nataka nimuagiza dar
Habari wakuu, nauza incubator ndogo ya mayai 60,inatumia umeme bei ni 230,000/=
Na pia washing mashine brand name ni BEKO, RPM 1000, inauwezo wa kufua nguo kilo 5, bei yake ni 500,000/=.Kwa...
Khabari wana JF! kwa wale wanaohitaji viwanja vilivyopimwa
1. kuna kiwanja kipo mbweni kina ukubwa wa sqm 1000 bei yake ni ml 28
2. kiwanja kingine kipo bunju b block no'14 chenye ukubwa wa...
Watu wengi wamekua wakitaka kutumia official emails lakini wamekua hawajui ni namna gani wanaweza kuzipata. Suluhisho limewadia, kwanini uendelee kutumia jinaLako@yahoo.com , jinaLako@gmaill.com...
DVD za Elimu ya Utambuzi zenye mafunzo ya Elimu ya Utambuzi yaliliyokuwa yakitolewa na Marehemu Munga Tehenan Mhasisi ana kiongozi wa gazeti la JITAMBUE sasa zinapatikana kwa gharama ya shs 10,000...
Nauza shamba langu lenye ukubwa wa ekari tano.lipo chanika jijini Dsm.
umeme upo
barabara inafika hadi ndani ya eneo.
ni zuri na linafaa kwa aina yoyote ya uwekezaji na kwa makazi.
ni pm au piga...
Wana jf kuna bajaj zinauzwa, moja ni 2 strock badoimara imutumika kwa muda wa miez10 bei yake tshs.1800 000 nyingine ni tvs bado makini imetumika kwa muda wa miezi 7 bei tsh.3.4m kwa muhitaji piga...
Buy a plot in an exclusive gated community and build your dream house from TZS 15m (@ this price you get a plot,arch designs from our signature collection,architectural guidelines and plaque) or...
Habari,
Nahitaji kununua line ya u wakala wa tigo pesa na M pesa kwa mtu yeyote alieshindwa biashara......
Hii ni kutoka na que kubwa ya wateja kwa ajili ya kupata uwakala M pesa na mimi nipo...
Nyumba yenye eneo kubwa kabisa inaunzwa
Ukubwa wa kiwanja ni 60x120
uwanja wote umezungushiwa ukuta nageti
nyumba ina
4 bedrooms
1 kitchen
1 dinning room
1...
House for Sale in Block G, Plot na.1417 Tegeta (Ma site) Kinondoni Municipality DSM
Size:1291M2
Guide Price: Tshs.350,000,000 ( milioni mia tatu na hamsini)
Description: It is very private and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.