I am selling old computers, UPS, a photocopier, and printers. I was using the equipment in my 'stationery' business. They are not in perfect condition but they can be repaired and used or...
nina simu Nokia n73 symbian os orijino,nimeichoka kuitumia na ipo katika hali nzuri natafuta mtu wa kubadilishanae na simu nyingine,yoyote anijulishe ana simu gani tumadilishane!
HAPPY NEW YEAR 2012 Wale wataalamu wa I.C.T wanashughulika na huduma zifuatazo;-
- HOME SATELLITE DISH
- COMPUTER MAINTANANCE and REPAIR
- CCTV CAMERA INSTALLATION
- DATABASE DEVELOPMENT and...
Nawasalimu wajameni, Naomba mwenye ufahamu ni wapi ndani ya bongo (Dar) naweza kupata GPS (Global Positioning System) anielekeze ninahitaji kupata kadhaa. Natanguliza shukrani.
Habari wakubwa,
Blackberry 9300 3G kwa 320000/= unaweza upgrade to OS6
Blackberry 8520 kwa 230000/=
Simu zote ni mpya na original kabisa.
Nipigie 0655003510
wakubwa heshima kwenu,jana katika pilikapilika eneo la gerezani kkoo-dsm, nilisahau mkoba uliokua na laptop mini hp pamoja na documents nyingine,niligundua baada ya masaa mawili na niliporudi pale...
Kwa yeyote ambaye ana simu ya nokia 5130-express music,ambayo kioo/display yake imevunjika anitafute nitampa bure ipo kwenye simu yangu ambayo ilizima tu ghafla ila display ni nzima,cha muhimu...
Habari njema kwa watanzania wote. Kampuni ya Young Master Supplies & General Enterprises inakuletea training DVD ambazo zitakuwezesha wewe Mtanzania kuweza kujifunza kutumia computer au program...
Habarini wakuu
Natumaini mmesherehekea vizuri sikukuu ya x-mas na tunausubiri mwaka 2012 kwa hamu panapo majaaliwa.
Ninaomba kujuzwa kwa mambo kadhaa kuhusu aina hii ya gari mitsubishi lancer...
Iwe na 2GB ram,120GB HDD au zaidi,2Ghz,dvd rw,wifi,charge ikae masaa 3 au zaidi,kama ni mini bas iwe na 320GB HDD au zaidi,nina 350,000/= niPM kama unayo
Wakuu,
Nina Bajaj naiuza, hii ni baada ya kuamua kuachana na hii biashara. Vielelezo (specifications) vyake ni kama ifuatavyo:
Ni 4 strokes (205 cc)
Ni ya April 2011
Iko Dar es salaam.
Bei ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.