Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Samsung j7 galaxy 2016 Imetumika miezi kumi hadi kufika leo. Bei 250k. Sehemu ni dar pugu.
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Kama kchwa knavyojieleza hapo juu Simu ina mwezi tu tangu inunuliwe Inauzwa kwasababu maalum bei ni ya kitonga Laki mbili tu (200000)
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Luxury Quartz Male Wrist Casual Leather Band Watch Brand: Miler Condition: New Band Material Type: Leather Case Material: Stainless Steel watch color: black & brown Price: 40,000 ( Haipungui )...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nilinunua piki piki kwajili ya matumizi binafsi kwenye shuguli zangu za kila siku. Kwa sasa nimepata usafri mwingine kwajili ya shuguli zangu. Na mimi ndio mwenyewe piki piki hii na...
0 Reactions
23 Replies
10K Views
Wadau nilinunua hii mashine mwaka jana mwezi wa 11 hivyo bado mpya ina milango 8 na master,shilingi 600,000/=,kinachonisababisha kuuza ni kukosa usimamizi wa biashara niliyotaka kuifanya...
0 Reactions
5 Replies
676 Views
Nauza Metal feni iliyotumika muda mfupi, infaa kwa matumizi ya kumbi za mpira, baa, club, kanisani na sehemu kama hizo. Bei ni 120,000. Tsh. Ni inbox nikuuzie.
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Najua ni wengi wanakereka na hili,lakini zipo njia nzuri za kuweka mwili sawa, FITNESS EMPIRE tunakuletea kifaa rahisi kwa mazoezi ukiwa nyumbani kifaa ambacho unaweza fanya mazoezi ya mwili mzima...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
MAHINDI yanauzwa Tsh 470/kg Ziko tani 400 Mzigo unapatikana tabata- Dar es salaam. MAGUNIA yaliyotumika mara 1 yanauzwa. Yako 2200 Bei kwa gunia 1 ni tsh 2500 Magunia yanapatikana tabata- Dar...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Epson L800 nzuri kwa kuprint picha na mahitaji mbalimbali inatumia external ink ipo vizuri kama unahitaji ni sms 0715387545 au piga simu TSH 650000
0 Reactions
2 Replies
4K Views
I am the one who deleted it myself. THE ITEM IS SOLD ALREADY
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Type-hp Processor-core i5 Ram-4gb Hdd-500gb Bettry life- 4 to 5hrs Price-400,000tsh 0764319884 dar es salaam
0 Reactions
9 Replies
869 Views
Wakuu habari za mihangaiko na kutafuta maendeleo!. Nimeanzisha Uzi huu maalumu kwa lengo la kuwaleta Engineers, Civil contractors na project managers pamoja kwa lengo la kupeana taarifa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari Za mchana, kuna shamba Linauzwa vifaa tunauza vifaa vilivyokuwepo ndani ya shamba kama ifuatavyo; solar panels na battery yake size ya 300watts laki 6,vitanda viwili 4*6 kila kitanda laki...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Radio Spika Majiko Feni Taa Pasi Ulizia kitu ambacho hujakiona hapo, bei zilizobqmdikwa ni za jumla ukitaka 1 utaongeza pesa kidogo tu. Karibuni sana 0625547181
0 Reactions
26 Replies
45K Views
Tsh 200,000 Warrant mwaka mmoja Tunapatikana kkoo msimbaz na China Plaza FL ya pili ukiagza tunakuletea ulipo mda wowote sisi ni huduma kwanza malipo baadae free delivery Contact :0714417739
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Achana na kilimo cha kutegemea mvua Sasa nawaletea GREENHOUSEDrip irrigation , drip tapes na accessories zake na reserve tank la lita 3500 kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji kisicho na stress...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Naulizia universal router anayeuza wana ndugu JF
0 Reactions
0 Replies
384 Views
Magauni ya harusi yamekodiwa mara chache yana hali nzuri , moja ni jipya , pia yapo ya send off na sherehe mbalimbali . Yanafaa kukodisha au matumizi binafsi. Kuanzia laki moja (100,000 -200,000)...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Kabati Na top hapo nipo mbagala mbande top 120000/ Kabati laki mbili Na nusu vioo vya shelf ya kat vimevunjika mdau anaweza anaweza kuweka vingine mamba ni 0656560824
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wadau,nauza maziwa ya ngombe fresh kwa bei ya sh 2000 ,maziwa mtindi 3000 kwa kila Lita,kama utachukua kila siku being inaweza kushuka . Mayai ya kienyeji tray 15,000 Ninaishi kiluvya...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom