Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
habari wadau.. Naomba kujua mshahara (basic salary) kwa technician wa electronics and telecommunications engineering katika hayo maeneo: TBS, TBC, TTCL, TPA na sehem nyingine ambazo ana apply. NB...
2 Reactions
77 Replies
30K Views
Habari za Uzima Ndugu zangu. Mimi ni Kijana wa Kiume Mwenye Umri wa Miaka 26 Nina Usikivu Hafifu. Hali hii imenifanya Nakosa Kazi / Mishe. Juzi Niliitwa kwenye Usaili Kwenye Kampuni Ya Ulinzi Ya...
7 Reactions
19 Replies
936 Views
Habari, Mimi ni kijana Nina miaka 24, Nina degree ya Sanaa ya geografia na mazingira, nipo Zanzibar. Mwenye connection ya ajira ya kada hio tafadhali.
2 Reactions
19 Replies
663 Views
Naona mambo yameanza kunukia nukia kwa wale ambao tunasubiria kupata huu mchongo ni muda sasa wa kukaa kitaalamu na kwa password zaidi Mungu atujalie sisi jobless tupate hii kazi angalau...
5 Reactions
18 Replies
3K Views
Kwa vijana wenzangu wenye kujishughulisha na fani za Ufundi Tiles/Marumaru Rangi CCTV, Fire alarm Mnitafute, kuna nafasi ya kupata tenda.
0 Reactions
3 Replies
289 Views
Looking for reliable and efficient data analysis services? Look no further! Our team of experts is here to provide you with top-notch analysis using the latest technologies. We offer a variety...
0 Reactions
2 Replies
523 Views
Location:Mbeya, Tanzania Category:project/Program Management NGO: HJF Job Description Overview Join the HJF Team! The Henry M. Jackson Foundation for the Advancement of Military Medicine...
1 Reactions
1 Replies
464 Views
hizi tgs au ngazi za mishahara ndo sh. ngapi ngapi?
0 Reactions
17 Replies
24K Views
Habari wakuu Naomba kwa mwenye mchongo wa kazi kwa binti. Anaishi na bibi yake na bahati mbaya kapunguzwa kazin kwenye kampuni ya usafi na yeye ndio tegemeo kwa bibi yake. Yuko Mwanza Igoma ana...
0 Reactions
15 Replies
533 Views
Leo ningependa kuzungumzia namna kijana yoyote wa Kitanzania ambae una utaalamu na/au ujuzi katika eneo fulani unavyoweza kupata kazi katika mashirika na makampuni ya kimataifa yaliyopo popote...
46 Reactions
202 Replies
14K Views
Wakuu ninatafuta kazi ya Maabara ,Nina miaka 30yrs ,mwenyeji wa Kahama ila Kwa Sasa napatikana Mbulu...hebu naombeni nafasi ya kazi kupima Maabara...Maana serikali imeipa kisogo sana sekta ya...
2 Reactions
2 Replies
484 Views
Ulishawahi kuona yale Mazingira ya kushindwa jambo au kukosa fursa kabla hata hujaipata, basi kuna wakati unaweza kujikuta umefeli Interview hata kabla ya kupewa Majibu na Kampuni husika...
5 Reactions
38 Replies
2K Views
Habari wakuu, Tunatafuta watu wa kudesign logo, cover na poster za kuvutia. KAMA UNAWEZA KAZI HII EMBU TUTAFUTE WHATSAPP: 0747744895 KARIBU
2 Reactions
7 Replies
450 Views
I hope mpo poa wakubwa👍. Nilikuwa nauliza kwa mtu anaejua full stack web development mshahara wake huwa ni shilingi ngapi? Au akiwa kama freelancer anaingiza amount gani average?
0 Reactions
15 Replies
731 Views
Founded in 2006, One Acre Fund supplies 1 million smallholder farmers with the agricultural services they need to make their farms vastly more productive. Our 8,000+ team is drawn from diverse...
0 Reactions
1 Replies
241 Views
Anahitajika translator wa lugha ya kichina na kiswahili . Mwenye hizo sifa please call 0789630368
3 Reactions
10 Replies
472 Views
Vijana nchini tumekuwa watumwa, kwenye Kaampuni kutwa tunashinda tumevaa tshirts yenye logo za kampuni na hatulipwi ipasavyo Kukitumika kivuli cha kujitolea tuvaa nguo za kampuni kuliko mavazi...
5 Reactions
16 Replies
543 Views
Nafasi:Senior Social welfare Mahali: Tanzania ==== Job title: Senior Social Welfare and Counselling Officer Category: Social Services & Nonprofit ] NGO: Elizabeth Glaser Pediatric AIDS...
1 Reactions
2 Replies
413 Views
Back
Top Bottom