Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari zenu wakubwa ni kijana wenu hapa naomba msaada kwa yoyote anaehitaji dereva wa bajaj kwa mkataba nipo hapa
0 Reactions
1 Replies
259 Views
Wakuu habari za Leo. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, ni kijana wa kiume , ninapatakana Dar es salaam. Naomba kazi, kibarua cha aina yoyote cha mkataba, cha day Yani kazi yoyote Ile, kwa...
1 Reactions
4 Replies
385 Views
VACANCIES AVAILABLE Hotel Location Dar es Salaam, City Center [Posta] 1. HOTEL MANAGER 2. HOTEL SUPERVISOR 3. HOTEL MARKETING MANAGER 4. HOTEL RECEPTIONIST (3 Posts) 5. HOTEL CHEF (3 Posts)...
4 Reactions
2 Replies
599 Views
Habari! Takribani week 2 zilizopita, Shirika la madaktari wasio na mipaka (Medicins Sans Frontieres) ambalo linajihusisha na huduma za afya kwenye kambi za wakimbizi walitangaza nafasi za kazi...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Hhhhhhhhh
1 Reactions
3 Replies
483 Views
Org. Setting and Reporting The post is located in the Chambers Legal Support Section of the International Residual Mechanism for Criminal Tribunals (IRMCT), Arusha Branch. The incumbent will work...
0 Reactions
0 Replies
229 Views
POST HEAD OF QUALITY ASSURANCE AND ENVIRONMENTAL MANAGEMENT UNIT – 1 POST EMPLOYER Shirika la Uvuvi (TAFICO) APPLICATION TIMELINE: 2024-06-02 2024-06-22 DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To develop...
0 Reactions
0 Replies
270 Views
ADVERTISEMENT FOR THE RECRUITMENT OF A FIRM OR INDIVIDUAL PROFESSIONAL CONSULTANT. About YOUTH WINGS (YW) – Tanzania: YOUTH WINGS (YW) is a dynamic youth-led Civil Society Organization (CSO) based...
0 Reactions
0 Replies
209 Views
Job Title: RF & Transmission Engineer. Job Description: Perform test and engineering evaluation events for communication systems to include Planning, execution and reporting for these events...
0 Reactions
0 Replies
229 Views
JOB TITLE: CIVIL ENGINEER We are looking for an experienced, driven site engineer with a wealth of industry knowledge. Responsibilities He/she analyzes data such as survey reports, long-range...
0 Reactions
0 Replies
260 Views
Helloe, Mimi ni msichana Nina miaka 27,elimu yangu Diploma natafuta kazi idara ya afya "clinical officer" nipo mkoa wa Ruvuma, kwa mawasiliano naomba kuni DM.Asanteni niwatakie kazi njema kwenye...
1 Reactions
7 Replies
929 Views
mambo vp wadau?..kuna mwenye kujua kama hio ngo washaita watu kwny second interview?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu nmekua nkitafta kazi ya utingo kwa mda mrefu bila mafankio. Nia yangu ni kupata uzoefu tu Wa kuendesha maroli ili na mm dadae niwe tayari kujiombea kazi mwenyew kama dereva. Ntashkuru kwa...
2 Reactions
31 Replies
8K Views
Naitwa james patrick..nina miaka 29,elimu yangu ni form four pia kwa sasa naishi kunduchi..natafuta kazi ya udereva wa magari makubwa na madogo ambayo nina uzoefu nayo kwa muda wa miaka 12...
2 Reactions
9 Replies
592 Views
Habari za muda huu wakuu, Naomba kuuliza maswali gani kwenye interview za wizara ya mambo ya nje position ya Foreign Officer II, wanakua wanauliza kwenye ngazi ya written interview.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za jioni, Jamani mimi nina shida na kiongozi yeyote kwenye sekta ya afya ili wanitatulie tatizo langu la kukosa mshahara tangu mwaka 2017 hadi leo hii 2023. Nitatoa maelezo kamili kama...
4 Reactions
90 Replies
5K Views
Nishawapigia simu sana hawapokei nishatuma email huu Ni mwezi wa3 Hakuna walichobadilisha Nilikosea katika ku click nikajikuta nimerudii academic qualification zAidi ya mara4 nataka kufuta ibaki...
0 Reactions
4 Replies
480 Views
Za asubuhi wakuu, Kuna NGO nyingine unaweza kudhania kuwa ziko serious kumbe sivyo. Niliomba kazi kwa shirika moja lenye makao yake Australia. Wakanichagua kwenye shortlist, baada ya wiki moja...
2 Reactions
22 Replies
928 Views
Naitwa device frabius, naishi dar es Salaam mbezi mwisho. Mimi ni dereva nilikua nawaendesha wazungu ila mkataba wao umeisha wamerudi kwao saivi sinakazi natafuta gari ya kuendesha bolt au Ata...
0 Reactions
0 Replies
282 Views
Naitwa Rama Pepe naishi dar natafuta kazi ya kuedit na kushuti muvi mimi ni Editor na pia ni Cinematography mwenye uzoefu wa miaka 7 nafanya kazi mahali popote napatikana kwa namba 0699524998 Na...
0 Reactions
3 Replies
351 Views
Back
Top Bottom