Position: Portfolio Manager – IT & Digital Transformation Projects
Reporting To: Head of Project Management
Job Summary
To ensure successful delivery of IT and Digital Transformation projects...
Position: Senior Accountant
Work Location (Primary): Dar es salaam, Tanzania
Job Type: Contract Based
Job Purpose
Provision of coaching to other junior staff, preparation of financial...
Ndugu zangu Mimi na division 1 8 mwaka wa masome 2023/24 nilikosa chuo nampango wa kuapply mwakani je niaaply kozi gan za afya ambazo zitanisaidie katika maisha pia niapply vyuo gan ambavyo naweza...
Wadada wa kufanya mauzo wanahitajika wawili elimu
Vigezo
Miaka 23 hadi 28
Elimu kuanzia kidato cha nne.
Awe na uzoefu wa kazi za mauzo.
Lazima uwe unaishi Dsm.
Mshahara elfu 20 kwa simu...
Jamani kuna kazi nimeitwa kwenye interview lakini wanataka niwapelekee result za Psychometric Test, nimepokea email hii
...."Please note that we require for the position your latest Cognitive...
Wakuu habari za humu,
Mimi ni mhitimu wa Bachelor of Science in Forestry mwaka 2022, kwa sasa nipo Dodoma , naomba msaada kwa yeyote anaeweza nisaidia kupata sehemu ya kujitolea, location yeyote...
Position: Human Resource Manager
Working Location: Mkuranga Glass Factory
We are currently seeking a dynamic and experienced Human Resource Manager to join our team at the Glass Factory. As the...
Mimi ni mwanamke, Nina miaka 30. Natafuta kazi yoyote. Nina degree ya uchumi na pia Nina diploma ya ualimu. Ninauzoefu Wa kazi kwa miaka miwili.kwa mawasiliano zaidi nipm
I'm a Social Media Marketing Manager. I can help you grow your business through the use of different social media platforms. Develop and implement Social Media marketing in order to increase your...
Habari za wakati huu waheshimiwa!ebwana kwa sasa mimi ni mwajiriwa katika sector binafsi{bank}katika kitengo cha mikopo,mshahara wangu wa mwezi baada ya makato yote,nabaki na 420k,sasa sometimes...
Wanajukwaaa la ajira na tenda heshima na iwe kwenu.
Mimi ni graduate katika fani ya Mipango miji na vijiji ya chuo kikuu Ardhi (ARU)
Nipo mbele yenu kuomba yeyote yule mwenye connection na kazi...
Niko Mbeya jamani mimi ni kijana nauliza kama kuna Kiwanda chochote au kampuni yoyote inayotafuta wafanyakazi.kwa Maana nimezunguka mkia sehemu Lakini wapi
Mimi ni Mwalimu, nina diploma masomo ya chemistry na Biology uzoefu katika kufundisha ni miaka minne, nina uzoefu kwa primary schools kufundisha science and mathematics na secondary schools...
Habarini wadau kwema wote humu, natumaini wote wazima humu Mwenye changamoto yoyote ya kiafya MWENYEZI MUNGU ATASAIDIA.
Niende kwenye mada Moja kwa Moja wadau natafuta kazi ajira yoyote kama...
Shule ya sekondari Uruwira iliyopo Mpanda Katavi inatafuta walimu wa masomo yafuatayo
PHYSICS & MATHEMATICS
GEOGRAPHY & ENGLISH
GEOGRAPHY & KISWAHILI
NB Ni shule ya serikari,
Free Accomodation...
Poleni na majukumu ya hapa na pale, mimi ni dereva wa taxi mtandao natafuta gari ya mkataba au hesabu kwaajili ya kazi za abiria kupitia application za Bolt, inDrive na nyinginezo.
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.