Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari wa kuu,kuna mdada mwaminifu na mchapa kazi anatafuta kazi ya kuuza duka la madawa hapa Dar es salaam. Taalauma yake ni Nesi ila amekuwa akifanya kazi ktk maduka ya madawa kwa muda...
0 Reactions
3 Replies
424 Views
Hbr za asubuhi Wana jamvi ni nini kimetokea kwenye page ya ajira portal maana naona haifunguki na na inaandika hakuna taarifa zozote au wamefuta page ya ajira portal?
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Naombeni connection ya kazi VIWANDANI nipo Dar, Hotel,Dukani, Kufanya usafi,n.k
1 Reactions
9 Replies
776 Views
Habari wanajf, Husika na kichwa cha habari hapo juu. Serikali ya Rais Samia suluhu imedhamiria kuajiri wahudumu wa afya ngazi ya jamii 28000 mikoa yote Tanzania bara kwa mwaka wa fedha...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Wakuu kwema? Ndio dunia inakabiliwa na tatizo la upungufu au ukosefu wa ajira ila kama watu tunaojihurumia ni vema kuchagua mwajiri bora na si bora mwajiri. Kuna ofisi au taasisi zina watumishi...
8 Reactions
102 Replies
21K Views
Wakuu kuna bwana mdogo kapata kibarua sehemu lakini bahati mbaya au nzuri msahara wake wameuweka katika mwaka, kwahio kashindwa kujua makato yake yatakua vipi. Kaja kwangu nimsaidie, lakini pia...
5 Reactions
78 Replies
3K Views
Wakuu habari Majukumu! Wakuu Mimi ni fundi Ngungwa (Kibarua), Nimefanya kazi Mradi wa Mwalimu Nyerere Rufiji lakini toka nimalize mkataba wangu kule mwezi wa 9 mwaka jana sijapata kazi...
0 Reactions
2 Replies
459 Views
Hapa Dar es salaam nikienda kiwanda gani au kampuni gani kuomba kazi nitapata ??? Naombeni connection ya kazi wapendwa Kazi yeyote,hata hapo officne kwako kama wanahitaji mtu wa usafi ni connect...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Anatatafutwa mwalimu kwa ajili ya kufundisha katika 'Tuition Centre'. Sifa 1. Elimu kuanzia kidato cha sita na kuendelea. 2. Kidato cha sita awe amesoma PCM na atafundisha masomo ya Physics...
2 Reactions
4 Replies
643 Views
Njoo kazini utapata nafasi Tunachakata taka (Recycling) Tunahitaji Waokotaji Taka (Waste Pickers), toka majiji na mikoa yote ya Tanzania bara na visiwani. Mwisho wa Maombi 30/6/2024 Tupigie...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari! Mimi ni mwanafunzi wa Ordinary Diploma In Electrical Engineering, NTA Level 5 ( second year ). Taasisi: Dar es salaam Institute of Technology. Nina maombi ya kujitolea kufanya kazi...
0 Reactions
3 Replies
446 Views
Habari zenu mimi mdogo wenu nina miaka 24 nimemaliza degree 2023 Bachelor of Commerce (specialized in Tourism management). Kwa sasa nina uhitaji wa kazi yeyote inayohusiana na hata...
4 Reactions
53 Replies
2K Views
Anonymous (8e37)
Sisi Watumishi wa Serikali ajira mpya ambao tulijiriwa mwezi wa Agosti, 2023 katika Sekta ya Afya, tunachangamoto ya kutolipwa pesa ya kujikimu tangu tulipo ajiriwa na kila tukifatilia tunapewa...
0 Reactions
2 Replies
653 Views
To enhance GNTZ’s procurement processes and achieve greater efficiency and transparency in our supply chain operations, GNTZ is implementing initiatives to establish supplier prequalification and...
0 Reactions
2 Replies
446 Views
Position: Internship Location: Zanzibar Contract Status: Assistant officer C Contract Length: 2 Months with possibilities of extension. Project Name: Strengthening the capacity of secondary...
0 Reactions
3 Replies
522 Views
About Announcement Number: DaresSalaam-2024-012 Hiring Agency: Embassy Dar Es Salaam Position Title: Public Health Specialist (Senior Implementation...
0 Reactions
2 Replies
327 Views
Nafasi ya kazi ya Baker mwenye uwezo wa kufundisha baking kwa wengine waweze kufanya baking.
1 Reactions
2 Replies
471 Views
Natamani kujia hizi salary scale wanazo calculate vipi na ni kiasi Gani?
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Position: Accounts Officers (02) Department: Accounts Reports to: HOD Accounts Education - Diploma / Bachelor Degree in Accounting. Skills and Responsibility Bills posting Journal Entries...
1 Reactions
11 Replies
623 Views
Position: Specialist Network and Security Job reporting to: Senior Manager ICT Location: CRDB Bank Burundi S.A. No of positions: 1 Principal Responsibilities Perform analysis of network...
0 Reactions
2 Replies
435 Views
Back
Top Bottom