Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
wadau asylam allekum,tanzania women bank nimepata tetesi watu wameanza kuitwa tangu ijumaa kwa interview nafasi ya teller na credit,mwenye info tujulishane wadau.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hi all, Abudist Mediatech offer excellent Web Development & design, superior Mobile Application Services, high-class web Application Services, effective Internet Marketing Services and...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi brothers and sister. Anatakiwa Clerk of Work. Site iko Sumbawanga Mjini. Qualifications: Architect, Engineer or Quantity Surveyor Experience : 2+ years. Contact person: +255 784 367836...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wana jf tra wametoa nafasi nyingi sana za kazi,tembelea web yao;www.tra.go.tz then tafuta category ya ardvitisement then click 'vacany'.KAZI KWENU WANA JF....
2 Reactions
93 Replies
30K Views
Being rated as the Leading SMS Job Alerts service in Tanzania and East Africa KAZImobi with more than 50,000 subscribers country wide ( Domestic & Professional), it can make your life easier...
0 Reactions
0 Replies
856 Views
source mimi mwenyewe
1 Reactions
18 Replies
9K Views
et ndugu, wizara ya elimu iko sahihi kuongeza muda wa masomo kwa kdato cha sita!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
It's believed, "Those who come last enter with advantage. — They are born to the wealth of antiquity. — The materials for judging are prepared, and the foundations of knowledge are laid to their...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naomba mnisaidie hawa watu wanoitwa maxcom afrika millenium tower wanahusika na nini
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Anahitajika haraka sana yeyote mwenye experience ya clearing and fowarding, tuma CV yako sasa hivi kwa e-mail adress hii: cv.oneshillig@gmail.com
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Haya jamani wadau npeni deal yoyote inayofanywa na mikono mambo ya elimu mcniulize ni shule ya kata tu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wandugu changamkieni ajira 30 pale TASAF. ona link chini na attachment pia... Kila jema. Mtangulizeni MUNGU katika yote, maana yeye ndie muweza. New Vacancies
2 Reactions
16 Replies
13K Views
Three vital questions employers ask. 1. What can you do, in terms of skill set, or what value can u add to my company. 2. What have you done, in terms of level of experience in your field or...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
asasalam alaykum nimeitwa nahawa tume ya ajira kwenye post ya afisa biashara yenimaswali ya aina gani wanayouliza ilitujkandae vema.kama hujui kuwa mstaarabu usujibu pumba tupo serious.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni wajibu,jukumu na kazi yetu kuliombea taifa letu amani ya kudumu kwani,amani ndio chombo pekee kinachoweza kusaidia maendeleo ya taifa letu.Amani tulionayo ni ya kihistoria,lakini tukithubutu...
0 Reactions
1 Replies
821 Views
Wana JF wenzangu, Napenda niwashirikishe kuwa yule kilaza mkuu wa serikali kwenye tasnia ya sheria ambaye amekuwa hasimamii sheria kama ilivyo bali unazi wa chama cha magamba ndugu Frederick...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Nina degree ya Bsc.Biology from UDOM, natafuta mahali popote pa kuvolunteer especially kwenye issues za ecology, molecular bios, zoology or environments msaada wenu tafadhali great thinkers
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana JF. Mimi nina Bendi ya muziki na napiga muziki (live Band) kwenye ma Hotel. Natafuta waimbaji wa kike wawili kwaajili ya kuongeza nguvu kwenye bendi. Bendi ipo Dar es salaam lakini...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanajamii,kwa wale walioitwa kazini kwa nafasi tajwa hapo juu..je wenzangu barua zenu mmezipata kwenye box zenu za posta?maana mimi hadi leo sijapata.tusaidiane kwa hilo
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wanajukwaa? Nina utaalamu wa kufanya kazi za utafiti na nimewahi kufanya maeneo yote mjini na vijijini, ni mzoefu katika kazi zangu nikiwa na ujuzi wa kutosha. Kwa yeyote anae hitaji...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom