Asha kuum! Si matusi... Niwapongeze PSRS na wizara inayohusu mambo ya elimu kwa ugunduzi huu wa usaili kwa kada ya uwalimu kwa hakika tunaweza kupata walimu bora kama mnavyo jinadi kwenye...
Need a ride? We’ve got you covered!
From sleek sedans to rugged SUVs, Rhond's company limited offers top-quality rentals at unbeatable prices.
✨ Why choose us?
✅ Flexible rental options
✅...
Huu uzi ufutwe.
Nilikuwa na kijana Namuombea kazi.
Alikiwa ni kijana wa Dodoma
Elimu yake
Undergraduate Development Economics.
Masters Degree in Finance and Investment.
AMEMALIZA MASOMO NA...
Mimi ni muuguzi na Mkunga ngazi ya diploma niko full registered na nina vyeti vyote original pamoja na experience
Kama mdau wa JF kama kituoni kwako kuna nafasi naomba unisanue.
Au una...
🐓S&Q_GROUP_INTERNATIONAL LIMITED🐓
AGIZA NASI VIFARANGA BORA KWA VIWANGO VYA KIMATAIFA
0781647066
____________________________________________
📠☎️ 0781647066
WAZALISHAJI WAUZAJI NA WASAMBAZAJI WA...
Katika miaka ya hivi karibuni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimekuwa kikichukua wanafunzi wanaofanya vizuri kitaaluma wahitimu kubaki kusaidia shughuli za kitaaluma (TAs).
Cha kusikitisha vijana...
Habari ya muda huu wakuu.
Samahani mimi nina vyeti kadhaa ikiwemo cha la7, form4, form6, JKT, Cha bachelor pamoja na full result transcript yake, kwa sasa sina pesa ya kutosha kuverfy vyote kwa...
Habari zenu Wakuu.
Jamani kama amekosekana wa kunishika mkono kupata KAZI) Kibarua, Tafadhali nisaidieni majina na location ya viwanda ambavyo wanapokea vibarua.
Nawaomba sana, Nikipata kazi ya...
Habari ya uzima.
Mimi naitwa Erick Bernard napatikana DSM kwa sasa.
Natafuta Kazi ya jikoni Kama kuuza supu ya kongoro, chipsi, kuku wa kukaanga, chakula na huduma zote za chakula.
Nina uzoefu...
INVITATION FOR TENDERS
PROVISION OF EXTERNAL FINANCIAL AUDIT SERVICESTENDER
KSCL/RFP/EFA/01/2023-2026
Kibo Seed Company is a private Company registered in the United Republic of Tanzania based...
Position: Forest Assistant II (20-Posts)
Duty Station: Lake Zone
Required Qualifications
Holder of Form IV/VI plus a Certificate in one of the following fields: Forestry, Mechanical Wood...
we need to know that. haitakiwi kutukana ukiwa kama mtu unae reply alicho andika mtu kwa kauri ngumu. wala wewe ulie andika hicho kitu hautakiwi kurudishia comment ya mtu kwa maneno makali. emu...
Naishi Dar es salaam nimewahi kufanya kazi kwenye shule za private ili nilishndwa kuendlea kufanya kazi sabbu shule ambazo nilibahatika kufanya kazi hawalipi mishahara Kwa wakati unaweza kukaa...
Hauna kazi kwa sababu hauna taarifa za kuwepo kwa nafasi za kazi. Kupata taarifa njoo kwenye group la watsapp la ajira. Tunapost ajira mpya kila siku.nicheki inbox niku add kwenye group...
Mtu wa kubadilishana kituo cha kazi anahitajika, mimi nipo Dodoma Mpwapwa DC.
Kituo ni kizuri, mazingira mazuri, maji yapo, usafiri upo 24hrs. Wa kubadilishana nae awe mikoa ifuatayo;
1. Iringa...
Wakuu habari .
Mimi ni kijana wa kiume
Umri miaka 24
Kwa sasa naishi Tanga (Lushoto)
Nipo hapa kuomba nafasi ya Kazi au ajira katika maeneo yafuatayo.
Elimu yangu ni shahada ya elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.