Mimi ni muhitimu wa degree ya IT na biashara niliyohitimu mwaka 2020 katika chuo kikuu mzumbe kampasi kuu morogoro, nina uzoefu na mambo ya IT. Ni mkazi wa dar es salaam.
Ninaomba mwenye fursa...
Position: Operations Auditors II ( 2 Positions)
Direct Reporting Line: Manager System and Operations Audit
Location: Head Office
Work Schedule: As per Tanzania Commercial Bank Staff regulations...
Habari za wakati huu.
Natumai Wote wazima, mimi pia.
Kwa wenye changamoto za kiafya nawatakia nafuu ya mapema.
Bila shaka huu ni uzi wangu wa tatu, wenye maudhui haya ya kutafuta kazi. Lakini...
Habarii wanaJF,
Ni takribanii miezi minne imepita tangia Tanzania airports authority (TAA) watoe tangazo la nafasi za kazi tarehe 1/09/2023 ajira za mkataba kwenye kada mbalimbali.
Lakini...
1. Career Objective: Avoid starting your CV with a generic career objective that focuses on what you seek rather than highlighting your value to the role. You can include an objective if you are...
Position: Senior Insurance Officer (Risk Management) (1 Post)
Qualifications
Must be holder of Bachelor Degree in one of the following fields; Insurance, Risk Management, Actuarial Science or...
Naomba kuuliza kwa anayejua kuhusu kada za self microfinance fund mbona hawaitwi kazini kwa waliofanikiwa interview. Maana zilifanyika pamoja na za brela ambao wameitwa tayari kazini pia kuna watu...
Mimi ni mwanafunzi nasomea course ya heavyduty equipment engineering,.diploma but nataka kubadili coz nikasomee Shipping and port operation management ,before cjachukua maamuzi haya Kuna tatizo...
Habari zenu wakuu! Nina elimu ya diploma ya Mining Engineering, nina uzoefu wa miaka minne (nimeshafanya kazi kwenye mining lab, quarry na small scale mines).
Mwenye connection za kazi migodini...
Habari wana JF,
Leo nimeamka nimekuta nipo shortlisted kwenda kwenye interview ya Chuo fulani, ndani ya week mbili zijazo ila sijawahi kufanya interview ya upande wa Economics.
Naombeni...
Hello wapendwa, mwenyewe past papers au notes za lessen pharmaceutical assistant naomba msaada, pia kwa anaejua mitihani huwa inafanyika mwezi wa pili tareh zipi anijuze, pia huwa ni mitihani...
Habarini wana jamiii forums, nipo kuomba tena msaada. Nimekuwa shortlisted kwenye kada ya TUTORIAL ASSISTANT chuo cha Open University.
nilitaka kutambua maswali gani huwa yanaulizwa kweny hii...
Habari ndugu zangu,
Mimi ni kijana wakitanzania naishi Kanda ya ziwa,natafuta kazi maeneo ya mgodini,elimi yangu ni chuo kikuu. Nina uzoefu na kazi hii kwa miaka miwili.
Naweza fanya kazi kama...
Habari wakuu
Natafuta kazi yoyote halali, kuuza duka, kuosha magari, kubeba tofali etc. Pia nina leseni ya udereva class D.
Umri miaka 22, elimu kidato cha 6 nipo dar es salaam.
Natanguliza...
ndugu zangu ukiona giza nene jua kumekaribia kucha. katika safari yangu ya utafutaji wa kazi na ajira nipate ridhiki yangu aiseeeh siwezi sahau.
njaa kali,kufubaa, kudharaulika na kukosaa nauli...
Habari zenu Great thinkers,Wakuu Mimi ni dereva wa magari nimesikia sehemu Kuna Kampuni wanahitaji madereva wenye uzoefu.Nahitaji niende kufanya interview Je ukiacha test ya kuendesha Je maswali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.