Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
The Revolutionary Government of Zanzibar has signed an agreement with the Government of the United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland to work together in fighting corruption and serious...
0 Reactions
0 Replies
346 Views
Position: Assistant Nursing Officer II (4 Posts) Qualifications and Experience: Holder of Diploma in one of the following fields; Nursing, Midwifery or equivalent qualifications from recognized...
0 Reactions
0 Replies
506 Views
Position: Superintendent – OHS Operations Category: Health & Safety Job Schedule: Full time Location: Tarime, Tarime, P.O. Box 422, TZ Responsibilities Develop competency and capability to...
0 Reactions
0 Replies
448 Views
Position: Consultancy Objectives We are seeking a qualified consultant to conduct Preventing Sexual Exploitation and Abuse (PSEA) training for our [and our implementing partners] staff in...
0 Reactions
0 Replies
244 Views
Tangazo linajieleza , mkataba wa mwaka mmoja. Changamkieni.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Hivi kwa mtu anayetaka kuanza hiyo kazi/ biashara utaratibu upoje? Unapataje deli? Na kama usipohitaji deli anapataje lile boksi lenye pieces 30? Mchanganuo...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wapendwa, Ukiwa 2mil unaweza anzisha biashara ya uwakala/miamala ya cm Na je inalipa ?? Nahitaji kufahamu faida na changamoto zake
1 Reactions
3 Replies
541 Views
Nina umri wa miaka 30 naomba connection ya kazi Nina degree ya finance from udsm...bcom finance. Naomba kazi yoyote NTAFANYA nimezunguka san ndugu ZANGU mtu yoyote ambae anaweza kunisaidia...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Anahitajika Dereva wa kuendesha Daladala mwenye class "C" Mwenye miaka kuanzia 50 na kuendelea na awe anaishi kati ya maeneo haya,Buza,Kitunda na Banana. Location: Dar es Salaam Phone: 0673102644
1 Reactions
6 Replies
908 Views
Habari wakuu, Mimi ni Mtanzania halisi kwa kuzaliwa nipo Mbeya mjini natafuta kazi ya udereva ambapo uzoefu wangu ni wa magari ya mizigo ( Heavy Duty trucks na normal trucks ) nimeendesha gari...
2 Reactions
1 Replies
417 Views
Wakuu natafuta kazi ya Houseboy au kibarua chochote. Nipo tayari kwa mshahara kuanzia laki 1 (malazi na chakula juu ya boss). Kazi nazoweza kufanya usafi wote, kutunza bustani na garden...
8 Reactions
57 Replies
5K Views
Nmemaliza chuo tangu 2020 Nina diploma ya Music production. Ni kijana wa miaka 23 Na weza kucheza baadhi ya Instrument Keyboard, guiter Acoustic, solo guiter, Bass guiter pia ni Mwalimu mzuri...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu,Mimi ni Producer wa Muziki wa Dini, na Bongo fravour, natafuta kazi kwa mtu ambaye ana studio yenye vifaa vilivyokamilika, Nimeshafanya kazi na wasanii wakubwa...
1 Reactions
35 Replies
22K Views
Habari wakuu. Lalamiko nilaloleta mahali hapa ni kwanini TRA iitishe interview, iruhusu watu wafanye alafu mtu unafaulu kwa marks zaidi ya tisini unaambiwa una irrelevant qualification za...
18 Reactions
164 Replies
14K Views
Habari wadau. Binafsi ni mmiliki wa app ya kufundisha tution za masomo kwa njia ya mtandao Ninatafuta walimu wenye uwezo mkubwa wa kuelewa na kufundisha masomo ya o level. Na shule ya msingi...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu Mimi ni muhimu wa elimu ya juu tangu 2018 course ya education, kwaujumla mimi ni mwalimu wa masomo ya geography na Kiswahili ambaye sina kazi ya kuniweka mini na kujitegemea Najitokeza...
2 Reactions
2 Replies
407 Views
Tangazo linaajieleza
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini. Anahitajika kijana msafi na mpenda usafi anayejua upishi wa chapati zile za kibiashara zile laini nzuri ambazo zinaweza mfanya mwanaume kuongeza mapenzi kwa mkewe. Kama upo na unajijua...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
1. Hongera waliopata 2. Je, ni kweli wanalipa maana kumekuwa na tabia, tangu huko nyuma, ya kulipa kwa mbinde mpaka walio nje kufedheheka kwa kukosa huduma za kishule AU ni uchaguzi UNAKARIBIA...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom