Wakuu habarini za muda,
Nimerudi mbele yenu wakuu kama kichwa cha habari kisemavyo naombeni mnipatie kazi yoyote na mahali popote.
Niko tayari kufanya Niko Mwanza NNA UJUZI WA COMPUTER ila hata...
Position: Specialist; Fraud Control & Data Analytics
Location: Head Office, HQ
Main Responsibilities:
Utilizing advanced data analytics techniques to closely monitor and analyze data, identify...
Habari za leo wana jukwaa!
Natafuta kazi ya unasihi au maarufu kama ushauri nasaha (Counseling services/Psychotherapy).
Mimi ni mhitimu wa shahada ya kwanza ya Saikolojia (Bachelor's degree of...
Habarini,
Naomba kuuliza waliofanya oral interview ya community development Ile ya watu 800 kama tayari wameitwa kazini, kama Bado wadau kama Kuna mtu anayejua lini wataita atujuze.
Asante
Habari zenu wakuu wa humu jf
naombeni msaada kwa anayefahamu juu ya utengenezaji wa vyungu vya kisasa vya maua anipe ABC juu ya mchakato mzima kam vifaa .a mahitaj mengne na pia juu ya upatikanaji...
Hello
Naomba msaada wa kazi au internship au kuvolunteer kwa yeyote mwenye kuguswa naomba anisaidie.
Nina degree ya sociology nimegraduate 2021 nina expirience ya mwaka mmoja kwenye maswala ya...
eshi la Kujenga Taifa JKT limetangaza nafasi za kujiunga na mafunzo ya kujitolea kwa mwaka 2023 kwa Vijana wa Tanzania Bara na Visiwani kuanzia August 28,2023 na watakaofanikiwa wataripoti kwenye...
Kama ambavyo yajieleza hapo juu.
Nina taaluma ya degree ya kwanza upande wa Takwimu za Sayansi.
Jinsia yangu ni ME.
Yafuatayo ndiyo naweza fanya
1. Kuandika Research papers kwa watu wanaoeoma...
wakuu niende kwenye mada ivi tanzania employment agency(TAESA) ambayo ipo chini ya ofisi ya waziri mkuu ajira vijana na ulemavu inaweza kufanyisha interview na kuajiri wafanyakazi wa serikali...
Habari ndugu zangu,
Wenye ujuzi hapo juu naombeni kufahamu niende kozi ipi kati ya hizo mbele hasa yenye ajira na ujira kwa nchi yetu hii.
Nitashukru kama nitapata ufafanuzi mzuri
Habari zenu, baada ya kujisajili TAESA wamenitumia ujumbe kwenda kwenye interview pamoja na training.
Naomba kujua je, ni maswali gani yanayoulizwa kwenye interview na je, training yao ikoje, na...
Wakuu habarini za Asubuhi na poleni na majukumu ya kila siku!
Lengo la kuandika hapa nikuwaombeni mnisaidie aptitude test Benki Kuu ya Tanzania (BOT) huwa inakuaje?
Au maswali yake huwa vipi...
naitwa alfredy angelo natafuta kazi , nina ujuzi katika fani ya ujenzi. kama kujenga, kupiga plaster, kufitisha madirisha na flemu za milango asante. Napatikana dar es salaam +255676237106
Mimi pamoja na Rafiki yangu tunatafuta nafasi kulingana na taaluma ama nje ya taalum ili maisha kidogo yawe nafuu.
Binafsi, mimi hapa nina mwaka mmoja toka nimalize Chuo. Nimesomea Community...
Position: Procurement Manager
Duty Station: Dar es Salaam
Reporting Line: Executive Director
Key Responsibilities and Duties:
Main responsibilities will include but not limited to:
Procurement...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.