Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari zenu wakuu, Nahitaji msaada wa binti wa kazi au mama mtu mzima mwenye kufahamu wanakopatkana naomba msaada, mshahara tutaelewana, familia ndogo watu watatu. Aksanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habarini za muda! Mimi ni mwanafunzi wa VETA katika short course/kozi fupi ya mifumo ya bomba/plumbing. Nimepata changamoto ya kupata nafasi ya kufanya masomo kwa vitendo. Naombeni msaada...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Waomba ajira huumia sana wakati majina ya waliopata ajira yanapotoka. Unakuta tangazo la ajira lilikuwa linataka wanaotakiwa kutuma maombi waliomaliza kuanzia 2012 had 2019 lakini utakuta baadhi...
0 Reactions
4 Replies
824 Views
Kigezo cha umri wa mwombaji na kigezo cha mwaka wa kuhitimu kwenye PDF aloitoa anaona kiko Sawa? 2015 kaachwa na 2021 kachukuliwa. Mathematics kuwa arts subjects? Wale watu wa TAMISEMI huwa...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Habar zenu ndugu!! Mimi ni kijana wa miaka 23 Nina Diploma ya land survey nilikuwa naomba kama kuna kampuni yoyote inayojihusisha na shughuli za land survey nahitaji kupata mahali hata pa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wadau Naomba kufahamishwa ni muda gani inachukua utumishi kuita waombaji kwenye interview baada ya deadline. [emoji120]
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Hivi ni kweli kuwa inapofika tarehe 01.07. ya kila mwaka ndio hua ni mwisho wa matumizi ya fedha ya bajeti ya mwaka uliopita? Kwa mfano: Kama mtu ilikuwa uajiriwe kwa bajeti ya fedha ya 2021/2022...
0 Reactions
2 Replies
472 Views
TANGAZO LA KUITWA KAZINI Wizara ya Afya inapenda kuwataarifu waombaji wa ajira za kada za afya zilizotangazwa kwenye Tovuti ya Wizara ajira.moh.go.tz tarehe 16 Aprili, 2022 hadi tarehe 03 Mei...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakubwa m ni mwanafunzi wa chuo mwaka kwanza.NAWAOMBENI mnishauri nipigi field kipi ambacho kinasoko la ajira au naweza jiajiri binafsi 1. Software developer 2. Database administator 3.Network...
0 Reactions
1 Replies
502 Views
Wakuu miezi kadhaa iliyopita nilipeleka CV yangu na taarifa zangu za kitaaluma TAESA kama Taasisi ya serikali inayoshughulika na ajira yani (Tanzania Employment Services Agency). Nimepigiwa simu...
3 Reactions
105 Replies
37K Views
Kwema wakuu Kuna hili tangazo nimekutana nalo huko linkedin, kampuni iko Tanzania inatafuta Senior accountant, lakini cha ajabu ni kama wanataka mhindi tena direct from India.My concern ni kwamba...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Position: Education Construction Officer Kigoma Norwegian Refugee Council (NRC) The Norwegian Refugee Council is an independent humanitarian organisation helping people forced to flee...
0 Reactions
0 Replies
330 Views
Position: Records Management Assistant II Government Job Opportunities Kibiti District Council 2022, Ajira Mpya Kibiti 2022, Nafasi Za Kazi Serikalini 2022 Kibiti District is a new district in...
0 Reactions
0 Replies
566 Views
Position: Journalism trainer/mentor BBC Media Action BBC Media Action is the BBC’s international charity . Location: Dar es Salaam, Tanzania Reports to: Senior mentor/trainer Duration: 12...
0 Reactions
0 Replies
488 Views
Position: Commercial mentor/trainer Dar es Salaam BBC Media Action BBC Media Action is the BBC’s international charity . Reports to: Senior mentor/trainer Duration: 12 months (with possible...
0 Reactions
0 Replies
327 Views
Job Overview Position:Senior Specialist; Database Adminstration Dar es Salaam NMB Bank PLC Job Location : Head Office, Hq Job Purpose: Installation, configuration and maintenance of multiple...
0 Reactions
0 Replies
392 Views
Mwaka jana nilifanya maombi 8 ya kazi Serikalini(Tamisemi na Afya), taasisi binafsi. Nilipigwa kibuti sehemu zote, taasisi moja tu ya binafsi ndio walinipa mrejesho wa kunikataa japo kwa usahili...
7 Reactions
42 Replies
4K Views
Imefika muda sasa nitinge ofisini zenu Tamisemi au Utumishi ili niwaeleze ukubwa wa Disability niliyo nayo maana kwenye mfumo hamjaitambua na kwenye CV pia hamjaitambua, kwenye utangulizi wa CV...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
habari wakuu tafadhali anayejua mawakala wa ajira nje nchi bara lolote ila siyo uarabuni naomba msaada wenu 🙏
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Bado kichwa changu kinauma kwa kutafakari ni nini haswa kifanyike kupunguza hizi changamoto za ajira kwa vijana wa kitanzania?
0 Reactions
3 Replies
774 Views
Back
Top Bottom