Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
ndugu zangu wanajamiiforums, poleni kwa majukumu mazito yanayotukabiri kila kukicha. maisha yamenipiga Mtanzania mwenzenu, hali yangu kiuchumi inazidi kuwa mbaya kila kukicha nipo kwenye ajira...
8 Reactions
69 Replies
8K Views
Nilikua napitia ajira za TAMISEMI za mwaka jana kwanini ajira zinakua na upendeleo sana? Unakuta pdf nzima imejaa wahitimu wa diploma au ni kwamba serikali inakwepa kuajiri wahitimu wenye degree...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Mimi kijana wenu nina shahada ya kwanza ya benki na fedha (Bachelor Degree of Banking and Finance) katika chuo cha usimamizi wa fedha (IFM).Natafuta kazi ya uhasibu, Data Entry, Afisa mikopo n.k...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kuuliza posho hulipwa kwa ngazi ya elimu au ngazi ya mshahara? Hii inakaaje ,mwenye ufafanuzi plz your welcome
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini, naomba kufahamu kwa anaerejeshwa kazini upya je anastahili sifa gani na je suala lake linaweza kushughulikiwa wastani muda gani? Swali hili liwaendee haswa wafanyakazi wa GSO Utumishi na...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Air Tanzania wametangaza nafasi moja ya kazi nafasi ya Sales Manager. PDF iko chini hapo Deadline May 27. Kazi kwenu Wasomi Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau katika hizi Ajira zilizoitangazwa na Serikali niliona Kuna Ajira za Sheria na Kilimo/Mifugo kama sikosei. Ila mpaka Sasa hizo za sheria sijaona zinatangazwa.. sijajua hizo zingine za...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is a Semi-Autonomous Agency under the Ministry of Works established on July 1, 2000 and is responsible for the day-to-day management of the Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
601 Views
Location: Pemba Islands, Tanzania, United Republic of Final date for application: Regional Project Cordinator (m/f/) – Pemba Islands Enabel is the Belgian development agency. It implements...
0 Reactions
1 Replies
518 Views
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES Tanzania Automotive Technology Centre (TATC) synonymously known as “Shirika la Nyumbu” was formally established on the 14th December 198S through a Presidential Order...
0 Reactions
1 Replies
588 Views
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES Tanzania Automotive Technology Centre (TATC) synonymously known as “Shirika la Nyumbu” was formally established on the 14th December 198S through a Presidential Order...
0 Reactions
1 Replies
589 Views
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES Tanzania Automotive Technology Centre (TATC) synonymously known as “Shirika la Nyumbu” was formally established on the 14th December 198S through a Presidential Order...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wajuzi wa mambo hii PDF inayosubiliwa na vijana wenzangu wa Kitanzania huchukua kipindi gani hadi kukamilika.
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu salaam kwenu nyote! Tuwaachie wanaohusika kuchuja wanaostahili kwenye zoezi la sensa na makazi hapo Agosti 2022. Wao ndio wataamua wachukue idadi kiasi gani kwa wenye elimu ya sekondari...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Hello Anahitajika binti mwenye cheti cha ADDO au certificate ya pharmacy Eneo la kazi ni Wilaya ya Songwe Shahara ni Tsh. 200,000/- kwa mwezi Atapata makazi ya kuishi, akiwa mkazi wa Mbeya ni...
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Nakumbuka kuna siku Waziri mkuu alisema wazi kwamba vijana ambao hawana ajira ndio wapewe kipaumbele katika kupata ajira za Sensa Kwasasa ukipitia mitandaoni utaona kila mtu ni sawa na muamba...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari jamani Naomba kufahamu juu ya kubadilisha cheo. Niliajiriwa kama Muuguzi mwaka jana mwezi wa saba wakati huo nilikuwa nimesoma Diploma ya Uuguzi vyeti vimetoka mwaka huu mwez wa pili...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Location(s) Tanzania – Main – Dar Es Salaam To be successful at Room to Read, you will also: Have passion for our mission and a strong desire to impact a dynamic nonprofit organization Be a...
1 Reactions
1 Replies
400 Views
Artists Initiative Program Coordinator Want to work for one of the largest charities of its kind in Africa? Are you passionate about fine art and are ready to enhance the art experience for...
0 Reactions
1 Replies
438 Views
General Manager – NMB Foundation FOUNDATION Who we are NMB Foundation (NMBF) is a not-for-profit corporate social investment arm of NMB Bank Pic, which was established in 2021 to scale up its...
0 Reactions
1 Replies
730 Views
Back
Top Bottom