Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari, Wazee, hivi serikali ikipandisha mishahara huwa inapanda kwa asilimia ngapi?
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wanajamvi! Kwa wale wenyeji wa Dar es Salaam nipeni elimu juu ya biashara gani nitakayoifanya yenye kuhitaji mtaji wa kawaida tu na kuniingizia faida ya kuanzia 10,000 kwa siku! Pia mahali...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari Naomba kuuliza kuhusu GPA kuwa Ina effect yoyote kwenye kupata kazi za utumishi wa Umma. Mfano Nina GPA ya 2.5 nimeapply Tax management officer II. ikatokea nimefaulu mitihani yao kwa GPA...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari wakuu anahitajika pharmacy technician. Location ni Mwanza. Atafanya kazi Jeet Pharmacy, vigezo awe ana uzoefu usiopungua miaka miwili na pia awe na leseni hai. Kwa walioko kanda ya ziwa...
0 Reactions
0 Replies
611 Views
Habari za leo viongozi! Kuna dada ana umri wa miaka kati ya 20 - 25 anatafuta kazi yoyote halali hasa ya kuuza duka la nguo ama lolote / kazi za sheli. Kwa hapa Dar es Salaam
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa mlioomba nafasi husika,jitazameni hapo kama mpo.
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Ngazi ya mshahara Diploma ya Marine Engineering? Msaada kwa mwenye ufahamu natanguliza shukrani.
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Leo asubuhi katika kusikiliza vyombo vya habari nimesikia taarifa ya kibali cha ajira ikiwemo za utendaji kimetolewa. Naomba kufahamu kwa wenye kufahamu hizi ajira hutolewa kwa mfumo upi na...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Mikeka ya walioitwaa interview TRA na TPA vipi imeshatoka au
3 Reactions
55 Replies
8K Views
Makato yapi ambayo ni lazima kwa mfanyakazi wa sekta binafsi (NGO) kukatwa? NSSF, NHIF au PAYE? Naam naombeni jibu hapo
2 Reactions
10 Replies
3K Views
MUCOBA Bank PLC, formerly known as Mufindi Community Bank LTD (MuCoBa) is the oldest community bank in Tanzania that was incorporated in December 1998 and licensed by Bank of Tanzania (BOT) in May...
0 Reactions
4 Replies
847 Views
POST ASSISTANT OPERATIONS OFFICER – 10 POST POST CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION LEGAL MARKETING,MEDIA AND BRAND PROCUREMENT & LOGISTIC MANAGEMENT TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER Tanzania Ports...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Hawa jamaa walitufanyia usaili wa oral kwa nafasi ya Data Officer hapa Dar na walituhaidi kwamba ukiwa successful basi utapokea simu toka kwao baada ya wiki mbili Sasa yapata mwezi na kitu hakuna...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
wanabodi salaam. Naomba msaada kwa anayejua jinsi ya kurekebisha taarifa kwenye form ya maombi ya kazi za sensa,,, mistake imefanyika kwenye email account hivyo pasword and username sijapata...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
The Tanzania National Roads Agency (TANROADS), is an Agency under the Ministry of Works and Transport which is responsible for the Development and Maintenance of the Trunk and Regional Roads...
0 Reactions
2 Replies
498 Views
MUCOBA Bank PLC, formerly known as Mufindi Community Bank LTD (MuCoBa) is the oldest community bank in Tanzania that was incorporated in December 1998 and licensed by Bank of Tanzania (BOT) in May...
0 Reactions
1 Replies
771 Views
The Tanzania National Roads Agency (TANROADS), is an Agency under the Ministry of Works and Transport which is responsible for the Development and Maintenance of the Trunk and Regional Roads...
0 Reactions
1 Replies
657 Views
Hali zenu ndugu zangu! Ni tabia mbaya na uraibu mbaya kubweteka na kuilaumu serikali kila siku kuwa haiajiri. Mimi ni graduate ila niliamua kukataa kuajiriwa na kujikita kuanzisha miradi yangu...
4 Reactions
48 Replies
3K Views
Kauli ya mama Anna Makinda kamisaa wa sensa amesema Maombi ya Ukarani wa sensa Ni Bure na tumeishatoa mwongozo na watu wanaomba kuwa makarani wa Sensa kwa maendeleo ya Taifa letu Tanzania
0 Reactions
6 Replies
2K Views
The Tanzania National Roads Agency (TANROADS), is an Agency under the Ministry of Works and Transport which is responsible for the Development and Maintenance of the Trunk and Regional Roads...
0 Reactions
2 Replies
377 Views
Back
Top Bottom