Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Vijana wenzangu kuna Kitu nimekiona kwenye hii sekta ya Afya upande wa Ajira. Nimekuwa nikifuatilia siku kadhaa na ssa nimejiridhisha, hizi Hospitals za umma tena kubwa kabisa zenye majina kama...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Ama kweli,leo nimekubali ile kauli mbiu inayosema WEWE UNAMJUA NANI? NA SIO WEWE UNA QUALIFICATION GAN? Pamoja na bachelor yangu nimeangukia pua kwenye kazi ya muda ya sensa.ILA HAKUNA MBAYA...
1 Reactions
38 Replies
5K Views
Wandugu naomba kuuliza, Pale katika account ya ajiraportal unapotuma maomba sehemu pekee iliyopo ni kuambatanisha barua ya maombi pekee.Je, sehemu ya kuambatanisha picha iko wapi?
1 Reactions
7 Replies
5K Views
African Underground Mining Services (AUMS) is an international leader in mechanised hard rock underground mining. AUMS is part of Perenti (Formerly the Ausdrill Group), an ASX 200 company and...
1 Reactions
1 Replies
590 Views
Job Description Job Title ICT Officer Department Support Services and Finance Reports to Manager – Support Services and Finance Location Dar es Salaam Supervises: Mostly...
1 Reactions
1 Replies
624 Views
Habari wanaJF.... Poleni na mihangahiko ya hapa na pale ya ujenzi wa taifa.. Tuendelee kulipambania taifa letu itoshe tu kusema kazi iendelee. Nije kwenye hoja yangu.. Naamini humu kuna mafundi...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Reference Number CCB220304-3 Job Title Quality Assurance Technologist Job Category Manufacturing Company Coca-Cola Kwanza (Tanzania) Job Type Permanent Location – Country Tanzania Location –...
0 Reactions
1 Replies
495 Views
Msaada wakuu kuhusu kichwa cha habari au mpaka uwe na connection? Na Kama bado zipo una apply vipi?
1 Reactions
20 Replies
3K Views
In God, we trust.
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Fursa fursa fursa za kazi. Alhamdulillah hapa Abraar Complex Kuna fursa kadhaa za kazi zimejitokeza. Tunahitaji: 1) Mafundi ujenzi (waashi) wazoefu. 2) wasimamizi wa ujenzi (site foreman). 3)...
6 Reactions
27 Replies
7K Views
FURSA FURSA FURSA Tunawatangazia mafundi wote wa ujenzi na wasaidizi wa kazi za Ujenzi kuwa kuna fursa ya kazi na mafunzo ya ujenzi. Pia kwa yeyote yule ambaye yuko tayari kujifunza ujenzi ata...
2 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari za wakati huu. Kwa wale wenzangu na mimi tulioomba nafasi za muda katika nafasi tajwa hapo juu nini kinaendelea. [emoji1241]
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF, Kuna huu mfumo binafsi siuelewi na sielew alieanzisha alikua na maana ipi. Taasisi kubwa kama utumishi na baadhi ya taasisi za umma na binafsi, pindi wanapotoa tangazo la...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
wadau za mda huu Naomba tupeane updates kidogo kwa wale walioenda kufanya interview ya oral dodoma baada ya kupita written ya TRC Oral ilifanyika tarehe 9 february na leo ni february 28 mwezi
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Mimi ni mwalimu nimehitimu shahada ya kwanza chuo kikuu cha Jordan(Morogoro) katika masomo ya Geograghy na history. natafuta kazi ya kufundisha shule ya secondary (private) na msingi (english...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
POSITION TITLE: Monitoring and Evaluation (M&E) Director LOCATION: Dar es Salam, Tanzania Under the supervision of the Chief of Party, the M&E Director will provide leadership and management...
2 Reactions
2 Replies
501 Views
Wakuu , hii ajira ni ya kweli? au ubabaishaji?
6 Reactions
247 Replies
23K Views
Position: Administration Officer About the job Description Du Poste HSEQ: Respect of the Golden rules and all the HSE rules and standards of TotalEnergies by all the staff, contractors...
1 Reactions
1 Replies
877 Views
Rais wangu Samia, naomba ajira, uniteue niwe Mkurugenzi mkuu wa TISS, hii kazi naipenda kuliko kazi zote Duniani. Naipenda hii kazi kwa sababu naipenda sana nchi yangu Tanzania. Sina chama...
22 Reactions
69 Replies
5K Views
Kuna ajira zimetagazwa za muda mfupi hapa Manispaa ya Temeke lakini ni rushwa kwa kwenda mbele mpaka upate. Watendaji wa kata wana majina yao na wanatamba sana kuwa wanao-appply wanapoteza muda...
7 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom