Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari wakuu, mimi ni kijana miaka 24 nipo arusha natafuta kazi yeyote halali yakufanya. Ujuzi wangu nimesomea mambo ya kilimo na mifugo(General agriculture). Mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
583 Views
Habari wakuu, Mm ni kijana wa halali wa kitanzania, nipo dar natafuta kazi ya yoyote ya ERRAND kwa wale wasiokuwa na muda wa kufika sehemu husika na kuchukua mazaga, iwe bidhaa au...
1 Reactions
2 Replies
638 Views
Jamani mbaka mudaa huu tushaona hili zoezi likiwa limeshaanza sehemu mbalimbali nchini Tanzania, kama vile Dar es salaam, Dodoma, Mbeya, Kigoma, Morogoro, Shinyanga n.k. Huku halmashauri za mikoa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna hii document nimekutana nayo mitandaoni inahusu waliochaguliwa kufanya usaili wa anuani za makazi halmashauri ya Ubungo kama kuna alieona jina lake hongera!!
4 Reactions
21 Replies
5K Views
Wale wa manispaa ya Temeke kwenye ukusanyaji anwani za makazi na postikodi majina haya hapa
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari zenu, Mimi Kuna wakati nawaza kupiga kazi Sana ,lkn sijui kwanini hali ya uvivu inanijia ninashindwa kuendelea, naombeni ushauri jinsi ya kupingana nayo, nimejiajili tu. Vp nyie hali...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Natafuta gari ya kufanyia kazi na kupeleka hesabu kwa boss. Iwe ya biashara account ninayo ya Uber pamoja na Bolt Leseni ninayo iko active Tutaandikiashiana kwa mjumbe ili uaminifu uwepo Barua ya...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
kwa ukuaji wa mtandao duniani, makampuni mengi hutumia nyanja mbalimbali ili kutangaza na kupata maoni ya wateja kuhusu bidhaa au huduma wanayoitoa. kuna makampuni yanaendesha zoezi la...
1 Reactions
34 Replies
9K Views
Habari wapendwa Naulizia kwa manispaa ya KINONDONI ambaye anajua tarehe ya majina ya waliochaguliwa kufanya zoezi la UKUSANYAJI WA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKADI ni lini?? Naulizia hivyo maana kwa...
1 Reactions
30 Replies
6K Views
Habari naitwa hussein n dereva wa uber /bolt natafut gari ya kazi iwe hesabu au mkataba na uzoef miak 3 sas kam uko nay nichek 0689588127
1 Reactions
3 Replies
1K Views
NBC is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a range of retail, business, corporate and investment banking, wealth management products and services...
0 Reactions
0 Replies
603 Views
Habari wakuu, Kwa majina naitwa charz juma, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 natafuta kazi yoyote lakini hiwe halali
1 Reactions
6 Replies
1K Views
The position is responsible for debugging, root cause analysis, analyzing an inherent functionality and solving issues by considering overall impacts, and handling various users of the subscriber...
0 Reactions
0 Replies
434 Views
Hongereni kwa harakati zenu mnazozifanya katika kutafuta kazi, msikate tamaa endeleeni kusambaza CV kadri muwezavyo, msidharau interview mnazopata hakuna siku yenye kiza masaa 24 ipo saa mwanga...
5 Reactions
6 Replies
957 Views
Ndugu Wana Jamii Forum, poleni na majukumu ya kulijenga taifa. Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu Cha Dar es salaam (UDSM) tawi la DUCE, nimehitimu mwaka 2018, ngazi ya degree. Nimekuja kwenu mnipe...
3 Reactions
35 Replies
3K Views
Mama acha tu aitwe mama, anaupiga mwingi sana. Kwa watumishi wa serikali, mzigo umesoma LIVE fasta muda huu wa saa 9 alasiri leo 22/2/2022. Tukutane 2025.[emoji110]
12 Reactions
23 Replies
3K Views
Kama ulituma maombi kinondoni, basi file lenu limetoka.. Ila sijui interview imefanyika lini[emoji23][emoji23]
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu, jana nilifanikiwa kufika halmashauri pale ya jiji la Dodoma kupeleka Barua yangu ya maombi ya ukusanyaji wa postcode, watu walikua wengi sana wenye bahasha za kaki. Vijana walikuwa...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
Naitwa Salma Hussein Chuku Nina miaka27 Elimu yangu mpaka form four nimesomea Hotel Management ila si kubahatik kupat ajira popote uzoefu wng ni biashara Msaada wenu waungwana nipate kazi 0684...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom