What's Up, Guys! :)
Najua kuna graduates humu wanaulizia ajira, but vipi ushawaza kujiajiri kama huipati hyo ajira? Najua kisingizio kitakuwa mtaji na factors nyingi ambazo siwezi kuwalaumu. All...
Ni matumaini yangu kuwa kila anayesoma uzi huu ni mzima wa afya.
Mimi ni kijana, Nimehitimu mwaka jana (2021).
Nina vifaa kama simu (smartphone) na kompyuta mpakato (laptop), vinavyoweza...
Wakuu,
Nahitaji kujua vibarua kwenye Miradi mikubwa ya serikali hasahasa Mradi wa Umeme, Mradi wa daraja la Magufuli pamoja na Mradi wa Reli wanalipwa kiasi gani na vigezo vyao vya kuajili ni Vipi?
Habar za muda huu wana JF naomba kufahamu kuhusu uhalali wa tangazo hili kwa sababu ukiangalia tarehe ya tangazo ni 21/2/2022 wakati hii tarehe hata bado haijafika na kama ni halali vp kuhusu...
Habari zenu ndugu zangu wa JF, mimi Kunde Ekeke nina mdogo wangu wa kiume kamaliza fani ya ufundi bomba miaka miwili, kamaliza mwaka jana mwezi December
Naomba mwenye kujua jinsi ya kujitolea...
KARIBU:
Nafanya Wirering Majumbani na Viwandani. Na kuondoa Tatizo Lolote la Umeme. Kwa mfumo wa umeme wa Three Pharse na Single Pharse. Pia Natengeneza Vifaa vya Umeme Kama pasi, .Majiko ya...
COVID-19 Vaccination District Lead (multiple positions) at ICAP
Job no: 496126
Position type: Temporary Full-Time
Location: Tanzania – Mwanza
Division/Equivalent: Tanzania
School/Unit...
Je wewe ni Mwalimu wa masomo ya Science? Umeomba ajira Mara ngapi serikalini na ukakosa, je unayo matumaini ya kupata ajira.
Binafsi nimemaliza UDSM, 2018 teaching subjects zangu ni Chemistry na...
Waiter at KCU Lake Hotel
KCU – Lake Hotel is the among of KCU (1990) LTD hotels operating in Bukoba Municipal council in Kagera region. Our hotel offers different services such as Accommodation...
Wadau kwema?
Nawasalimu ktk jina la JMT.
Nauliza hivi hawa jamaa IPSOS bado wapo nchini hapa hususani Jijin Dar es Salaam.
Hawa jamaa zamani walikuwa wanafanya research za issues mbalimbali...
Nina blogu ambayo ninahitaji kuibadili kuwa ya Kiingereza natafuta mtu atakaye niandikia post 10 zenye urefu angalau maneno 1250 nitamlipa kiasi nilichokitaja hapo juu njoo PM
Post zisiwe za copy...
Clerk 1 - Warehouse at Geita Gold Mining Ltd
ABOUT GEITA GOLD MINING LTD
Geita Gold Mining Ltd (GGML) is Tanzania’s leading gold producer with a single operation in Geita Region. The company is...
Coordinator 1 - Technical Training at Geita Gold Mining Ltd
ABOUT GEITA GOLD MINING LTD
Geita Gold Mining Ltd (GGML) is Tanzania’s leading gold producer with a single operation in Geita Region...
Takukuru ni Moja ya Taasisi nyeti sana na ambayo inapaswa isimame katika misingi ya haki kwani hata majukumu yake yamejikita katika kutenda na kutetea haki.
Hivi karibuni mmetoa orodha ya majina...
Habari wakulungwa ,
Naomba kufahamu jina la contractors wa huu mradi wa EACOP,
Lakini pia naomba kufahamu huyu EALS naye ni nani kwenye huu mradi maana sielewin, nimejaribu kuugogle but sijapata...
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) anapenda kuutangazia umma kwamba usaili wa ana kwa ana (Oral Interview) kwa walioomba nafasi za kazi TAKUKURU utafanyika...
Receptionist at KCU Lake Hotel
KCU – Lake Hotel is the among of KCU (1990) LTD hotels operating in Bukoba Municipal council in Kagera region. Our hotel offers different services such as...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.