Reference Number CCB210611-6
Job Title: Distribution Driver
Function Logistics, Warehouse & Distribution
Company Coca-Cola Kwanza (Tanzania)
Job Type Permanent
Location – Country Tanzania...
POSITION DESCRIPTION:
Reporting to: General Manager
North Mara Gold Mine Limited is seeking to recruit Supply and Commercial Manager to join our team. The successful candidate for this...
THE UNITED REPUBLIC OFTANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref.No.EA.7/96/01/L/141 10thJune, 2021
VACANCY ANNOUNCEMENT
On behalf of Tanzania Fisheries Research...
Habari waungwana.
Naitwa James patrick naishi Dar es salaam, nina miaka 26, natafuta kazi ya udereva
Nina uzoefu wa kuendesha ndani na nje ya jiji la Dar, pia nina uzoefu wa kuendesha gari za...
We are looking for the following candidates.
1. ASSISTANT HUMAN RESOURCE OFFICER (female)
A female HR Assistant with the Experience of mininum 2 years or above especially in Corporate and...
Habari! Naitwa lissa, Natafuta kazi ya usimamizi wa fedha, nimesomea BBA in finance(Bachelor of business administration in finance).
Note; Nina tatizo la usikivu.
Thanks!
Nahitataji wadada wawili wachapa kazi wa kuserve chakula kwenye bar.
Awe mwenye muonekano maridadi.
Awe mzoefu na kazi.
Awe mchapa kazi.
Kazi ipo Dodoma, wakazi wa Dodoma watapewa kipaumbele...
Wakuu Salaam,
Natafuta kazi yoyote katika fani ya Mathematics, research and statistics.
Napatikana muda wote kwa namba hizi: 0712778881
Nina experience ya kutosha.
Habari Wana Jf
Mimi ni kijana na umri wa miaka 24, MALE, makazi yangu kwa sasa nipo Kigamboni Dar es Salaam Tanzania.
Natafuta Kazi yoyote ikiwemo usaidizi, data entry, customer care...
Habari zenu wakuu,
Mimi ni binti ambaye nilikua nimeajiriwa kama mhasibu kwa takribani miaka mitano. Nimejifunza mengi katika nafasi hiyo ya uhasibu kwa sababu kampuni niliyokua naifanyia kazi...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo nina ndugu yangu anatafuta kazi ya udereva wa magari makubwa ana Leseni pia anauzoefu wa kutosha kwenye hiyo kazi kwa zaidi ya miaka kumi (10) alikuwa...
Habari ya leo wakuu,mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 29,nna mke na mtoto mmoja, elimu yangu ni kidato cha nne naishi Dar.
Nimejitokeza hapa kuomba kazi utakayo ona naweza kufanya kwako...
Nahitaji mtu nitakae saidiana nae kufanya biashara ya kuuza mazao na hasa zaidi ya mbogamboga na nafaka. Tafadhali ni Pm tu kama unajua unao uwezo wa kuuza hizi products.
Kama ni mkazi wa Morogoro...
Wakuu kuna tangazo nmelipata limetolewa na jeshi la zimamoto kupitia kamishna mkuu kuhusu mafunzo, je ni tangazo la kweli tuchangamkie fursa au ni matapeli? [emoji116][emoji116][emoji116]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.