Jamani naomba kujua tcra walitoa nafasi za kazi november 2019 lakini mpaka sasa sijaona majina ya watu wakiitwa interview.
Jamani au watu washaitwa interview mi sikujua naomba kufahamishwa kama...
EVOTEC LIMITED: Ni Kampuni inayojishughulisha na masuala yote ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliwano ikiwemo Matengenezo ya vifaa, Ufungaji, na Uboreshaji wa Mifumo yote ya Computer, usambazaji...
JOB TITLE: Laboratory Technician
Location: Moshi, Tanzania
Key Accountabilities
● Plan and acquire the requirements for the shift Manage the human resource including development
● Foster...
Falsafa yangu ni kutafuta kusudi, kuifuata kupitia ujifunzaji na kusambaza maarifa kwako.
Falsafa ni mtazamo au nadharia inayoongoza tabia yako kwako mwenyewe, mazingira yako na uhusiano kati...
Habari za muda huu wadau, natumai wote ni wazima.
Mimi naitwa Abbas Twalb ni mwanafunzi wa chuo uandishi wa habari na utangazaji hapa Dar es Salaam katika ngazi ya Certificate ambapo mwenzi wa...
Habari wakuu,
Bila kupoteza muda, Nawasilisha ombi langu la ridhaa ya kutafuta masoko na kuuza bidhaa yoyote halali kama vile ardhi,magari, au bidhaa mbalimbali kutoka kwenye kampuni,taasisi au...
Habari za jioni wanajamvi,
Nahitaji mchango wenu kwenye hili, Mimi ni mhitimu wa chuo kwenye course ya Bsc in industrial engineering management, natafuta kazi kitengo cha quality control...
1. Position Title: Plumber Team Lead
Summary: The U.S. Mission in Dar es Salaam is seeking eligible and qualified applicants for the position of Plumber Team Lead in the Facilities Maintenance...
Mimi ni mwalim,masharti ya Shule hii natakiwa kulala hapa Shule yaani ni kazi tu kuanzia saa 11 asubuhi hadi saa 4 usiku,Kinacho nifanya niache hii kazi Mimi ni mke wa mtu.
Mume wangu hataki...
1.0. JOB TITLE: ASSISTANT LECTURER – COMMUNITY DEVELOPMENT - 1 POST
1.1. DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. Teaches up to NTA level 8 (Bachelor’s Degree);
ii. Prepares learning resources for...
JOB OPPORTUNITIES
Click on each number below to read more and apply: Bofya kila moja hapo chini:
1. Senior Specialist- Dc Servers Infrastructure (1 POST)
2. Relationship Manager- Diaspora (1...
Wapendwa nahitaji binti aliyemaliza chuo au kidato cha Sita ili anisaidie kumfundisha kijana wangu hapa nyumbani.
Kijana wangu mtihani wa karibuni kafail sana kiasi cha kunishtua tofauti na...
DAR ES SALAAM INDEPENDENT SCHOOL
Registration Numbers S. 2544 and DS/02/7/037
VACANCIES FOR THE SCHOOL YEAR 2021/22
We need ONE ASSISTANT ART TEACHER starting MAY 2021:
ALL TEACHERS APPLYING...
Habari,
Kuna Project Ndogo ambayo inaweza kuhitaji PAs kama 10 hivi lakini ambao watakuwa wanafanya kazi Remotely. Kwa malipo ambayo yatakuwa calculated Hourly. Anaweza kufanya Mtu yeyote ME/KE...
JOB TITLE: Storeperson
Location: Geita Gold Mine, Geita
Position purpose:
Is to be responsible for the maintenance of an efficient, safe and secure warehouse facility. To ensure a high level of...
JOB TITLE: Administrative Assistant
Job #: req11709
Location: Dar Es Salaam,Tanzania
Key role and responsibilities of Administrative Assistant include:
The Administrative Assistant, mapped to...
Moja kati ya mbinu ya kupata kazi ktk taasisi yeyote ile ni kuomba nafasi ya kujitolea ambayo itakusaidia upate uzoefu wa kazi
Haya hebu tujuzane mbinu za Aina Gani unaweza kutumia upate nafasi...
Ndugu wanajamvi nasikitika kusema kwamba lile zoezi la kuandika majina ya waalimu wanaojitolea limeanza kujirudia tena kama ilivyokuwa mwaka jana.
Binafsi sipingani na hoja ya kuwapa kipaumbele...
Nimefanya interview na taasisi fulani inayojihusisha na maendeleo ya Jamii, cha kushangaza kuna baadhi ya vitu waliniomba niwasilishe nilivyompigia HR simu yake ya mkononi hapokei wala ujumbe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.