Ni Rahisi sana kutengeneza broadcast channel yako kwenye Instagram kama hii [emoji116]
Uzi ni wako.
Kuna feature inaitwa channel broadcast kwenye Instagram Kazi yake ni kukusaidia creator...
WhatsApp soon wataleta feature ya silence caller kwenye simu zetu kuweza kuzuia namba ambazo huzijui kukupiga simu kupitia WhatsApp.
Watumiaji wengi wa WhatsApp Kuna kipindi walikua wanalalamika...
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema, ni huduma gani ambayo inatoa virtual US addresa bora na affordable for package consolidation kwa ajili ya shopping?
Nataka nikinunua vitu amazon viende...
Habari wana JF,
Mimi ni muuzaji wa movie mbalimbali nina wahudumia wateja wangu kwa kuwawekea movie kwa flash, sasa tatizo moja limenipata nilikuwa naomba msaada nina hddsk TB 4 imejaa movie...
Tuesday 20th June, 2023.
Natural News
New research
Research published in the peer-reviewed journal Cureus on February 2 shows that vaccine uptake is directly correlated to infant mortality...
Habari
Mimi sio mtaalam kabisa wa makompyuta, nina siku ya pili hapa kwenye kompyuta yangu najaribu kupiga windows 10 lakini nakutana na changamoto hii. Ikiwaka inakuja hivyo kwenye picha na...
Kama kicha cha habari kinavyouliza je inawezekana?
Kwa bahati mbaya simu yangu katika kubonyeza bonyeza nikafanya Factory Reset na ndani kuna vitu muhimu sana na sikuwahi kufanya Backup ya...
Habari wakuu:
Kichwa cha thread kinajieleza naomba mnisaidie njia ya kufoward email zangu zikiingia tu kasha la kupokelea zije moja kwa moja kwenye inbox ya kawaida kama SMS.
Nimegoogle...
Jinsi ya kutengeneza virusi hatarishi
Tunaishi kwenye ulimwengu wa Teknolojia ambapo wengi wetu tunatumia simu au kompyuta kufanya mambo mbalimbali ulimwenguni. Najua umeshawahi kusikia kuhusu...
Habari,
PC yangu inatatizo la kutokukaa na chaji muda mrefu tangia nilivyo inunua (renewed).
Je, kuna uwezekano wa kurekebisha ili tatizo? Na kama hamna, ni betri gani ninunue ambayo itaweza...
Wakuuu za sahizi nipo Dar nilikuwa natafuta PC
Au laptop nzuri ya 2.2M kama budget yangu
Nilikuwa naomba muongozo wa sehemu nzuri ya kuipatia na pia specifications zake
Napendelea kampuni ya...
Nimetengeneza Web Application ya majaribio kwa kutumia Flutter na nimei deploy kwenye platform ya Vercel. Link hapa chini.. 👇
Bonyeza Link 👉 👉 🔗 FITNESS APP
Ukiifungua itakuja pop up...
Wakuu za habarini za sahizi, naishi mkoani mbeya, nilikuwa na naomba msaada niweze kupata sehemu wanapofanyia fabrication ya vifaa mbali mbali vinavyohitaji plastic molding na kuhusisha mfumo...
Naomba msaada wako, nina tatizo kwenye account yangu ya Facebook.
Kuna mtu inaonesha kabadili Password Email pamoja na namba za Simu, naomba msaada wa kuirudisha.
Natanguliza Shukrani.
Umeshawahi kujaribu hizi Apps !!!
Mwaka 2022 mwenzi wa sita Leo nakuletea app Bora za kuwa nazo kwenye simu yako watanzania wengi hawazijui !!
Tm Whatsapp
Ukisikia mchanganyiko wa Whatsapp mods...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.