Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
guys i'm in need of those galaxies... 1* nataka s2 yenye internal memory gb32 1*na yenye gb16 -------- ncheki pm tuongee biashara.. NB:mzigo uwe original n in mint condition...isiwe...
0 Reactions
5 Replies
911 Views
Nahitaji pikipiki used Honda -japani,kwa mwanza zinaptikana duka au showroom gani? bajeti yangu 700,000 .mfano wake angalia attachment hapo chini
0 Reactions
1 Replies
1K Views
msaada kwa swali hapo chini. Write Java class(es) which accept ten (10) integer values ranging between zero (0) and a hundred (100), calculates the average mark, assigns an appropriate grade to...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Nahitaji msaada wadau wa IT, laptop yangu nikiiwasha display inabadilika rangi inakuwa black and white baada ya muda ndio inarudi ktk haliyake ya kawaida, Nifanyaje?
0 Reactions
5 Replies
959 Views
Kama kichwa cha habari hapo juu 1.Awe mkazi wa Dar 2.kama hakilipiwi kiwe kinaonesha chaneli zote sita.
0 Reactions
0 Replies
981 Views
Naomba msaada natafuta mahali pa kupata ps2 console kwa bei nzuri kwa ajili ya Biashara ya kuchezesha game msaada wenu ni muhim sana kwngu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau ningependa kufahamu site ambayo ni safe kwa ununuzi wa magari na utaratibu mzima unavyokuwa hadi kunifikia hapa bongo.
0 Reactions
60 Replies
9K Views
Jamani naomba msaada nataka kununua domain name lakini sina hizo account za kununulia wanazo taka kama visa nk, nifanyeje kununua kwa njia nyingine?
1 Reactions
6 Replies
1K Views
simu yangu nokia e5 inazingua sms zinaingia bila majina ata simu ikipigwa namba haionekani
0 Reactions
2 Replies
679 Views
wakuu hii laptop inaniumiza kichwa! yaani screen huwa inabadilika to dark sreen nikiwa nadownload kitu internet au nikiwa ninafanya kazi kwenye program yenye large size kama 5.8GB
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kwa Dar ninaweza kupata duka gani, au wapi lilipo duka la vioo vya smartphone.? kwa anejua anisaidie. :ranger:
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Heshima kwenu wazee wa IT, Nna mdogo wangu nahitaji asome kozi fupi ya IT (angalau miezi minne) hivyo naomba kujua ni vitu/program zipi muhimu zaidi za kujifunza kwa kozi fupi? Pia ni chuo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
How Much Time Have You Wasted on Facebook? Based on your feed, we'll estimate how much time you've spent on the site. Rest assured, this app will not post to your page or store your data. NEXT...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanajamvi naomba mnisaidie cmu yangu tajwa hapo juu ilianza inastacksitaki kwa muda alafu inaendelea kufanya kazi kawaida lakin kuanzia leo asbuhi screen haisense tena ndo nikaipeleka kwa fundi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kampuni ya Motorola ambayo ilikuwa inamilikiwa na Google imeuzwa kwa Lenovo ya China kwa Billioni $2.9. Kwa maana hii Google wanajitoa kwenye utengenezaji wa simu za mkononi. Google iliinunua...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Mshindi kwa mwaka 2013 . . You think more about your passwords, so it’s the time to see most worst passwords list of 2013. One of the website SplashData collects the list of worst online...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Wadau natumia dstv kwa miaka kadhaa sasa. inaposcan huwa naona idadi ya radio stations zilizopo lakini sifahamu kuzifungua. msaada plz kwa anayejua.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Facebook is reaping the benefits of designing its own energy efficient servers. Today at theOpen Compute Summit, CEO Mark Zuckerberg said that “In the last three years alone, Facebook has saved...
0 Reactions
0 Replies
705 Views
laptop yangu ni mpya kabisa ina miezi miwili tu na niliinunua dukani ina kilakitu chake lkn nashangaa saizi nikiiwasha inapowaka display inakuwa ya black and white inachukua kamuda kidogo hadi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu salaam. Naomba mnisaide namna ya kuset internet kwenye simu yangu...kwa mtandao wa Voda na airtel. Aina ya simu ni Asha 210
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom