Nina nokia n8 lakini ina tatizo la touch ila nikiirestart inakuwa poa tatizo linakuja pale inapokaa kwa mda bila kui2mia ndo inaanza kuzingua na inapozingua inazingua baadh ya parts za screen na...
Wadau msaada wa kuinstall flash adobe player katika samsung tab galaxy tab 10.1inagoma inasema haisupport i wonder na mimi nafanya online courses na inahitaji mozilla firefox je nifanyeje...
wakuu nataka kununua simu nzuri ili niwe naitumia pia kama tablet...je kati ya hizo mbili ipi ni nzuri nataka nikiwa na simu nisiwe na ulazima wa kununua ipad naomba maoni? je nitaipata mlimani...
Wakuu kuna Email kwa sasa imegoma kufunguka na inaload and then inarudi pale pale, Ila Inbox zingine zinafunguka bila shida, na imegoma kufunguka baada ya mwanzo kuifungua na kujibu hiyo email...
baada ya muda mrefu kampuni ya apple kuwalimit watumiaji wake wa apple device kama vile ipod,ipad na iphone kutumia feature na application zao ambazo zinanapatikana katika apple store tu sasa...
Inauzi sana kuna ma-TV station hapa nchini yapo FTA lakini yanarusha matangazo yao kimagumashi sana!
Kwa nini hamjifunzi kwa wenzenu?
Ni nini shida? Mfano: Channel 10, TBC1, Star TV etc...
Natoa...
kuna laptop ni dell inspiron 8100
Ukiiwasha inaandika ''PXE-E05: The LAN adapter's configuration is corrupted or has not been initialized. The boot Agent cannot continue, mda mwingne haiandiki...
Salaam, nimepata Macbook sijawahi kuitumia kabisa, nimeshindwa kupata programs za kufanyia kazi kama word, excel etc, ninaomba msaada wa darasa kwa wataalamu na wazoefu. Na kama kuna software...
Hi everyone
Jamani kuna software natafuta license ya magumashi nimetumia takriban the whole day with no success
Sasa nisaidieni known weblinks ninazoweza search na kupata nulled software...
NASA Probe Snaps Photos of Potential 'Comet of the Century'By Tariq Malik | SPACE.com 18 hrs ago
Email
Share
Share3
Print
Related Content
View PhotoThe comet that may put on a...
Jana nilichomeka flash yangu kwenye desktop ya mtu ili kuPrint file lilokuwemo na nilipoiweka baadaye kwenye desktop yangu nilikuta shortcut ya folder iliyoandikwa "Administrator″ na...
Ndugu wana bodi,
Naombeni msaada wenu simu yangu inasumbua kufungua app ya jf na pia nikitumia Opera na UC browser inagoma download chochote yaani hata picha..... Naomba msaada wadau natumia IDEOS.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.