Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau za jioni, nataka kujua kati ya GB Whatsapp na FM Whatsapp ipi ni bora kuliko mwenzake? Maana nashindwa kujua ipi bora nataka nihame Whatsapp ya kawaida. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
34 Replies
10K Views
Msaada wataalam... Kwanini nikiblock namba fulani ya Simu Ila nikija kutazama kwenye setting kipengele Cha block sms and block call Huwa naziona sms zote nilizochat na hiyo namba hata kama...
0 Reactions
3 Replies
258 Views
𝗠𝗧𝗔𝗡𝗗𝗔𝗢 𝗪𝗔 𝗬𝗔𝗦 (𝗧𝗜𝗚𝗢) 𝗨𝗡𝗔𝗦𝗨𝗠𝗕𝗨𝗔 Kampuni ya Yas ambayo zamani ilikua inaitwa TIGO Leo hii imepata changamoto toka mchana huduma mbalimbali zimekwama kwa watumiaji wake. Watumiaji wa mtandao wa...
0 Reactions
2 Replies
780 Views
Sijawahi ona simu yoyote ya Google pixel au Aquos au brand nyingi za kimarekani au kijapani zikisoma 5G hapa bongo Kama kuna mtu anatumia simu tajwa hapo na inapanda hadi kuweka nembo ya 5G au...
8 Reactions
45 Replies
2K Views
Wakuu nimenunua pocket internet router ya universal,nimeweka simcard ya voda com.pale kwenye setting nimeweka hivi NAME:vodacom APN:internet USER:... PASSWORD. AUTH: None niki save bado internet...
0 Reactions
1 Replies
287 Views
IT wengi wamejiajiri kwenye kupiga window, kuingiza muvi, ku burn cd, n.k. baadhi wamejiongeza kuwa mafundi simu, mafundi laptops, n.k. maendeleo yao kiuchumi huwa ni ya kawaida. Kuna huu mchongo...
2 Reactions
6 Replies
334 Views
𝗛𝗨𝗔𝗪𝗘𝗜 𝗛𝗔𝗡𝗔 𝗠𝗣𝗜𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜 𝗠𝗪𝗔𝗞𝗔 𝟮𝟬𝟮𝟰 Kampuni ya Huawei wametangaza kuachia simu zao mpya mbili aina ya 70 series na Mate X6 siku ya tarehe 26 novemba mwaka 2024. Hii ndo simu Bora kwa mwaka huu...
1 Reactions
4 Replies
353 Views
Wakuu mambo vipi nahitaji google play console mwenye nayo tuwasiliane pesa ipo nichek kwa namba 0767893175
0 Reactions
18 Replies
787 Views
Watu wengi wanapenda simu za kisasa zenye uwezo mkubwa kwa bei ya kawaida. Hali hii inapelekea wengi wao kuamua kununua simu zilizotumika (used) kutoka nje ya nchi, katika masoko maarufu kama...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu, Poleni na majukumu. Natumia televisheni ya Rising pamoja na king’amuzi cha Azam TV. Mdogo wangu alibonyeza kitu kwenye rimoti, na sasa picha kwenye televisheni inajikata pamoja na...
1 Reactions
4 Replies
280 Views
utasiki Nala imepata tuzo flani, Nala imepata sponsors, Nala imealikwa Marekani ama Ulaya kwenye kikao cha Tech. Ajabu ni kwambai hata wewe ukijiuliza ni lini mara ya mwisho umetumia Nala unaweza...
20 Reactions
96 Replies
6K Views
Wakuu kwema,naomba munikumbushe jina la ile App ambayo alipost mdau mmoja humu kuwa ukiiambia chochote inakujibu.
2 Reactions
8 Replies
374 Views
Hackers kiboko wameiba pesa nyingi balaa Benki kuu ya Uganda (BOU) inasema inasubiri ripoti ya uchunguzi toka kwa polisi nchini Uganda juu ya tukio la wizi wa Fedha zaidi ya dollar milioni $17...
2 Reactions
4 Replies
275 Views
Wakuu habari? Nataka kupendezesha kasebule kangu, nakosa mdundo mzuri tu sebuleni. Wadau wanashauri ninunue Sound Bar za JBL. Nimefanya ununuzi wa madirishani kwenye baadhi ya maduka yanazouza...
16 Reactions
68 Replies
8K Views
Nitajie App babu kubwa ya kutunzia mahesabu Isiwe ya kulipia
1 Reactions
11 Replies
497 Views
Hello wakuu Nina program ya mafunzo ya kutengeneza vitu mbalimbali vya umeme (Repair and Maintenance) Simu, Kompyuta kwa vijana waliokosa njia mbadala ya kujipatia kipato. Ninaomba kama kichwa...
0 Reactions
1 Replies
219 Views
Habari members, Naomba kuuliza jambo Moja ambalo linanichanganya pia sijaelewa kuhusu aina za hizi wi-fi mfano wi-fi za vodacom na za TP-Link Zina utofauti gani pia na cost zake za kila mwezi...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
𝗚𝗢𝗢𝗚𝗟𝗘 𝗠𝗔𝗣 𝗜𝗠𝗘𝗨𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨 𝗪𝗔𝗧𝗔𝗧𝗨 Watu watatu wamepoteza maisha baada ya gari walilokuwa wamepanda kupata Ajali, walipokatiza katika Eneo ambalo barabara haijakamilika huko nchini India. Google...
2 Reactions
10 Replies
556 Views
Wakuu nashindwa kusajili IPHONE ID Kila nikitaka kumalizia inasema acc haiwez kutengenezwa muda huu Hapa shida nn
5 Reactions
13 Replies
539 Views
Habari iPhone 12 imeingia Maji camera Hazipo Sawa na Face ID haisomi Msaada
1 Reactions
3 Replies
191 Views
Back
Top Bottom