Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kwa wapenzi wa games kwa kutumia Simu(Android) Sasa katika kudownload apk baadhi ya games unakutana na Kitu Kama hiki (Game size:95mb+1042mb) Je hakuna namna ya kufanya I'll baada ya kudownload...
0 Reactions
4 Replies
896 Views
Moja kwa moja kwenye mada, naomba kuuliza ni app gani au camera gani kwenye simu inayoweza kufanya picha iwe na background ya rangi moja?.. Naomba kujua kwa anayefahamu ili na mimi niifaidi...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Leo ni wiki ya 2 sasa kila Niki ifungua inajitoa yenyewe halafu ina andika contact your service provider Hata nikibahatika kuingia nikijaribu tu kuandika thread/nyuzi kuhusu mada yoyote ina...
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Habari za muda huu members , mimi nahitaji kujuzwa aina mbili za video call app bora na zenye picha bora anisaidie. Kuna hizo nilizozitaja hapo juu nimeshawahi kukutumia lakini zina matatizo...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Ukisikia balaa la tecno ndo hili Aisee tecno cammon 11 ndo balaa tupu camera yake ni nzuri sana Nina samsung galaxy s8 tangu January ila hii tecno naona inanishawishi niachane s8 yangu Tecno...
2 Reactions
51 Replies
4K Views
Wadau jinsi ya ku update whatsapp gb maan Inaandika kiarab ata celew mweny ufaham bas anisaidie
1 Reactions
15 Replies
10K Views
Kiufupi majuzi nimerekodi harusi ya mtu, nilitumia sd card na baada ya kazi nilikuta clips muhimu sana hazimo kwenye card. Clips nyingine zimo na nyingine hazimo. Kazi hii nimefanya mwenyewe na...
0 Reactions
2 Replies
960 Views
Wakuu heshima kwenu, naombeni msaada jinsi ya kudesign ID card kwa njia rahisi? Je ni software gani inafaa?
0 Reactions
41 Replies
15K Views
Natafuta anaetoa huduma ya bulk sms with fair price anicheki asap, especially mwenye database ya contractors, mafundi dar es salaam na mikoani. Urgent - Thanks
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu; mara nyingi nimesoma shauri mbali mbali humu humu jamii forum kabla hujafanya maamuzi ya kununua gari, lakini hiki kitu cha 2wd 4wd au rear huwa hakizungumziwi sana ktk shauri kwa mana ya...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
msada mwemye ujuz wa kutumua app ya mtk engineering mode kufaulixha rain isapot .......
0 Reactions
3 Replies
621 Views
Siku za karibuni nimekuwa nikipewa sifa za king'amuzi kuwa kuna channels bomba. Nimeanza kushawishika kununua, swali langu ni channels gani zinapatikana humo. Nimesikia TBC, Clouds TV, KBC zimo...
1 Reactions
47 Replies
24K Views
Naomba kujua wapi nitaweza kupata digital thermalstat/temperature control
0 Reactions
2 Replies
702 Views
Hodi, heshima yenu wakuu.. Natumia infinix hot 6, betrii 4000 MAH TATIZO. Kwa wiki tatu sasa simu yangu imekua na tatizo la kuchaji mwanzo ilikua iko faster sana kwenye kuchaji lisaa limoja...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Ndugu wanajamii Naomba kueleweshwa namna ya kuweka link kwa mfano utakuta mtu amekuandikia email, halafu anakueleza kuwa bofya HAPA, Ukibofya unapelekwa moja kwa moja kwenye eneo hilo, mashikoro...
3 Reactions
114 Replies
48K Views
Halotel internet speed
0 Reactions
10 Replies
1K Views
habari zenu wanajukwaa.. Hivi karibuni niliflash custom rom kwenye simu yangu ya tecno w4 lakin baada ya kufanya hivo limejitokeza tatizo la hii simu kutokuwa na speed nzuri ya internet yaani...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari za mchana wapendwa, Laptop ni mojawapo ya vifaa ambavyo vinarahisisha kazi zetu za kila siku. Na sio kila mtu anaweza kuafford laptop mpya. jambo hii hulazimisha baadhi ya wadau kutafuta...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu,naomba mnisaidie apps nzuri ya kupata namba ya nje zamani nilikuwa natumia namba niliipata primo nikaibiwa simu lakini nikijaribu kuidownload tena primo haionekani.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom